Riz 1 sio mwenye nchi tunataka wasukuma ndio wenyenchiMimi nadhani hata riz 1 atatufaa sana inshaalah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Riz 1 sio mwenye nchi tunataka wasukuma ndio wenyenchiMimi nadhani hata riz 1 atatufaa sana inshaalah
Wapo kwa waganga wakichuana kugombea teuziNasikitika sana Mana sioni wadau wa Lumumba wapo waapi Bia yetu , USSR kimya, wote wapi kimya semeni neno.
Du ili watiane ububu msimu wa kuapa.Wapo kwa waganga wakichuana kugombea teuzi
Pamoja na mapungufu yake katika awamu ya nne, Rais Kikwete aliweza kujenga mshikamano kwa Watanzania kwa asilimia kubwa jambo ambalo kwa sasa hivi limepungua sana.
Uchumi ulizidi kuimarika, deni la taifa lilikuwa chini, miundombinu ilizidi kujengwa, Watumishi wa Umma walipata increment na walipanda madaraja, ajira zilitolewa bila kutuma maombi. Kwa ufupi, pesa ilikuwepo mtaani.
Hata pale alipoenda kufanyiwa operesheni ya tezi dume hakuna aliyemuombea kifo.
Mungu ndiye muweza wa yote, nakuomba ndg JK pindi ikifika muda muafaka, chukua fomu upeperushe bendera ya CCM kuwania urais.
Si mpaka Magufuli akubali kuachia hiyo nafasi.Pamoja na mapungufu yake katika awamu ya nne, Rais Kikwete aliweza kujenga mshikamano kwa Watanzania kwa asilimia kubwa jambo ambalo kwa sasa hivi limepungua sana.
Uchumi ulizidi kuimarika, deni la taifa lilikuwa chini, miundombinu ilizidi kujengwa, Watumishi wa Umma walipata increment na walipanda madaraja, ajira zilitolewa bila kutuma maombi. Kwa ufupi, pesa ilikuwepo mtaani.
Hata pale alipoenda kufanyiwa operesheni ya tezi dume hakuna aliyemuombea kifo.
Mungu ndiye muweza wa yote, nakuomba ndg JK pindi ikifika muda muafaka, chukua fomu upeperushe bendera ya CCM kuwania urais.
Uko vizuri kwenye ujinga, Hahaahhaah kuta una familia wanakutegemeaYaan Kama kunawatu ni wanafik duniani ni watanzania mtu anathubutu kusema kikwete arudi madarakani Yaan wanasahau wale viongozi wao njaa kali walivyokuw wanambeza hadharani kwamba hafai Mara Hana msimamo, Hakai Tanzania akatulia anasafiri kilacku Mara nchi ilikuw masikini twiga wanabebwa kwa ndege na kupelekwa nje ya nchi.
Alafu Leo et Bora arudi Yaan celew ni hamna ubongo mkumbuke maneno yenu au.... Kiufupi mtake mctake Rais magu Anaendelea na atapitishwa mwngne kutoka ccm wakati ukifika.
kiufupi tuacheni ubishi Hakuna mtu yeyote kutoka upinzani anayeweza kuongoza hii nchi hao wanapigaga lomoni tuu hamna chochote ikifika wakati wa uchaguzi wanatafuta walio hama ccm ndo wanawaweka wagombee urais ..inaonyeshaje walivyo hawajiamin naishia hapo tuu
Nipeni chai kwanza
Ya nini? Funeral?Labda wameteuliwa kwenye Kamati.
Mbona kashaondoka na watu wanasheherekea?Leo kikwete amekuwa mzuri, akiondoka huyu naye mtasema bora yeye
unafiki ni kitu kibaya sana
Pamoja na mapungufu yake katika awamu ya nne, Rais Kikwete aliweza kujenga mshikamano kwa Watanzania kwa asilimia kubwa jambo ambalo kwa sasa hivi limepungua sana.
Uchumi ulizidi kuimarika, deni la taifa lilikuwa chini, miundombinu ilizidi kujengwa, Watumishi wa Umma walipata increment na walipanda madaraja, ajira zilitolewa bila kutuma maombi. Kwa ufupi, pesa ilikuwepo mtaani.
Hata pale alipoenda kufanyiwa operesheni ya tezi dume hakuna aliyemuombea kifo.
Mungu ndiye muweza wa yote, nakuomba ndg JK pindi ikifika muda muafaka, chukua fomu upeperushe bendera ya CCM kuwania urais.
Mungu keshamwongezea milele yote [emoji40]Mbona kuna mswada aliyepo aongezewe
Uongo kaka thibitishaMungu keshamwongezea milele yote [emoji40]
Natamani nikutoe out nzito hahaTutampa urais Tundu Lissu au konda msafi
Imeisha hiyo hahahaa
Majaaliwa hyu huyu auRais ajae ni Majaliwa Kassim Majaliwa na waziri wake mkuu atakua Freeman Mbowe....Save this
Lkn????"Hata pale alipoenda kufanyiwa operesheni ya tezi dume hakuna aliyemuombea kifo."