Nashauri awamu ya sita agombee Rais Mstaafu Ndg. Jakaya Kikwete

Nashauri awamu ya sita agombee Rais Mstaafu Ndg. Jakaya Kikwete

Issue ya nchi hii haijawahi kua kikwete issue kuu kwa sasa ni mfumo ndio maana watz walishaamua kuipumzisha ccm tangu awamu ya pili ya Kikwete....

Hiki chama ccm ni cha kishetani. Bila kukiondoa madarakani nchi itaendelea kupotea
 
Akagombee Urais wa Singida United timu ifufuke.

Sasa unaambiwa huyo Mwigulu ndio one of the best Ministers so far kwenye balaza la mawaziri
Msikivu, hasie na majigambo , mwenye huruma na msaada mkubwa kwa wabunge wenzie na wananchi very humble and down to earth sio hivyo mnavyodhania

don’t judge the book by its cover , tusimjaji mtu kwa kumuangalia sura yake , Yule ana utu sana ( He is a human )
 
Issue ya nchi hii haijawahi kua kikwete issue kuu kwa sasa ni mfumo ndio maana watz walishaamua kuipumzisha ccm tangu awamu ya pili ya Kikwete....

Hiki chama ccm ni cha kishetani. Bila kukiondoa madarakani nchi itaendelea kupotea
Hizo akili unafikiri wanazo, mtoa post ameshasahau kabisa kwamba alimuhutaji Lissu.
Kwake Bora aendelee kutawaliwa na ccm lakini sio upinzani
 
Watanzania tumekosa akili kiasi hichi
Hamuwazi balaa alilofanya huyu bwana bado mnataka balaa lingine tena

Hakuna anayewaza Sasa kwamba ndiyo muda wa kutafuta katiba mpya
Watu wa humu ni kuwaonea tu huruma. Bado wanatamani ccm uendelee madarakani. Mtoa post kishasahau kwamba Lissu nae anastahili kupewa uraisi
 
Pamoja na mapungufu yake katika awamu ya nne, Rais Kikwete aliweza kujenga mshikamano kwa Watanzania kwa asilimia kubwa jambo ambalo kwa sasa hivi limepungua sana.

Uchumi ulizidi kuimarika, deni la taifa lilikuwa chini, miundombinu ilizidi kujengwa, Watumishi wa Umma walipata increment na walipanda madaraja, ajira zilitolewa bila kutuma maombi. Kwa ufupi, pesa ilikuwepo mtaani.

Hata pale alipoenda kufanyiwa operesheni ya tezi dume hakuna aliyemuombea kifo.

Mungu ndiye muweza wa yote, nakuomba ndg JK pindi ikifika muda muafaka, chukua fomu upeperushe bendera ya CCM kuwania urais.
5 tenaaa
 
Pamoja na mapungufu yake katika awamu ya nne, Rais Kikwete aliweza kujenga mshikamano kwa Watanzania kwa asilimia kubwa jambo ambalo kwa sasa hivi limepungua sana.

Uchumi ulizidi kuimarika, deni la taifa lilikuwa chini, miundombinu ilizidi kujengwa, Watumishi wa Umma walipata increment na walipanda madaraja, ajira zilitolewa bila kutuma maombi. Kwa ufupi, pesa ilikuwepo mtaani.

Hata pale alipoenda kufanyiwa operesheni ya tezi dume hakuna aliyemuombea kifo.

Mungu ndiye muweza wa yote, nakuomba ndg JK pindi ikifika muda muafaka, chukua fomu upeperushe bendera ya CCM kuwania urais.
Kosa lake lilikuwa kulifanyia UNAFIKI katiba mpya, pale wahafidhina walipomuweka sawa .
 
Watu wa humu ni kuwaonea tu huruma. Bado wanatamani ccm uendelee madarakani. Mtoa post kishasahau kwamba Lissu nae anastahili kupewa uraisi
Suala la msingi katiba mpya iundwe kabla ya mambo mengine yote na tume iwe huru ndiyo watu waende kwenye uchaguzi Kama kweli lisemwalo lipo
Tukienda hivihivi bado hamna chochote
 
Yaan Kama kunawatu ni wanafik duniani ni watanzania mtu anathubutu kusema kikwete arudi madarakani Yaan wanasahau wale viongozi wao njaa kali walivyokuw wanambeza hadharani kwamba hafai Mara Hana msimamo, Hakai Tanzania akatulia anasafiri kilacku Mara nchi ilikuw masikini twiga wanabebwa kwa ndege na kupelekwa nje ya nchi.

