Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
- Thread starter
- #61
Tafuta hela hasira za niniSina hasira kijana , huwa sitafuti pesa kwa sababu hazijapotea zipo tu kama wewe unavyodai😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta hela hasira za niniSina hasira kijana , huwa sitafuti pesa kwa sababu hazijapotea zipo tu kama wewe unavyodai😊
Pesa hazipotea zipo , sina haja ya kutafuta😁😁Tafuta hela hasira za nini
Tafuta hela hasira za niniPesa hazipotea zipo , sina haja ya kutafuta😁😁
Unazo na je halaliii?Katika nchi ambayo pesa ipo nje nje ni tanzania nashangaa wananchi mnalialia mitandaoni eti maisha magumu wakati maisha tanzania ni maraisi sana na pesa zipo nyingi aisee hamna nchi naipenda kama tanzania yaani Ina amani pesa kibao na wananchi wanaishi vizuri huwa nashangaa watu mitandaoni wanalalamika maisha magumu huo ugumu wa maisha Mimi siuoni yaani Mimi Nina watoto wa 5 na wote wanasoma international school maana pesa ipo nyingi sana tanzania hii na maisha yanaendelea kama kawaida naifurahia nchi yangu ya tanzania.
Dogo kaivamia JF kindezi kweli.Muda huu kapo kwa shemeji yake kameshiba kanasubir wapwa zake warudi shule kafue nguo😄
Yani badala useme unazipataje wewe unakuja kutuvimbia unapesa nyingi, ukiendelea hivo utafirisikaKatika nchi ambayo pesa ipo nje nje ni tanzania nashangaa wananchi mnalialia mitandaoni eti maisha magumu wakati maisha tanzania ni maraisi sana na pesa zipo nyingi aisee hamna nchi naipenda kama tanzania yaani Ina amani pesa kibao na wananchi wanaishi vizuri huwa nashangaa watu mitandaoni wanalalamika maisha magumu huo ugumu wa maisha Mimi siuoni yaani Mimi Nina watoto wa 5 na wote wanasoma international school maana pesa ipo nyingi sana tanzania hii na maisha yanaendelea kama kawaida naifurahia nchi yangu ya tanzania.
Wewe itakua umeolewa maana mwanaume unapingaje swala la kusaka pesa🤣🤣🤣🤣Dogo kaivamia JF kindezi kweli.
Kanasubir kafue soksi za shemeji yake.
Tafuta jinsi ya kuzipata nikuambie wewe ndugu yangu. Au umedata🤣🤣🤣🤣Yani badala useme unazipataje wewe unakuja kutuvimbia unapesa nyingi, ukiendelea hivo utafirisika
✅😆😆😆Kwanza jiulizeni mtu anayesomesha watoto watano intaneshno ada si chini ya 50+ milion kwa mwaka kwa watoto hao watano tena ni zile International za bei ndogo zile anaweza kupata mda wa kuandika nyuzi humu na kujibu kila komenti tusifanyane mabwege wazee uk
Sawa Mkuuu inatosha nashukuruTafuta jinsi ya kuzipata nikuambie wewe ndugu yangu. Au umedata🤣🤣🤣🤣
Kumbe umeolewa duuh pole sana🤣🤣🤣Umeolewa unakula za mmeo huwezi jua ugumu wa kupata pesa
Zipo nyingi sanaaaakweli kabisa,tena kuna pesa zingine unaingiza azina nzi.akuna cha TRA wala tozo ni kupiga sundo tu.
Njoo pm nakupa bure sikukopeshi mimiNikopeshe afutano
SawaSawa Mkuuu inatosha nashukuru
Wewe nenda dotto,mimi mtukutu siwezi,ukasome intaneshno uje unitoe kwenye ukata...Umenichokaaa 😂😂😂 Ujue nikiadaptiwa, tunaenda wote.
I am not gonna leave you behind Kurwa!
As humble as you are!Wewe nenda dotto,mimi mtukutu siwezi,ukasome intaneshno uje unitoe kwenye ukata...