Je Kuna uchaguzi wamawaziri , useme tukimnyima kura?Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara ifya.
Wawe zinakutosha Kweli? Watanzania tulimfanyia Nini hadi utuite wapumbavu?
Inasikitisha sana, jitihada zaidi zinahitajika; hiyo ni vita ya propaganda ili kupunguza, inataka team work na ambayo uwezi kuitangaza hapa.uyo Gwajima mnayemsema humu msikilizeni kule aliko anapambana kuokoa watoto wenu toka kwenye Giza nene la ukatili unaofanywa na watu wazima kama nyie. Mwaka jana watoto 11,499 walikatiliwa: ambapo, 5899 walibakwa na 1114 walilawitiwa. 60% ukatili umetokea nyumbani kwenye familia na 40% mashuleni.
Halafu mtu huyu mnasema anaota kurudi afya? Kwa taarifa yenu hana habari hii mama kazi inasonga mbele na wanyonge na nyie jiungeni SMAUJATA mkamsaidie.
Siwezi kuongea kwa niaba ya kila waziri wa afya toka uhuru. Naweza zungumzia wataalamu wa muda wangu na uelewa wangu given the bunch.Je Kuna uchaguzi wamawaziri , useme tukimnyima kura?
Kiufupi ,aliingia kwa majaribio, ameonekana hatoshi kachomolewa ameingia anae fiti .
Na huyo Gwajima wako sio mtaalam wakwaza kuwekwa hapo na kutolewa.
David Mwacyusa nae alitoka wakaingia wengine.
Naunga mkono hoja.Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa ata raisi, makamu au waziri mkuu.
Hivi kwa nini huwa hamumlinganishi na sifa za wizi, ula rushwa, ufitini na ukandamizaji wa haki na vitu kama hivyo? Mbona mara zote mnakuja na ajenda za kitoto toto kwa huyu mama? Hivi mnajua jinsi gani anagusa maisha ya watu wanyonge zaidi? Waulize watu wa chini kabisa. Vema tuungane naye kwenye SMAUJATA tukapinge ukatili, tutangaze naye namba 116 Ili watu wakiona dalili za ukatili au ukatili watoe taarifa na kama hawapokelewi huko wamtumie ujumbe yeye binafsi kwenye 0734124191 au 0765345777 halafu Sasa mtaona moto wake.Siwezi kuongea kwa niaba ya kila waziri wa afya toka uhuru. Naweza zungumzia wataalamu wa muda wangu na uelewa wangu given the bunch.
Na Dr Gwajima hana mpinzani provided unaelewa medical management.
Mtu timamu anaelewa how people can act in desperation, we both the kowtow terms of being a minister.Hivi ulikuwa na sababu zipi za msingi za kuanza na lugha kichefu chefu?!
Huo utaalamu wake ni upi?! Yes, she's a Doctor! Doctor gani anahamisha wananachi eti wapige nyungu na kikombe cha Madagascar?!
Alipoingia mtawala mwingine ambae alikuwa na mtazamo tofauti na mtawala wa mwanzo, nae akabadilika kuendana na mawazo ya mtawala mpya!!
Yaani ndo mtaalamu unayemsema wewe huyo?!
Unamkumbuka huyo mtu kipindi cha Corona na Jiwe?Katika wataalamu Tanzania huyo mtu sio poa kwenye afya and more; she is a genius.
Dorothy Gwajima ni mtaalamu ambae angeweza iboresha hiyo wizara basi tu. Kumuelewa inataka ujue misingi ya management ya wizara ya afya.
I remember some fool tried to lie to her whilst doing inventory auditing on medicines.
During the process not to be taken as an idiot the woman quoted ‘Schrödinger’s equation’ in auditing process when numbers dint add up.
To appreciate the joke you ought to understand the auditing process, how she implied quantum physics and what it she was trying to say (either way it tells you the woman has depth).
Yaani kabisa huyo mtu unaweza mfananisha na Ummy Mwalimu that is just beyond me.