Alafu Leo et Bora arudi Yaan celew ni hamna ubongo mkumbuke maneno yenu au.... Kiufupi mtake mctake Rais magu Anaendelea na atapitishwa mwngne kutoka ccm wakati ukifika.

kiufupi tuacheni ubishi Hakuna mtu yeyote kutoka upinzani anayeweza kuongoza hii nchi hao wanapigaga lomoni tuu hamna chochote ikifika wakati wa uchaguzi wanatafuta walio hama ccm ndo wanawaweka wagombee urais ..inaonyeshaje walivyo hawajiamin naishia hapo tuu

Nipeni chai kwanza
Acha ujinga na kujipendekeza.
 
Pamoja na mapungufu yake katika awamu ya nne, Rais Kikwete aliweza kujenga mshikamano kwa Watanzania kwa asilimia kubwa jambo ambalo kwa sasa hivi limepungua sana.

Uchumi ulizidi kuimarika, deni la taifa lilikuwa chini, miundombinu ilizidi kujengwa, Watumishi wa Umma walipata increment na walipanda madaraja, ajira zilitolewa bila kutuma maombi. Kwa ufupi, pesa ilikuwepo mtaani.

Hata pale alipoenda kufanyiwa operesheni ya tezi dume hakuna aliyemuombea kifo.

Mungu ndiye muweza wa yote, nakuomba ndg JK pindi ikifika muda muafaka, chukua fomu upeperushe bendera ya CCM kuwania urais.
Tuache na Chuma chetu,
 
Yaan Kama kunawatu ni wanafik duniani ni watanzania mtu anathubutu kusema kikwete arudi madarakani Yaan wanasahau wale viongozi wao njaa kali walivyokuw wanambeza hadharani kwamba hafai Mara Hana msimamo, Hakai Tanzania akatulia anasafiri kilacku Mara nchi ilikuw masikini twiga wanabebwa kwa ndege na kupelekwa nje ya nchi.

Alafu Leo et Bora arudi Yaan celew ni hamna ubongo mkumbuke maneno yenu au.... Kiufupi mtake mctake Rais magu Anaendelea na atapitishwa mwngne kutoka ccm wakati ukifika.

kiufupi tuacheni ubishi Hakuna mtu yeyote kutoka upinzani anayeweza kuongoza hii nchi hao wanapigaga lomoni tuu hamna chochote ikifika wakati wa uchaguzi wanatafuta walio hama ccm ndo wanawaweka wagombee urais ..inaonyeshaje walivyo hawajiamin naishia hapo tuu

Nipeni chai kwanza
eti tunataka Rais asiyecheka
 
Sasa unaambiwa huyo Mwigulu ndio one of the best Ministers so far kwenye balaza la mawaziri
Msikivu, hasie na majigambo , mwenye huruma na msaada mkubwa kwa wabunge wenzie na wananchi very humble and down to earth sio hivyo mnavyodhania

don’t judge the book by its cover , tusimjaji mtu kwa kumuangalia sura yake , Yule ana utu sana ( He is a human )
hhahhhahhaaahahaha "kwa wabunge wenzie,kwenye balaza la mawaziri" ..............mwigulu huyuhuyu mwenye mdomo mchafu..................samahani tushushe hapahapa.
 
Achana na JK lakini kwangu mimi naona wafutao wanaweza badili maisha yetu yakawa bora zaidi

1. Makamba January

2. JAFO

3. PROF kabudi

4. Lissu

5. Zitto
Pamoja na mapungufu yake katika awamu ya nne, Rais Kikwete aliweza kujenga mshikamano kwa Watanzania kwa asilimia kubwa jambo ambalo kwa sasa hivi limepungua sana.

Uchumi ulizidi kuimarika, deni la taifa lilikuwa chini, miundombinu ilizidi kujengwa, Watumishi wa Umma walipata increment na walipanda madaraja, ajira zilitolewa bila kutuma maombi. Kwa ufupi, pesa ilikuwepo mtaani.

Hata pale alipoenda kufanyiwa operesheni ya tezi dume hakuna aliyemuombea kifo.

Mungu ndiye muweza wa yote, nakuomba ndg JK pindi ikifika muda muafaka, chukua fomu upeperushe bendera ya CCM kuwania urais.
 
Back
Top Bottom