matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
-
- #81
Kiingereza sio kigezo, ila ni njia tutakayopimia hayo maudhui kichwani mwa mtahiniwa. Kama hakijui au hawezi kuyaelezea anatia shaka.Utakutana na litoto very stupid ( Engineer; Md) halina hata content wala Moral.. unalipa kazi za juu kwa kigezo cha Kiingereza kwani Italy, Spain, china, Jzpan, Russia, German, France wanaongea kimombo???
Kiswanglishi ni kwa wasomi ambao bado wanajitafuta. Wasomi waliojitambua wanapambana waweze kuongea kiswahili na kiingereza kwa ufasaha bila kuchanganya viwili hivyo.Kiswanglish yaani kuchanganya kiswahili na kiingereza ni default language ya wasomi yaani sio wanajifanyisha ila hio ndio ipo automatically kwao sasa suala la kuongea dull English hapo tatizo
Nchi ulizotaja zote hazijafanikiwa. Poland ni moja ya nchomi masikini tu ulaya na hao matalibani ni watu waliofeli.maslahi gani mkuu kuombea mikopo au, mbona hata kiswahili ni lugha ya kimataifa hujui east afrika yote kiswahili kinazungumzwa kwa ujumla watu zaidi ya millioni 200 wanakipiga, ulienda lini libya au afuganistani
ukakuta wanapiga kiingereza mkuu, wale talibani wajifunze ngeli ya nini mkuu, ulienda lini poland ukakuta wanapiga ngeli ulienda lini ufaransa ukakuta wanapiga ngeli, ni mawazo yangu kila mtu ajifunze lugha ya kimataifa anayoitaka, hakuna kufungwa minyororo na kiingereza.
Siyo kweli. Mimi pia ni msomi wa kutosha sana na nimeishi na kufanyia kazi zangu nje ya nchi kwa takriban miaka 30 ila ninapoongea kiswahili, najua naoingea kiswahili, na ninapoongea kiingereza pia hujua kuwa naongea kiingereza. Hata ninapokuwa kijijini huwa ninajua kuwa pale tunaongea kinyamwezi na wala siwezi kuongea na mama yangu nikamchanganyia kiingereza.Kiswanglish yaani kuchanganya kiswahili na kiingereza ni default language ya wasomi yaani sio wanajifanyisha ila hio ndio ipo automatically kwao sasa suala la kuongea dull English hapo tatizo
Mkuu watu kama nyie huwa nawakubali sana. Na huwa natulia kijufunza vitu. Ila wale wa Kiswanglish huwa siwasikilizi hadi mwisho.Siyo kweli. Mimi ni msomi wa kutosha sana na nimeishi na kufanyia kazi zangu nje ya nchi kwa takriban miaka 30 ila ninapoongea kiswahili, najua naoingea kiswahili, na ninapoongea kiingereza pia hujua kuwa naongea kiingereza. Hata ninapokuwa kijijini huwa ninajua kuwa pale tunaongea kinyamwezi na wala siwezi kuongea na mama yangu nikamchanganyia kiingereza.
Unataka kusema mtu akishasoma anapoteza fahamu ya kutofautisha lugha kwa hiyo akiongeakwa kiingfereza pia atachanganya na kiswahili?
ndugu maendeleo sio lugha wachina kwa asilimia kubwa wanakipiga cha kwao kwani ndugu hujui kabla ya mabeberu ya NATO kuvamia libya walikua wana maendeleo kuzidi nchi nyingi ambazo wanatumia ngeli, kwakweli kama minyororo imekukamata mimi nazungumza russian fluent, Приве́т! Как дела́? inavyotamka pri-vyét. kak dye-Lá? kwa kiingereza ni Hi how are you? Kwakweli nakuombea utumwa ukutoke.Nchi ulizotaja zote hazijafanikiwa. Poland ni moja ya nchomi masikini tu ulaya na hao matalibani ni watu waliofeli.
Ni vizuri angalau tujitutumue na kakiingereza.
Unachanga vitu, angalia kule juu nilipojibu hoja kiswanglish sio kinaongelewa kila sehemu pale juu kumetajwa kuhojiwa maanayake maongezi Rasmussen kama interview nk katika maeneo hayo mfano msomi anahohiwa na mwandishi wa habari maranyingi ndio wasomi hunger kiswanglish sijasema wapo nyumbani na mama wanaongea kiswanglish....Mosi.Siyo kweli. Mimi ni msomi wa kutosha sana na nimeishi na kufanyia kazi zangu nje ya nchi kwa takriban miaka 30 ila ninapoongea kiswahili, najua naoingea kiswahili, na ninapoongea kiingereza pia hujua kuwa naongea kiingereza. Hata ninapokuwa kijijini huwa ninajua kuwa pale tunaongea kinyamwezi na wala siwezi kuongea na mama yangu nikamchanganyia kiingereza.
