Nashauri hizi jezi za Taifa Stars zipigwe marufuku kabla ya kesho kuepuka sumu ya udini hapa nchini

Nashauri hizi jezi za Taifa Stars zipigwe marufuku kabla ya kesho kuepuka sumu ya udini hapa nchini

Status
Not open for further replies.
Kitu akishaingilia Bashite lazima kiharibike i don't know why
 
Wakuu habari inayosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii ni uzembe wa TFF kuja na aina ya jezi ambayo ina msalaba ndani yake.

Suala hili si la kufanyia mzaha na linaweza kuligawa taifa pamoja na kurejesha nyuma morali na hamasa ya kuishangilia Taifa Stars.

Tanzania haina dini hivyo kuingiza alama ya dini fulani katika Taasisi ya kitaifa sio tu ni kitendo cha kizembe bali ni hatari kwa mustakbali mzima wa amani ya nchi yetu.

View attachment 1052174
Tuache utoto, sawa hii INA msalaba usinunue wala kuivaa, vaa ile ya zamani isiyo na msalaba. Serikali na TFF hawajalazimisha mashabiki kuvaa na hiyo jezi, Unaweza usivae jezi yoyote na ukashangilia, unaweza vaa kanzu, jezi ya club yako au Jezi za Taifa stars zisizo na msalaba. Nadhani baada ya hamasa ya kujaza uwanja, Waganda na mabeberu wengine wametengeneza hii propaganda, TFF na Wizara, Zalisheni au Muagize jezi mbadala usiku wa Leo ili kuepuka propaganda hii ya Kipuuzi. Naamini Luna wasambazaji wenye jezi za zamani Stoo
 
sijui nduguzanguni wakristo mnajisikia faraja gani kutaka kuwavalisha watu wengine msalaba,mimi sioni hata hiyo faida itakayopatikana iwapo mbwana samata kwa mfano atavaa hizo sare,lakini sioni logic ya aliebuni hiyo sare zaidi ya kutafuta maneno ya watu
Yeye alipojenga msikiti akijua wazi kabisa kunankiwango kikubwa cha mashabiki wake waliomfikisha hapo si waislam, si angejenga hata Zahanati, sasa atake asitake ndio atavaa huo msalaba sasa.
 
Msalaba huo waislam hawavai ninavowajua waislam hawana dogo
TFF maana yake Tanzania football fitna na haya yote kayataka makonda specialist of failure akiongoza jambo lazima afeli hapa inadhihirisha kweli alipata ziro
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom