Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakua tumedhamiria kukamua Kila Senti, kama ilivyo kwa Daraja la Kigamboni na lile la TanZanite, nashauri Mchungaji, Dr Mwigulu Nchemba aanzishe TOZO ya kupita Daraja kubwa, jipya, zuri la WAMI.
MAGARI yanayopita pale ni mengi sana, itakua chanzo kizuri sana Cha Mapato.
Nimemaliza, acha mkamuliwe Hadi Damu
Yeah, muhimu sana sana! Lile la pale Kawe na la Buguruni mnayaonaje? Hayawezi kuwa source NZURI ya TOZO? Na lile pale MwanzaHata kijazi interchange waweke tozo pale.
Good source of income.Yeah, muhimu sana sana! Lile la pale Kawe na la Buguruni mnayaonaje? Hayawezi kuwa source NZURI ya TOZO? Na lile pale Mwanza
Hili nalo mkalitizameGood source of income.
Hahaahahaa wale wote wanaongia Lodge/Guests/Hotel 🛏️ muda wa mchana lazima walipeSasa hivi ukicheka tu buku.
Ukilia buku.
Ukijikuna buku.
Ukikaa buku.
Elli, mshauri Zakayo Mchungaji Pastor Mwigulu Nchemba aweke tozo kuvuka kwenye madaraja yote nchini. Anaachaje hela inapotea kizembe namna hiyo?Kwakua tumedhamiria kukamua Kila Senti, kama ilivyo kwa Daraja la Kigamboni na lile la TanZanite, nashauri Mchungaji, Dr Mwigulu Nchemba aanzishe TOZO ya kupita Daraja kubwa, jipya, zuri la WAMI.
MAGARI yanayopita pale ni mengi sana, itakua chanzo kizuri sana Cha Mapato.
Nimemaliza, acha mkamuliwe Hadi Damu
Na Mikumi watu wanaangalia wanyama burebure! Walipie utalii wa ndani.Na kupita Mlima Sekenke kuwe na Tozo.
Wengi hupita wakiwa wamesinzia.burebure
No stressKwakua wamekupiga shavu la kushoto unaamua kumgeuzia na shavu la kulia
Linapokuja suala la kuijenga nchi lazima ijengwe kwa jasho na damu! Viongozi hawana magari mazuri; VX mpya zimetoka tunazihitaji sana kwa viongozi wetu. Wasafiri wawe wamelala au wamekufa fedha ya serikali lazima ilipwe.Wengi hupita wakiwa wamesinzia.
Kitonga piaNa kupita Mlima Sekenke kuwe na Tozo.
Lakini cha kushangaza rejea utafiti wa TWAWEZWA hawa wako bize na Yanga na SimbaLinapokuja suala la kuijenga nchi lazima ijengwe kwa jasho na damu! Viongozi hawana magari mazuri; VX mpya zimetoka tunazihitaji sana kwa viongozi wetu. Wasafiri wawe wamelala au wamekufa fedha ya serikali lazima ilipwe.
Lisiitwe Wami , liitwe Mwigulu au SamiaKwakua tumedhamiria kukamua Kila Senti, kama ilivyo kwa Daraja la Kigamboni na lile la TanZanite, nashauri Mchungaji, Dr Mwigulu Nchemba aanzishe TOZO ya kupita Daraja kubwa, jipya, zuri la WAMI.
MAGARI yanayopita pale ni mengi sana, itakua chanzo kizuri sana Cha Mapato.
Nimemaliza, acha mkamuliwe Hadi Damu
Manunu wa Wema Sepetu 😅Manyoko zako mbwa mkubwa ww
Daraja la kigamboni na la tanzanite ni madaraja ya jiji na 90% ya watumiaji ni wakazi wa jiji tofauti na la wami watumiaji ni wafanyabiashara na linaunganisha biashara kati ya nchi za afrika mashariki na syo daraja la kupiga selfieKwakua tumedhamiria kukamua Kila Senti, kama ilivyo kwa Daraja la Kigamboni na lile la TanZanite, nashauri Mchungaji, Dr Mwigulu Nchemba aanzishe TOZO ya kupita Daraja kubwa, jipya, zuri la WAMI.
MAGARI yanayopita pale ni mengi sana, itakua chanzo kizuri sana Cha Mapato.
Nimemaliza, acha mkamuliwe Hadi Damu