Nashauri awamu ya sita agombee Rais Mstaafu Ndg. Jakaya Kikwete

Nashauri awamu ya sita agombee Rais Mstaafu Ndg. Jakaya Kikwete

Achana na JK lakini kwangu mimi naona wafutao wanaweza badili maisha yetu yakawa bora zaidi

1. Makamba January

2. JAFO

3. PROF kabudi

4. Lissu

5. Zitto
😃 Hapo naona umeweka eneji drink, gongo, sumu, maziwa na juice
enewei kila mtu atachagua kulingana na hali yake
 
Pamoja na mapungufu yake katika awamu ya nne, Rais Kikwete aliweza kujenga mshikamano kwa Watanzania kwa asilimia kubwa jambo ambalo kwa sasa hivi limepungua sana.

Uchumi ulizidi kuimarika, deni la taifa lilikuwa chini, miundombinu ilizidi kujengwa, Watumishi wa Umma walipata increment na walipanda madaraja, ajira zilitolewa bila kutuma maombi. Kwa ufupi, pesa ilikuwepo mtaani.

Hata pale alipoenda kufanyiwa operesheni ya tezi dume hakuna aliyemuombea kifo.

Mungu ndiye muweza wa yote, nakuomba ndg JK pindi ikifika muda muafaka, chukua fomu upeperushe bendera ya CCM kuwania urais.

Naunga mkono hoja.
 
Wewe HUNA AKILI NA SIDHANI KAMA HATA UNA UELEWA. KIKWETE NI ADUI WA PESA ZA TANZANIA. Kama unampenda sana Mwalike kwako unywe naye Kahawa au Mfanye Rais wa Familia yako. Kikwete aliiharibu sana hii nchi na siwezi hata kumfikiria yeye kuwa waziri acha Urais. Thank God HAITOWEZEKANA TENA NA PENGINE NI KUANZA KUFANYA MAOMBI ASIJE TOKEA RAIS KAMA KIKWETE TENA TANZANIA HII.
Huyu ambae sio adui kafanya nini cha maana cha kutustawisha nchi?

Huoni JK ni bora mara 1000 kuliko mr kujimwambafy ,,ni rahisi kuweka systems nzuri za uongozi kwa Jk kuliko kwa kiongoz wa malaika

Jk alithubutu hata kuanza mchakato wa katiba mpya sema kuna mbwa koko walimtisha hasa hofu ya maccm kupoteza madaraka.

Itawezekana tuu maana huko ccm hakuna mtu wa maana kwa sass wa kumzidi JK.Kidogo J.Makamba na Mwinyi ambae tayari yuko Zenji
 
Sasa unaambiwa huyo Mwigulu ndio one of the best Ministers so far kwenye balaza la mawaziri
Msikivu, hasie na majigambo , mwenye huruma na msaada mkubwa kwa wabunge wenzie na wananchi very humble and down to earth sio hivyo mnavyodhania

don’t judge the book by its cover , tusimjaji mtu kwa kumuangalia sura yake , Yule ana utu sana ( He is a human )
Misifa huyo na ni bingwa wa kuficha tabia zake halisi,tutarudi kulekule kwa Jiwe.

Mwigulu ni dizaini ya watu wanaojiona Wana akili kuliko wengine sampo za Jiwe,Muhongo na watu wengine wa kanda ya ziwa
 
Watu wameisha? Kwalipi kikubwa alofanyia nchi??
Ujinga ujinga
 
Achana na JK lakini kwangu mimi naona wafutao wanaweza badili maisha yetu yakawa bora zaidi

1. Makamba January

2. JAFO

3. PROF kabudi

4. Lissu

5. Zitto
Makamba ni muungwana na kakulia ikulu sio mshamba wa madaraka,ni mtu approachable na anaeshaurika ,sampo za Mwinyi wa Zanzibar ,huyu anafaa japo sina imani nae kwenye kuamini kwenye demokrasia na taasisi zake but ni nafuu kuliko the rest.

Lisu ni aina ya watu wenye misimamo mikali sijui mliofanya nae kazi but tofauti yake na Jiwe labda kwenye reasoning na ushauri ila hulka ni zile zile,anafaa kuwa PM Ili kudhibiti nguvu yake

Zito anafaa ni presidential materials just kama JK ila sasa anahitaji strong PM au VP wa kumvuta shati kidogo.Zito angekuwa kwa maccm angewazidi hao wote

Jafo ni mtu muungwana na mwenye huruma asiyetaka makuu na lawama,pure JK ila bado hana uzoefu wa kiungozi ,,anahitaji awe na PM strong maana anahuruma Sana kuchukua maamuzi magumu.

Hao waliobaki ni wa majalalani warudi kufubdisha
 
Pamoja na mapungufu yake katika awamu ya nne, Rais Kikwete aliweza kujenga mshikamano kwa Watanzania kwa asilimia kubwa jambo ambalo kwa sasa hivi limepungua sana.

Uchumi ulizidi kuimarika, deni la taifa lilikuwa chini, miundombinu ilizidi kujengwa, Watumishi wa Umma walipata increment na walipanda madaraja, ajira zilitolewa bila kutuma maombi. Kwa ufupi, pesa ilikuwepo mtaani.

Hata pale alipoenda kufanyiwa operesheni ya tezi dume hakuna aliyemuombea kifo.