Unataka kusema mtu akishasoma anapoteza fahamu ya kutofautisha lugha kwa hiyo akiongeakwa kiingfereza pia atachanganya na kiswahili?
Asante kwa maonu mazuri.ndugu maendeleo sio lugha wachina kwa asilimia kubwa wanakipiga cha kwao kwani ndugu hujui kabla ya mabeberu ya NATO kuvamia libya walikua wana maendeleo kuzidi nchi nyingi ambazo wanatumia ngeli, kwakweli kama minyororo imekukamata mimi nazungumza russian fluent, Приве́т! Как дела́? inavyotamka pri-vyét. kak dye-Lá? kwa kiingereza ni Hi how are you? Kwakweli nakuombea utumwa ukutoke.
Tujifunze kwa Singapole. Maana China ilijifunza kwa Singapole. Deng Xioping alijifunza kwa Lee Kuan Yew.Tufikirie vijana wetu wasailiwe kwa Kiswahili tu! Wachina,Warusi,Wahindi,Wajapani,Wakorea bado wanathamini lugha zao!
Kama nimekuelewa vizuri, ina maana kuwa ni wale wanaotaka kujionyesha wanakijuaUnachanga vitu, angalia kule juu nilipojibu hoja kiswanglish sio kinaongelewa kila sehemu pale juu kumetajwa kuhojiwa maanayake maongezi Rasmussen kama interview nk katika maeneo hayo mfano msomi anahohiwa na mwandishi wa habari maranyingi ndio wasomi hunger kiswanglish sijasema wapo nyumbani na mama wanaongea kiswanglish....Mosi.
Pili wewe umesema umekaa nje miaka 20 wewe kwa namna yeyote lazima ukijue kiingereza hapa tunazungumzia graduate wakawaida aliyesoma kayumba kamaliza chuo anaishi zake Buguruni.
Singapore wlikuwa maskini kuliko sisi kwani hawakuwa na raslimali zozote ispokuwa bandari ya kijeshi ya Uingereza. Walipopata uhuru, Uingereza waliondoka, Waziri mkuu wa singapore akawa anataka waungane wawe sehemu ya malaysia, jambo lilipingwa vikali na wanasiasa wa malaysia kutokana na ufuykara wa Singapore.Tujifunze kwa Singapole. Maana China ilijifunza kwa Singapole. Deng Xioping alijifunza kwa Lee Kuan Yew.
Lugha ya taifa wanayo ya kwao, lakini lugha ya msingi (main language) ni Kiingereza. Maana Rais Baba wa taifa lao alikuwa na maono ya kuifanya singapole kuwa Bwawa la waajiriwa wenye viwango. Yaani dunia nzima maHR wafunge safari kwenda kuchota waajiriwa wenye viwango vya kimataifa.
Hawa ndio walikuwa kama sisi kabla ya uhuru.
Jiwe linakujaje hapa,kwa nini usilete mti au chuma ili kutuvuruga zaidi.Shida ni pale mpimaji na mpimwaji wote ni walewale masalia ya Jiwe.
Lee Kuan Yew aka ' Brilliant Dictator.'Singapore wlikuwa maskini kuliko sisi kwani hawakuwa na raslimali zozote ispokuwa bandari ya kijeshi ya Uingereza. Walipopata uhuru, Uingereza waliondoka, Waziri mkuu wa singapore akawa anataka waungane wawe sehemu ya malaysia, jambo lilipingwa vikali na wanasiasa wa malaysia kutokana na ufuykara wa Singapore.
Yule wazir mkuu wa kwanza wa Singapore aliiendesha nchi kwa kibabe sana (Magufuli hafiki hata 5%) na leo hii singapore inaimbwa. Mwanzo wowte huwa ni mgumu sana ambao watanzania wa leo hatuuwezi
Hapa ndo wanasiasa wanapotukosea, alafu wao watoto wao hawasomi hizi shule!Elimu ya primary lugha iwe English. Samaki mkunje angali mbichi
Jiwe na msafara wake walituaibisha Zimbabwe mpaka wakapata msaada toka kwa rais wao ambaye aliwahi kuishi hapa.Jiwe linakujaje hapa,kwa nini usilete mti au chuma ili kutuvuruga zaidi.