Nashauri hizi jezi za Taifa Stars zipigwe marufuku kabla ya kesho kuepuka sumu ya udini hapa nchini

Nashauri hizi jezi za Taifa Stars zipigwe marufuku kabla ya kesho kuepuka sumu ya udini hapa nchini

Status
Not open for further replies.
Taifa 0 uganda 5
Wanaleta siasa kwenye mambo ya msingi
IMG_20190323_153509.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli naona nchi yetu imeanza kuwa tofauti na jinsi ilivyokua miaka ya nyuma, yani inafika muda watu wanatafuta pointi ndogo/kubwa kuanzisha taharuki katika jamii.

Nimepita katika mitandao ya kijamii watu wamekasirika na kutuhumu kuwa taifa linagawanywa kidini kwa sababu ya alama ya msalaba iliyo katika jezi ya timu ya taifa.

Kama nchi tumefikia hatua ya kuanza kugawana namna hii? Hii chuki imeanzia wapi maana inafikia watu wanatoa maoni kuwa kesho ni Msalaba 0- Uganda 4

Tanzania inaelekea wapi aisee?
View attachment 1052312

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe Na wa.jinga wenzako ndio mnakuza hili Jambo

Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Ndo tabia zao ku raise hoja za kipumbavu, nakumbuka nikiwa kidato cha nne kuna dogo alikojolea msaafu maeneno ya mbagala jamaa walihamaki wakaenda polisi wakiomba wapewe uyo dogo wamshughulikie, imagine ! Watu wazima kabisa ! Wakat yule dogo hajui hili wala lile, mkuu they are foolish!
Na kwa nini asimkojolee mama yake?

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Kiukweli naona nchi yetu imeanza kuwa tofauti na jinsi ilivyokua miaka ya nyuma, yani inafika muda watu wanatafuta pointi ndogo/kubwa kuanzisha taharuki katika jamii.

Nimepita katika mitandao ya kijamii watu wamekasirika na kutuhumu kuwa taifa linagawanywa kidini kwa sababu ya alama ya msalaba iliyo katika jezi ya timu ya taifa.

Kama nchi tumefikia hatua ya kuanza kugawana namna hii? Hii chuki imeanzia wapi maana inafikia watu wanatoa maoni kuwa kesho ni Msalaba 0- Uganda 4

Tanzania inaelekea wapi aisee?
View attachment 1052312

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe na hao mnaobishana nao akili zeno zipo nyuma. Ambulance ina msalaba hawalalamiki, mchezaji akiumia wanaoenda kumbeba wamevaa nguo zenye msalaba tim za ulaya zina msalaba na mnazishabikia hadi kuvaa izo jezi mnavaa na kutambiana leo hii jezi ambayo sio official na haitavaliwa na wachezaji mmeanza kuhaji wajinga nyie. Jezi za tstaz zinatengeneza na UHLSPORT KUWENI NA AKILI VICHWA MAJI NYINYI




MOOODS FUTENI IZI MAMBO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kwaya kwenda mbele kwa wahusika lakini Mbwana sijui kama ataimba

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Wewe na hao mnaobishana nao akili zeno zipo nyuma. Ambulance ina msalaba hawalalamiki, mchezaji akiumia wanaoenda kumbeba wamevaa nguo zenye msalaba tim za ulaya zina msalaba na mnazishabikia hadi kuvaa izo jezi mnavaa na kutambiana leo hii jezi ambayo sio official na haitavaliwa na wachezaji mmeanza kuhaji wajinga nyie. Jezi za tstaz zinatengeneza na UHLSPORT KUWENI NA AKILI VICHWA MAJI NYINYI




MOOODS FUTENI IZI MAMBO

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kuweka maoni yako..

Ila mimi nimeileta tu hapa sasa habari za akili za nyuma vipi mkuu![emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom