Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #21
Hili hapamkuu,bandiko lako bila picha ya daraja jipya la wami.hujalitendea haki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili hapamkuu,bandiko lako bila picha ya daraja jipya la wami.hujalitendea haki.
Lile ni Machinjio mapya kwa malori na mabasi, ile kona sio nzuri kabisa hasa lori zikishafeli brake.Kwakua tumedhamiria kukamua Kila Senti, kama ilivyo kwa Daraja la Kigamboni na lile la TanZanite, nashauri Mchungaji, Dr Mwigulu Nchemba aanzishe TOZO ya kupita Daraja kubwa, jipya, zuri la WAMI.
MAGARI yanayopita pale ni mengi sana, itakua chanzo kizuri sana Cha Mapato.
Nimemaliza, acha mkamuliwe Hadi Damu
DcoKwakua tumedhamiria kukamua Kila Senti, kama ilivyo kwa Daraja la Kigamboni na lile la TanZanite, nashauri Mchungaji, Dr Mwigulu Nchemba aanzishe TOZO ya kupita Daraja kubwa, jipya, zuri la WAMI.
MAGARI yanayopita pale ni mengi sana, itakua chanzo kizuri sana Cha Mapato.
Nimemaliza, acha mkamuliwe Hadi Damu
I Love thisHatuhamii Burundi ila Mwigulu katufundisha tununue decoder huko na tutalipia huko huko bila tozo yoyote ile.
HahahahahahahahaKina Kassim mmelisikia hilo ? Naomba mkalitizame kwa ukaribu.
Hili jipya halina Kona sanaLile ni Machinjio mapya kwa malori na mabasi, ile kona sio nzuri kabisa hasa lori zikishafeli brake.
Kwa aina ya uendeshaji wa madereva vijana hasa kwenye malori majanga yatakuwa makubwa.
Shukrani sana sana3D image after ending construction 👇🏾.
View attachment 2337718
Far image seen, close ending on construction 🚧 👇🏾.
View attachment 2337719
Kona kali ipo mkuu ngoja niitazame ile clip niipandishe hapa.Hili jipya halina Kona sana
Yeap, UKITOKEA upande wa Tanga sio? Sema haiko sharp sanaKona kali ipo mkuu ngoja niitazame ile clip niipandishe hapa.
Wabongo ni mabingwa wa kutoa kasoro.Lile ni Machinjio mapya kwa malori na mabasi, ile kona sio nzuri kabisa hasa lori zikishafeli brake.
Kwa aina ya uendeshaji wa madereva vijana hasa kwenye malori majanga yatakuwa makubwa.
Hata kama landscape hairuhusu wao wanalazimisha barabara inyooke.Wabongo ni mabingwa wa kutoa kasoro.
Kutokea Tanga sijaona Kona yoyote kali tena barabara imeboreshwa,kutokea Msata sijui kama kuna kona kali na barabara yake ni Pana sana.Yeap, UKITOKEA upande wa Tanga sio? Sema haiko sharp sana
Kutokea Mandela pale kijijini kwenda darajani(kama unatoka Tanga ) kuna down...na ule upande wa pili wa ile kambi ya jeshi Kihangaiko..kuna vijikona vya kiaina..ngoja tuone likiisha.Kutokea Tanga sijaona Kona yoyote kali tena barabara imeboreshwa,kutokea Msata sijui kama kuna kona kali na barabara yake ni Pana sana.
Manyoko zako mbwa mkubwa ww
Kama kutakua na Kona basi TOZO ipungueKutokea Mandela pale kijijini kwenda darajani(kama unatoka Tanga ) kuna down...na ule upande wa pili wa ile kambi ya jeshi Kihangaiko..kuna vijikona vya kiaina..ngoja tuone likiisha.
Mshahara ,unakatwa Kodi ,(pay) ukiwekwa Bank wanakata Tozo .Huo ni ujuha, si limejengwa kwa kodi zetu? Tulipie mara mbili?