Nashangaa mnaolalamika maisha magumu Tanzania


Ujielewi
 
Watu wengine mmetumwa na serikali kutupima..enjoy the national cake our future is coming now wacha tusuffer.
 
Hamna naona wananchi mitaani wanafurahia maisha wanasema kabisa tanzania imebarikiwa pesa zipo nyingi sana
I don't believe it! Mbona watu wanaomba kusaidia mtaani na kijijini ndiyo usiombe? Kila ukipokea simu unaombwa msaada wa fedha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…