Nashauri awamu ya sita agombee Rais Mstaafu Ndg. Jakaya Kikwete

Nashauri awamu ya sita agombee Rais Mstaafu Ndg. Jakaya Kikwete

Mpe nafasi agombee kwa wazazi wako pengine awe baba yako,
Nafasi yake ilishapita, ukimpenda saana nenda kaishi kwake ujimilikishe awe baba yako.
Akitoka magufuri tunaanza upya na si wa zamani.
Pamoja na mapungufu yake katika awamu ya nne, Rais Kikwete aliweza kujenga mshikamano kwa Watanzania kwa asilimia kubwa jambo ambalo kwa sasa hivi limepungua sana.

Uchumi ulizidi kuimarika, deni la taifa lilikuwa chini, miundombinu ilizidi kujengwa, Watumishi wa Umma walipata increment na walipanda madaraja, ajira zilitolewa bila kutuma maombi. Kwa ufupi, pesa ilikuwepo mtaani.

Hata pale alipoenda kufanyiwa operesheni ya tezi dume hakuna aliyemuombea kifo.

Mungu ndiye muweza wa yote, nakuomba ndg JK pindi ikifika muda muafaka, chukua fomu upeperushe bendera ya CCM kuwania urais.
 
Pamoja na mapungufu yake katika awamu ya nne, Rais Kikwete aliweza kujenga mshikamano kwa Watanzania kwa asilimia kubwa jambo ambalo kwa sasa hivi limepungua sana.

Uchumi ulizidi kuimarika, deni la taifa lilikuwa chini, miundombinu ilizidi kujengwa, Watumishi wa Umma walipata increment na walipanda madaraja, ajira zilitolewa bila kutuma maombi. Kwa ufupi, pesa ilikuwepo mtaani.

Hata pale alipoenda kufanyiwa operesheni ya tezi dume hakuna aliyemuombea kifo.

Mungu ndiye muweza wa yote, nakuomba ndg JK pindi ikifika muda muafaka, chukua fomu upeperushe bendera ya CCM kuwania urais.
Si mpaka Magufuli akubali kuachia hiyo nafasi.
 
Yaan Kama kunawatu ni wanafik duniani ni watanzania mtu anathubutu kusema kikwete arudi madarakani Yaan wanasahau wale viongozi wao njaa kali walivyokuw wanambeza hadharani kwamba hafai Mara Hana msimamo, Hakai Tanzania akatulia anasafiri kilacku Mara nchi ilikuw masikini twiga wanabebwa kwa ndege na kupelekwa nje ya nchi.

Alafu Leo et Bora arudi Yaan celew ni hamna ubongo mkumbuke maneno yenu au.... Kiufupi mtake mctake Rais magu Anaendelea na atapitishwa mwngne kutoka ccm wakati ukifika.

kiufupi tuacheni ubishi Hakuna mtu yeyote kutoka upinzani anayeweza kuongoza hii nchi hao wanapigaga lomoni tuu hamna chochote ikifika wakati wa uchaguzi wanatafuta walio hama ccm ndo wanawaweka wagombee urais ..inaonyeshaje walivyo hawajiamin naishia hapo tuu

Nipeni chai kwanza
Uko vizuri kwenye ujinga, Hahaahhaah kuta una familia wanakutegemea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mmejengewa station ya SGR tena umbo la tanzanite bado hamuna shukrani 😄
 
Hapo kwenye Deni la taifa kulikuwa dogo kuliko la Rais RAIS Nyerere, Mwnyii au RAIS Mkapa?
 
Leo kikwete amekuwa mzuri, akiondoka huyu naye mtasema bora yeye

unafiki ni kitu kibaya sana
 
Pamoja na mapungufu yake katika awamu ya nne, Rais Kikwete aliweza kujenga mshikamano kwa Watanzania kwa asilimia kubwa jambo ambalo kwa sasa hivi limepungua sana.

Uchumi ulizidi kuimarika, deni la taifa lilikuwa chini, miundombinu ilizidi kujengwa, Watumishi wa Umma walipata increment na walipanda madaraja, ajira zilitolewa bila kutuma maombi. Kwa ufupi, pesa ilikuwepo mtaani.

Hata pale alipoenda kufanyiwa operesheni ya tezi dume hakuna aliyemuombea kifo.

Mungu ndiye muweza wa yote, nakuomba ndg JK pindi ikifika muda muafaka, chukua fomu upeperushe bendera ya CCM kuwania urais.

Tumeshatoka Misri, hatuwezi kurudi huko KAMWE.
 
Tujifunze kuandika vitu kulingana na katiba yetu, habari kama hii inaweza kumpotosha mtu wa F2 kwenye Civics.
 
Back
Top Bottom