Nashauri hizi jezi za Taifa Stars zipigwe marufuku kabla ya kesho kuepuka sumu ya udini hapa nchini

Status
Not open for further replies.
Wewe Na wa.jinga wenzako ndio mnakuza hili Jambo

Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Na kwa nini asimkojolee mama yake?

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Wewe na hao mnaobishana nao akili zeno zipo nyuma. Ambulance ina msalaba hawalalamiki, mchezaji akiumia wanaoenda kumbeba wamevaa nguo zenye msalaba tim za ulaya zina msalaba na mnazishabikia hadi kuvaa izo jezi mnavaa na kutambiana leo hii jezi ambayo sio official na haitavaliwa na wachezaji mmeanza kuhaji wajinga nyie. Jezi za tstaz zinatengeneza na UHLSPORT KUWENI NA AKILI VICHWA MAJI NYINYI




MOOODS FUTENI IZI MAMBO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kwaya kwenda mbele kwa wahusika lakini Mbwana sijui kama ataimba

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Asante kwa kuweka maoni yako..

Ila mimi nimeileta tu hapa sasa habari za akili za nyuma vipi mkuu![emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…