Nashauri hizi jezi za Taifa Stars zipigwe marufuku kabla ya kesho kuepuka sumu ya udini hapa nchini

Status
Not open for further replies.
Ujinga umejaaa kwenye Vichwa vya Mijitu myeusi. Shithole kabisa kujadili vitu vya kijinga hasa mijadala ya kidini, ni ishara ya Ujinga na Umaskini pumbavu kabisa
 
Hv mbona tuna jezi nzuri tu, ingawa mi ni mpenzi wa simba ile jezi ya blue ,nyeusi na njano inafaa kabisa hawa waliobadili ni wapenda hela tu za manunuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imekula kwake


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu unauhakika gani kama ni waislamu wa uswahilini ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuta muandika mada anapiga vyombo mpaka basi, lakini jezi ya taifa stars ndo anaiona haramu
Na kitimoto utakuta anakula unaambiwa ukifikaga mwezi wa ramadhani mauzo ya kitimoto hua yanapungua sana
 
These are petty issues, viroba vya maiti hamvioni?
 
Tumia neno mkanganyiko na sio mgawanyiko wa taifa kupima mgawanyiko wa taifa sio kwa kutumia mtandao ya kijamii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…