Mungu ndiye muweza wa yote, nakuomba ndg JK pindi ikifika muda muafaka, chukua fomu upeperushe bendera ya CCM kuwania urais.
Hamnaga akili watu kama ninyi,mtu anayekuwepo mnaponda akiondoka mnamkumbuka, waTanzania akili hamna hata kidogo,kwa jinsi ninavyo wajua hata mimi ningekua Rais nisingejali maneno ya kila mmoja,ningepambana tu kukuza uchumi na kuondoa makando kando kama anavyo fanya JPM.

Huku Tanzania ni sehemu pekee mtu anachukua neno kutoka sehemu moja bila ushahidi analipeleka mahala pengine na hajui chochote

Huku Tanzania ni sehemu pekee anaweza kupita mtu anatembea,majitu yako kijiweni yakaanza kusema "mnamuona huyo " ana ngoma....hawajawahi kumpima wala hawamjui,ukimbana mlopokaji anakwambia si fulani alikuaga jamaa yake!! Alishakufa, uPUMBAVU wa baadhi ya wananchi hapa kwetu ni mkubwa sana usiyo na maana yoyote.
 
Sasa unaambiwa huyo Mwigulu ndio one of the best Ministers so far kwenye balaza la mawaziri
Msikivu, hasie na majigambo , mwenye huruma na msaada mkubwa kwa wabunge wenzie na wananchi very humble and down to earth sio hivyo mnavyodhania

don’t judge the book by its cover , tusimjaji mtu kwa kumuangalia sura yake , Yule ana utu sana ( He is a human )
Kachukue posho yako
 
Hamnaga akili watu kama ninyi,mtu anayekuwepo mnaponda akiondoka mnamkumbuka, waTanzania akili hamna hata kidogo,kwa jinsi ninavyo wajua hata mimi ningekua Rais nisingejali maneno ya kila mmoja,ningepambana tu kukuza uchumi na kuondoa makando kando kama anavyo fanya JPM.

Huku Tanzania ni sehemu pekee mtu anachukua neno kutoka sehemu moja bila ushahidi analipeleka mahala pengine na hajui chochote

Huku Tanzania ni sehemu pekee anaweza kupita mtu anatembea,majitu yako kijiweni yakaanza kusema "mnamuona huyo " ana ngoma....hawajawahi kumpima wala hawamjui,ukimbana mlopokaji anakwambia si fulani alikuaga jamaa yake!! Alishakufa, uPUMBAVU wa baadhi ya wananchi hapa kwetu ni mkubwa sana usiyo na maana yoyote.
Kwa kawaida ukiwa madarakani watu wataona yako. Angalia yaliomtokea Trump , Sarkozy nk . Shida ya viongozi wa ki Africa ni kutokutaka kukosolewa hata pale leadership yao inapokuwa na mashaka. Ref kikao cha Rais wetu na wastaafu Dar. Aliwaomba wasimkosoe wasubiri amalize kwanza utumishi wake. Sasa kweli, watu wakusubiri miaka kumi kukuonyesha mapungufu yanayoweza kurekebishika ?!

Leo hii kina Sarkozy wameishia kufungwa . African ni viongozi hujiona perfect kwa kila wazo.
 
Pamoja na mapungufu yake katika awamu ya nne, Rais Kikwete aliweza kujenga mshikamano kwa Watanzania kwa asilimia kubwa jambo ambalo kwa sasa hivi limepungua sana.

Uchumi ulizidi kuimarika, deni la taifa lilikuwa chini, miundombinu ilizidi kujengwa, Watumishi wa Umma walipata increment na walipanda madaraja, ajira zilitolewa bila kutuma maombi. Kwa ufupi, pesa ilikuwepo mtaani.

Hata pale alipoenda kufanyiwa operesheni ya tezi dume hakuna aliyemuombea kifo.

Mungu ndiye muweza wa yote, nakuomba ndg JK pindi ikifika muda muafaka, chukua fomu upeperushe bendera ya CCM kuwania urais.
Ungejua kikwete wako alifanya nini nchi hii na siku za mwisho ni kama alikuwa akiikomoa! Nakumbuka siku moja alisema ‘Saburi yenu mtakaobaki serikalini mie sijali.....’ usingeleta andiko Lako
 
Huyu ambae sio adui kafanya nini cha maana cha kutustawisha nchi?

Huoni JK ni bora mara 1000 kuliko mr kujimwambafy ,,ni rahisi kuweka systems nzuri za uongozi kwa Jk kuliko kwa kiongoz wa malaika

Jk alithubutu hata kuanza mchakato wa katiba mpya sema kuna mbwa koko walimtisha hasa hofu ya maccm kupoteza madaraka.

Itawezekana tuu maana huko ccm hakuna mtu wa maana kwa sass wa kumzidi JK.Kidogo J.Makamba na Mwinyi ambae tayari yuko Zenji
Kama unampenda Kikwete nenda kanywe naye kahawa. Magufuli ni x 100,000,000,000,000,000 kuliko kikwete aliyeuza nchi na kuharibu vijana kwa madawa ya kulevya. Sasa nchi inajengwa na tunaona ikijengwa. Hili ni jambo kubwa sana. Kikwete mfanye awe rais wa familia yako. MAGUFULI ATOSHA HAKUNA MWINGINE.
 
Back
Top Bottom