Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Watu kama nyie nawaogopa sana aiseeee..UGUMU wa maisha upo kwenye kichwa chako na matumizi yako
Yani mtu anaesema maneno kama yako jua ana uwezo wa kulala chumba kimoja na Nyoka,
Huwa ana uwezo wa kuangalia TBC na Safari TV
😂😂😂😂😂😂