Namshakende
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 671
- 1,644
Kama unaongelea waliosomea degree ya lugha ya kiengereza sawa. Lkn kuna watu wanachukua degree hazihusiani kabisa na iyo lugha. Kwa mfano kama ukichukua degree ya lugha ya kiarabu itakuwajeWasomi wengi hawawezi kuongea Kiingereza kwa unyoofu na kwa kujiamini.
Kuna msomi mmoja ilibidi nimuandikie barua ya kazi maana alikuwa anaenda kuabika kwa madudu aliyoandika. Ajabu ana 1.6 ya HGL na UpperSecond ya Sociology.
Naamini kama huwezi kujieleza kwa unyoofu na kwa lugha nyepesi kule unachokielewa basi wewe hukielewi na kama ulijifunza kwa Kiingereza tunataka ukieleze kwa uzuri kwa lugha hiyo.
Moja ya majuto yangu katika elimu ya juu, nikutojipa muda wa kutosha kujiendeleza kuongea na kuandika kiingereza kwa ufasaha. Niliashumu najua.
Nini maoni yako?
Mkuu umewahi kuwa au kufanya kazi na wazungu ambao kwao sio uingereza,au marekani?Wasomi wengi hawawezi kuongea Kiingereza kwa unyoofu na kwa kujiamini.
Kuna msomi mmoja ilibidi nimuandikie barua ya kazi maana alikuwa anaenda kuabika kwa madudu aliyoandika. Ajabu ana 1.6 ya HGL na UpperSecond ya Sociology.
Naamini kama huwezi kujieleza kwa unyoofu na kwa lugha nyepesi kule unachokielewa basi wewe hukielewi na kama ulijifunza kwa Kiingereza tunataka ukieleze kwa uzuri kwa lugha hiyo.
Moja ya majuto yangu katika elimu ya juu, nikutojipa muda wa kutosha kujiendeleza kuongea na kuandika kiingereza kwa ufasaha. Niliashumu najua.
Nini maoni yako?
Na kuna wengi wanajua kuongea kiingereza ila hawajui kukiandika.Kama mambo umefundishwa kwa kiingereza, unataka tukupimeje uelwa wako kwa Kiswahiliπππ
Muongeaji mzuri wa lugha huwa hachanganyi changanyi lugha mbalimbali katika setting moja. Utaona mtu anahojiwa kwa kiswahili, halafu anajilazimisha kuweka maneno ya kiingereza " ... to me, mimi naona it is better ku-translate tafsri hii kutoka kiswahili kuwa english directly moja kwa moja."Wasomi wengi hawawezi kuongea Kiingereza kwa unyoofu na kwa kujiamini.
Kuna msomi mmoja ilibidi nimuandikie barua ya kazi maana alikuwa anaenda kuabika kwa madudu aliyoandika. Ajabu ana 1.6 ya HGL na UpperSecond ya Sociology.
Naamini kama huwezi kujieleza kwa unyoofu na kwa lugha nyepesi kule unachokielewa basi wewe hukielewi na kama ulijifunza kwa Kiingereza tunataka ukieleze kwa uzuri kwa lugha hiyo.
Moja ya majuto yangu katika elimu ya juu, nikutojipa muda wa kutosha kujiendeleza kuongea na kuandika kiingereza kwa ufasaha. Niliashumu najua.
Nini maoni yako?
Kenya,Malawi zambia wanatumia lugha ya kiingereza wametuzidi Nini?Elimu ya primary lugha iwe English. Samaki mkunje angali mbichi
Kenya,Malawi zambia wanatumia lugha ya kiingereza wametuzidi Nini?
Kiswahili chenyewe bado hatujakaa sawaWasomi wengi hawawezi kuongea Kiingereza kwa unyoofu na kwa kujiamini.
Kuna msomi mmoja ilibidi nimuandikie barua ya kazi maana alikuwa anaenda kuabika kwa madudu aliyoandika. Ajabu ana 1.6 ya HGL na UpperSecond ya Sociology.
Naamini kama huwezi kujieleza kwa unyoofu na kwa lugha nyepesi kule unachokielewa basi wewe hukielewi na kama ulijifunza kwa Kiingereza tunataka ukieleze kwa uzuri kwa lugha hiyo.
Moja ya majuto yangu katika elimu ya juu, nikutojipa muda wa kutosha kujiendeleza kuongea na kuandika kiingereza kwa ufasaha. Niliashumu najua.
Nini maoni yako?
umesahau hili mkuu yaani degree watu wasiwe wanasoma fani yoyote, hizi sijui sociology watu wasome wakiwa form five na six, mtu akifika chuo ni kusoma english course tu miaka mitatu tutafanikiwa sana, maendeleo hayana chama.Wasomi wengi hawawezi kuongea Kiingereza kwa unyoofu na kwa kujiamini.
Kuna msomi mmoja ilibidi nimuandikie barua ya kazi maana alikuwa anaenda kuabika kwa madudu aliyoandika. Ajabu ana 1.6 ya HGL na UpperSecond ya Sociology.
Naamini kama huwezi kujieleza kwa unyoofu na kwa lugha nyepesi kule unachokielewa basi wewe hukielewi na kama ulijifunza kwa Kiingereza tunataka ukieleze kwa uzuri kwa lugha hiyo.
Moja ya majuto yangu katika elimu ya juu, nikutojipa muda wa kutosha kujiendeleza kuongea na kuandika kiingereza kwa ufasaha. Niliashumu najua.
Nini maoni yako?
Kuna wazungu wanajua TZ ni mkoa ulioko π°πͺ . Kama huwezi kujieleza kimataifa, anayejua atakutumia kwa maslahi yake binafsiExposure,kibiashara wapo mbali sana
Nipo nasubiria reply yake..πHaya, hiyo Samaki mkunje angali mbichi iandike kwa kiinglishi shemela..!!
πLet me repeat "intensive course in English before receiving degree, if you fail no degree".
Tuanze na wewe mwenyewe una kiwango Gani cha elimu.Wasomi wengi hawawezi kuongea Kiingereza kwa unyoofu na kwa kujiamini.
Kuna msomi mmoja ilibidi nimuandikie barua ya kazi maana alikuwa anaenda kuabika kwa madudu aliyoandika. Ajabu ana 1.6 ya HGL na UpperSecond ya Sociology.
Naamini kama huwezi kujieleza kwa unyoofu na kwa lugha nyepesi kule unachokielewa basi wewe hukielewi na kama ulijifunza kwa Kiingereza tunataka ukieleze kwa uzuri kwa lugha hiyo.
Moja ya majuto yangu katika elimu ya juu, nikutojipa muda wa kutosha kujiendeleza kuongea na kuandika kiingereza kwa ufasaha. Niliashumu najua.
Nini maoni yako?