Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kwahiyo ni chai ?Kwanza jiulizeni mtu anayesomesha watoto watano intaneshno ada si chini ya 50+ milion kwa mwaka kwa watoto hao watano tena ni zile International za bei ndogo zile anaweza kupata mda wa kuandika nyuzi humu na kujibu kila komenti tusifanyane mabwege wazee uk
Pesa zipo nyingi sana tanzania hii wananchi tunafurahia
Inategemea unamaanisha nini kusema "maisha ni magumu". Mimi nafikiria hivi, nikichukua kipato changu na kugiwanganya kwa matumizi ya kila siku, natapata average ya chini ya $2.15 kwa siku. Kiasi hiki hakiniwezeshi kufanya maendeleo ninayotaka, siwezi kupata huduma bora za afya, elimu etc kwa sababu zinahitaji fedha, etc. Hivyo, hata kwa upande wangu, naona maisha ni magumu.Katika nchi ambayo pesa ipo nje nje ni tanzania nashangaa wananchi mnalialia mitandaoni eti maisha magumu wakati maisha tanzania ni maraisi sana na pesa zipo nyingi aisee hamna nchi naipenda kama tanzania yaani Ina amani pesa kibao na wananchi wanaishi vizuri huwa nashangaa watu mitandaoni wanalalamika maisha magumu huo ugumu wa maisha Mimi siuoni yaani yaani Mimi Nina watoto wa 5 na wote wanasoma shule za international maana pesa ipo nyingi sana ukiishi tanzania na maisha yanaendelea kama kawaida naifurahia nchi yangu ya tanzania
Pesa zipo nyingi sana mtaani mbonaKwahiyo ni chai ?
Mbona pesa nyingi sana mtaani unakwama wapi mkuuInategemea unamaanisha nini kusema "maisha ni magumu". Mimi nafikiria hivi, nikichukua kipato changu na kugiwanganya kwa matumizi ya kila siku, natapata average ya chini ya $2.15 kwa siku. Kiasi hiki hakiniwezeshi kufanya maendeleo ninayotaka, siwezi kupata huduma bora za afya, elimu etc kwa sababu zinahitaji fedha, etc. Hivyo, hata kwa upande wangu, naona maisha ni magumu.
Ulichosema ni kweli Ila mitaji ndio changamotto chiefKatika nchi ambayo pesa ipo nje nje ni tanzania nashangaa wananchi mnalialia mitandaoni eti maisha magumu wakati maisha tanzania ni maraisi sana na pesa zipo nyingi aisee hamna nchi naipenda kama tanzania yaani Ina amani pesa kibao na wananchi wanaishi vizuri huwa nashangaa watu mitandaoni wanalalamika maisha magumu huo ugumu wa maisha Mimi siuoni yaani yaani Mimi Nina watoto wa 5 na wote wanasoma shule za international maana pesa ipo nyingi sana ukiishi tanzania na maisha yanaendelea kama kawaida naifurahia nchi yangu ya tanzania.
Yaani pesa nyingi sana tanzania hii aiseeUlichosema ni kweli Ila mitaji ndio changamotto chief
Mr Money5 unaona sasa raia za bongo tulivyo hapa tu mtu ndio anasema sababu Daah so 😢Ulichosema ni kweli Ila mitaji ndio changamotto chief
Wenye Hela hawana KeleleKatika nchi ambayo pesa ipo nje nje ni tanzania nashangaa wananchi mnalialia mitandaoni eti maisha magumu wakati maisha tanzania ni maraisi sana na pesa zipo nyingi aisee hamna nchi naipenda kama tanzania yaani Ina amani pesa kibao na wananchi wanaishi vizuri huwa nashangaa watu mitandaoni wanalalamika maisha magumu huo ugumu wa maisha Mimi siuoni yaani yaani Mimi Nina watoto wa 5 na wote wanasoma international school maana pesa ipo nyingi sana ukiishi tanzania na maisha yanaendelea kama kawaida naifurahia nchi yangu ya tanzania.
Hasira za nini Mimi mbona sio baba Yako Nina watoto wa 5 tu sijazalisha nje ya ndoa halafu wewe wakiume kweli Yaani unapinga kutafuta hela aisee au umeolewaHaka kadogo kacheza kamari kanashauri watu kutafuta pesa.😀😀
Balehe imekupanda kichwani kichwa kinawaza usengerema tu.
Pesa zipo nyingi sana tanzania labda wewe ndio huna wananchi tunazo na tunafurahia nchi hiiWenye Hela hawana Kelele
Biashara ngumu itakua kwako tu jichunguze vizuri maanawenzio biashara zinaenda sana na Kila wiki wanaagiza mizigo mipya na Kodi wanalipa vizuri Kwa furaha Sasa ugumu uko kwako tuWewe dogo utakua unaota sisi tunalalamika biashara ngumu. Wewe labda utakua mchunguji maana huko ndio kwenye mihela na sidhan kama kuna kodi inayokatwa.
Au ni kama kusema "kazi fulani Ina malupulupu sana" (kumaanisha unaweza kukwapua)?Mbona pesa nyingi sana mtaani unakwama wapi mkuu
Hamna naona wananchi mitaani wanafurahia maisha wanasema kabisa tanzania imebarikiwa pesa zipo nyingi sanaAu ni kama kusema "kazi fulani Ina malupulupu sana" (kumaanisha unaweza kukwapua)?
Pesa nyingi sana tanzania hii wananchi tunafurahia nchi yetuNilichogundua kweli pesa ipo ila haikai sehemu yenye kelele na kidomodomo....
Dogo hujui kuficha hata muandiko, ulikuwa na ki ID chako cha ChristopherPaul15 naona umefungua nyingine ila bahati mbaya muandiko umeshindwa kubadilisha.Hasira za nini Mimi mbona sio baba Yako Nina watoto wa 5 tu sijazalisha nje ya ndoa halafu wewe wakiume kweli Yaani unapinga kutafuta hela aisee au umeolewa