Nashauri awamu ya sita agombee Rais Mstaafu Ndg. Jakaya Kikwete

Nashauri awamu ya sita agombee Rais Mstaafu Ndg. Jakaya Kikwete

Pamoja na mapungufu yake katika awamu ya nne, Rais Kikwete aliweza kujenga mshikamano kwa Watanzania kwa asilimia kubwa jambo ambalo kwa sasa hivi limepungua sana.

Uchumi ulizidi kuimarika, deni la taifa lilikuwa chini, miundombinu ilizidi kujengwa, Watumishi wa Umma walipata increment na walipanda madaraja, ajira zilitolewa bila kutuma maombi. Kwa ufupi, pesa ilikuwepo mtaani.

Hata pale alipoenda kufanyiwa operesheni ya tezi dume hakuna aliyemuombea kifo.

Mungu ndiye muweza wa yote, nakuomba ndg JK pindi ikifika muda muafaka, chukua fomu upeperushe bendera ya CCM kuwania urais.
Huyu si ndiye kutuachia huu msala? Apumzike tu,tupo wengi tunaoweza kuchukua nafasi hiyo
 
unatataka tuwalee wapigaji wa pesa serikalini unataka tuwalee wahudumu hospitali maofisini kujiona wao ni maboss kuliko kuwahudumia wananchi unataka tuwalee wafanyabiasha wezi na kuibia serikali mapato unataka tuwalee wauza unga cocain na wazazi walie vijana wao kuharibika kwa kuvuta hatumtaki kikwete kabisa labda awe meya wa jiji la dar. unajua au hujui mh makufuli miaka yake 5 kazi yake ilikuwa kuondoa uchafu huo kapoteza mda mwingi sana kwa uozo huo leo unataka kurudisha . yupo majaliwa nyayo ya makufuli
 
Hizo akili unafikiri wanazo, mtoa post ameshasahau kabisa kwamba alimuhutaji Lissu.
Kwake Bora aendelee kutawaliwa na ccm lakini sio upinzani
Hawa wachumia tumbo ni htr sn
 
Unajua deni la taifa alilikuta kiasi gani na miundo mbinu ipi ilijengwa?
 
unatataka tuwalee wapigaji wa pesa serikalini unataka tuwalee wahudumu hospitali maofisini kujiona wao ni maboss kuliko kuwahudumia wananchi unataka tuwalee wafanyabiasha wezi na kuibia serikali mapato unataka tuwalee wauza unga cocain na wazazi walie vijana wao kuharibika kwa kuvuta hatumtaki kikwete kabisa labda awe meya wa jiji la dar. unajua au hujui mh makufuli miaka yake 5 kazi yake ilikuwa kuondoa uchafu huo kapoteza mda mwingi sana kwa uozo huo leo unataka kurudisha . yupo majaliwa nyayo ya makufuli
Pumbavu atasubiri sana. Tutaomba hadi mizimu ikatae hilo chaguo. What nonsense. Nilichogundua watanzania wapenda haki ukweli wanaosimamia haki wakiomba pamoja jambo liwe litakuwa, jambo lisiwe basi halitakua kabisa..
 
Back
Top Bottom