Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
- Thread starter
-
- #41
Hasira za nini mbona Mimi sio baba Yako yaani nimekushangaa unapinga jambo la kusaka pesa au mwenzetu umeolewa ?Dogo hujui kuficha hata muandiko, ulikuwa na ki ID chako cha ChristopherPaul15 naona umefungua nyingine ila bahati mbaya muandiko umeshindwa kubadilisha.
Huyo mbona anandugu na pesa wanazo nyingi sana
Muda huu kapo kwa shemeji yake kameshiba kanasubir wapwa zake warudi shule kafue nguo😄Haka kadogo kacheza kamari kanashauri watu kutafuta pesa.😀😀
Balehe imekupanda kichwani kichwa kinawaza usengerema tu.
Katika nchi ambayo pesa ipo nje nje ni tanzania nashangaa wananchi mnalialia mitandaoni eti maisha magumu wakati maisha tanzania ni maraisi sana na pesa zipo nyingi aisee hamna nchi naipenda kama tanzania yaani Ina amani pesa kibao na wananchi wanaishi vizuri huwa nashangaa watu mitandaoni wanalalamika maisha magumu huo ugumu wa maisha Mimi siuoni yaani Mimi Nina watoto wa 5 na wote wanasoma international school maana pesa ipo nyingi sana tanzania hii na maisha yanaendelea kama kawaida naifurahia nchi yangu ya tanzania.
Wenye Hela huwa hawajinadiPesa zipo nyingi sana tanzania labda wewe ndio huna wananchi tunazo na tunafurahia nchi hii
Mbona hasira dada Mimi sio baba Yako lakini kama pesa huna ni wewe wenzio mitaani wanazo🤣🤣🤣🤣Wenye Hela huwa hawajinadi
Ndio niniSawa chifu godilove
Hasira za nini tafuta hela masikini wewe yaani watanzania wenzio wanapesa kibao wewe unalialiaUjielewi
Hasira za nini Mimi sio baba Yako Nina watoto wa 5 tu sijawahi zalisha nje ya ndoaMuda huu kapo kwa shemeji yake kameshiba kanasubir wapwa zake warudi shule kafue nguo😄
Umenichokaaa 😂😂😂 Ujue nikiadaptiwa, tunaenda wote.Mkuu Naomba umu adopt mdogo wangu binti kiziwi ..
I don't believe it! Mbona watu wanaomba kusaidia mtaani na kijijini ndiyo usiombe? Kila ukipokea simu unaombwa msaada wa fedha?Hamna naona wananchi mitaani wanafurahia maisha wanasema kabisa tanzania imebarikiwa pesa zipo nyingi sana
Jamii ya watu wa aina yakoNdio nini
Tafuta hela hasira za niniJamii ya watu wa aina yako
Sina hasira kijana , huwa sitafuti pesa kwa sababu hazijapotea zipo tu kama wewe unavyodai😊Tafuta hela hasira za nini