Nashauri awamu ya sita agombee Rais Mstaafu Ndg. Jakaya Kikwete

Nashauri awamu ya sita agombee Rais Mstaafu Ndg. Jakaya Kikwete

Kiukweli Kikwete arudi tu, samahani lakini mwamba ni ×1000 kuliko aliyepo. Huwa tunawaacha wanawake ila ukigundua ulifanya makosa unamrudia na unatulia kabisa.

Nadhani pia na yeye atakuwa amejifunza kitu, kiufupi Kikwete anatakiwa awe Raisi wa milele. Sisi Watanzania hii nchi ni yetu sote , watu maisha magumu alafu mtu amekomaa na madaraja, hapana kabisa.
 
Habari Kama hizi Lissu akiona anajisikiaje? Au yeye hastahili kuwa Rais?
 
Wewe huna akili na sidhani kama hata una uelewa. Kikwete ni adui wa pesa za tanzania. Kama unampenda sana mwalike kwako unywe naye kahawa au mfanye rais wa familia yako.

Kikwete aliiharibu sana hii nchi na siwezi hata kumfikiria yeye kuwa waziri acha urais. Thank god haitowezekana tena na pengine ni kuanza kufanya maombi asije tokea rais kama kikwete tena tanzania hii.
 
Rais ajae ni Majaliwa Kassim Majaliwa na Waziri wake Mkuu atakua Freeman Mbowe. Save this
Mbowe hawezi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kwa namna yeyote ile. Akiwa yupo upinzani au akiwa yupo CCM, haiwezekani.
 
Yaan Kama kunawatu ni wanafik duniani ni watanzania mtu anathubutu kusema kikwete arudi madarakani Yaan wanasahau wale viongozi wao njaa kali walivyokuw wanambeza hadharani kwamba hafai Mara Hana msimamo, Hakai Tanzania akatulia anasafiri kilacku Mara nchi ilikuw masikini twiga wanabebwa kwa ndege na kupelekwa nje ya nchi.

Alafu Leo et Bora arudi Yaan celew ni hamna ubongo mkumbuke maneno yenu au.... Kiufupi mtake mctake Rais magu Anaendelea na atapitishwa mwngne kutoka ccm wakati ukifika.

kiufupi tuacheni ubishi Hakuna mtu yeyote kutoka upinzani anayeweza kuongoza hii nchi hao wanapigaga lomoni tuu hamna chochote ikifika wakati wa uchaguzi wanatafuta walio hama ccm ndo wanawaweka wagombee urais ..inaonyeshaje walivyo hawajiamin naishia hapo tuu

Nipeni chai kwanza

Wataka chai? Karibu na tende
 
Hussein Ali Mwinyi ni turufu sahihi, ila kwa tunavyoteseka hivi huyu mpole tutampelekesha balaa.
 
Watanzania tumekosa akili kiasi hichi
Hamuwazi balaa alilofanya huyu bwana bado mnataka balaa lingine tena

Hakuna anayewaza Sasa kwamba ndiyo muda wa kutafuta katiba mpya
 
Back
Top Bottom