Hivi kwa nini huwa hamumlinganishi na sifa za wizi, ula rushwa, ufitini na ukandamizaji wa haki na vitu kama hivyo? Mbona mara zote mnakuja na ajenda za kitoto toto kwa huyu mama? Hivi mnajua jinsi gani anagusa maisha ya watu wanyonge zaidi? Waulize watu wa chini kabisa. Vema tuungane naye kwenye SMAUJATA tukapinge ukatili, tutangaze naye namba 116 Ili watu wakiona dalili za ukatili au ukatili watoe taarifa na kama hawapokelewi huko wamtumie ujumbe yeye binafsi kwenye 0734124191 au 0765345777 halafu Sasa mtaona moto wake.Labda serikali iliona Gwajima kichwa chake kama kimelegea
Uwaziri ni cheo cha kisiasa tu nchi hii, huyu unayempamba japo ni mtaalamu wa afya ni mwanasiasa pia.Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara Afya.
Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa hata Rais, Makamu au Waziri Mkuu.
Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.
The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.
Halafu kesho unajinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.
Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.
Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza fananisha na Ummy Mwalimu kwenye section usimamizi wa sectir ya afya.
Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya kushinda Dorothy Gwajima.
Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.
Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu Wizara ya Afya.
You people deserve what you get
Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.
I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah
Una hoja wazungu wana kitu wanaita joints strategic framework za halmashari zimejikita kulinda maslahi ya vulnerable people kwenye jamii.Hivi kwa nini huwa hamumlinganishi na sifa za wizi, ula rushwa, ufitini na ukandamizaji wa haki na vitu kama hivyo? Mbona mara zote mnakuja na ajenda za kitoto toto kwa huyu mama? Hivi mnajua jinsi gani anagusa maisha ya watu wanyonge zaidi? Waulize watu wa chini kabisa. Vema tuungane naye kwenye SMAUJATA tukapinge ukatili, tutangaze naye namba 116 Ili watu wakiona dalili za ukatili au ukatili watoe taarifa na kama hawapokelewi huko wamtumie ujumbe yeye binafsi kwenye 0734124191 au 0765345777 halafu Sasa mtaona moto wake.
Acheni wazalendo wachache waliobakia wafanye kazi walau wanyonge wasio na simu janja za kupiga porojo kama nyie humu wapate faraja. Hiyo afya kaeni nayo wenyewe maana alipoanzisha ukaguzi wa dawa na ukaguzi wa huduma za tiba na hela zikiwemo za bima aligusa mifuko yenu na mkasikilizwa. Sasa si mlishinda yamepita, yamekuwa mapya, shida nini sasa? Tulieni au jiungeni na SMAUJATA fomu hiyo hapo.
Mimi kinachonishangaza kwanini toka enzi waziri Umy katika afya ni yeye tu kwani msomi ktk wizara hiyo ni yeye tu?Kiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara Afya.
Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa hata Rais, Makamu au Waziri Mkuu.
Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.
The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.
Halafu kesho unajinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.
Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.
Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza fananisha na Ummy Mwalimu kwenye section usimamizi wa sectir ya afya.
Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya kushinda Dorothy Gwajima.
Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.
Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu Wizara ya Afya.
You people deserve what you get
Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.
I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah
Ni mzuri sana ila too much talk yule mama mpaka sio poaKiwango chenu cha upumbavu watanzania ni kuona Dr Gwajima anatolewa wizara Afya.
Binafsi sina shida kwa sasa Ummy Mwalimu akiwa hata Rais, Makamu au Waziri Mkuu.
Lakini kiwango changu cha ujinga wa watanzania ni kupambana kuona mtaalamu anaondolewa mahala ambapo angewasaidia.
The nonsense of you people is beyond yaani unapigana kabisa ‘Dorothy Gwajima’ aondolewe wizara ya afya kwa Ummy Mwalimu.
Halafu kesho unajinganisha sijui na Vietnam tulikuwa nao sawa majuzi.
Amuelewi tu jinsi Dorothy Gwajima angewasaidia kwenye afya with back up.
Dah yaani mtu kama Dorothy Gwajima mnaweza fananisha na Ummy Mwalimu kwenye section usimamizi wa sectir ya afya.
Like seriously mna amini Ummy Mwalimu anafaa wizara ya kushinda Dorothy Gwajima.
Hilo jambo nakaa najiuliza sipati majibu.
Yaani huyu Dorothy Gwajima hafai kwa Ummy Mwalimu Wizara ya Afya.
You people deserve what you get
Aisee Dorothy Gwajima kwenye afya ni different level amjui tu.
I still can’t comprehend Dorothy Gwajima for Ummy Mwalimu; Dah