unaku na ukuda.hujafikiria suala la usalama. kaz hizi muda mwingine zimahitaji kutotambulika hv nikupe mfano we unafikr gar flan ikujulikana huona kama inahatarisha usalama wa wafanyakaz
unafikir watu wote wanapenda maamuz ya taasisi mbalimbal.hujafikria vizur labda kwa vile haupo huko
Wataweka za kubandika au kuchomeka! Dawa ni kuyapaka rangi tu mbona ni utaratibu mzuri tu
Wewe jamaa umepinda, wahusika watakuwa wanachungulia na kuguna au kuchukia juu ya huu uzi wako.Ukiondoa magari ya IKULU na yale ya Viongozi wa kitaifa;
Naishauri ofisi ya waziri mkuu ikiongozwa na Mh Majaliwa Kassimu kwa kushirikiana na Tamisemi chini ya Bashungwa!
Waelekeze magari yote ya serikali yapakwe rangi ya nembo ya taasisi husika kama ilivyo kwa taasisi chache kama (Polisi,Tanesco, NHC, NSSF n.k)
Na hili lisiishie tu kupaka magari ya SITE na kuacha mashangingi au magari mengine ya mameneja na wakurugenzi pasipo kuwa na rangi za nembo zao!
Maelekezo ya ukamataji magari yasiyo kuwa na nembo wapewe trafiki ili waanze msako wa kukagua kadi za gari feki na dereva atakayekamatwa ahukumiwe kesi ya hujuma.
Hili litasaidia uwajibikaji ili wanainchi waone nani mharibifu wa Mali ya umma, nani anakimbia mbio za hatari barabarani, nani kaenda kulewa muda wa kazi, nani yuko gesti mida ya kazi, nani kabebea mbuzi wake kwenye shangingi la serikali! N.k
Watu wa masijala wahakikishe kila chombo cha moto cha serikali kiwe na rangi za nembo husika ili kuongeza uwajibikaji na kupunguza ukilitimba.
Hili litasaidia mambo kama haya!
1. Madereva wa serikali siku hizi wamebuni mbinu ya kuwa na namba za usajili feki (fake plate number) ambazo hubandika siku za weekend na kutumia gari jambo linalochangia uchakavu wa haraka na kuighalimu serikali kufanya matengenezo
2. Madereva wanapokuwa na hayo magari yasiyo na nembo (waliyoweka feki namba binafsi) ni rahisi sana kuuza au kubadilisha vipuli orijino kwenye gereji bubu na kuitia hasara serikali
3. Matumizi ya mafuta yako juu kwasababu magari yasiyo na nembo yanashawishi mizunguko isiyokuwa ya lazima
4. Magari yasiyo na nembo hayaoneshi uwajibikaji kwa wananchi (hili lipo kisaikolojia zaidi)
Nasema hivi kwasababu nimeshuhudia mashangingi kadhaa ya serikali STL au DFPA lakini wakifika mtaani wanabandika namba binafsi mfano DZA!
Kwahiyo mtu kama huyu akiuza kipuli gereji yoyote hakuna atakaye mshitukia!
Ni kweli. Kuna ujinga mwingi sana wa matumizi ya magari ya Serikali.V8 likiisha badilik plate number inakua mali ya dereva,muhimu kupiga kaunda suit safiii anakula maisha mjini na watoto wazuri.
[emoji38][emoji38], unasemaje? Hebu ongeza sauti tena tukusikie bwasheeeUmenichekesha sana. Zama Mkete alimkimbia Ruge kwa mtego wa aina hiii. Yule dogo pia alikua na V8 katupia kiunoni na Kabastola ka Boss wake Zama akazama mzima mzima kuja kustuka watoto wa3 kaishia kumweka jamaa Billboards ili tujue amempenda kuuuumbe ana maumivu ya karne
Madereva tayari mmeshaanza povu sasa, acha kutumia Mali za uma vibayaAcha roho mbaya, na tutaendelea kuopoa mke wako.
Wanapenda waonekane mashangingi ni yao wanapobebea mishangingi, yakipakwa rangi hata foleni itapungua, wanaotanua tutawajua vizuri kwa rangi zaoWazo zuri ila hatuna wa kumvisha paka kengere, maana wote wenye uwezo huo ndo wanatumia hayo mashangingi
Nilijua tuu kwamba atatokea pimbi kama wewe kwenye huu uzi..Acha roho mbaya, na tutaendelea kuopoa mke wako.
Yaani maendeleo kwenye hizi nchi zetu za Afrika ni shida mnooo, imagine mwananchi hataki kuwa accountable kwa mali za umma,lakini kesho akienda zahanati na kukosa huduma analalamika wakati anaona kabisa dereva au bosi wake wanatumia magari vibaya. Mtu akiiba fedha ya umma anaonekana mwamba. Unawakuta kwenye Bus dereva anaendesha vibaya, hataki kusimama njiani watu wachimbe dawa na hapo ni safari ndefu... Lakini trafiki akuwasimasha na kuuliza je dereva anaendesha vizuri Bus? Bus zima utawasikia ndiyooo.. [emoji23] [emoji23] Yaani ni unafiki tuuRoho mbaya iko wapi, waswahili banaa ndo maana hatuendelei.
Yani maCCM yameharibu sana NCHI hiiYaani maendeleo kwenye hizi nchi zetu za Afrika ni shida mnooo, imagine mwananchi hataki kuwa accountable kwa mali za umma,lakini kesho akienda zahanati na kukosa huduma analalamika wakati anaona kabisa dereva au bosi wake wanatumia magari vibaya. Mtu akiiba fedha ya umma anaonekana mwamba. Unawakuta kwenye Bus dereva anaendesha vibaya, hataki kusimama njiani watu wachimbe dawa na hapo ni safari ndefu... Lakini trafiki akuwasimasha na kuuliza je dereva anaendesha vizuri Bus? Bus zima utawasikia ndiyooo.. [emoji23] [emoji23] Yaani ni unafiki tuu
una uchungu eeh kwa vile hipat wwewe? bahat ya wenzo silalie mlango wamzi!! utangatwa na umbwa
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
DuhHapana julai ,sina uchungu na wao ,nazungumzia matumizi mabovu ambayo hayana tija , haiwezekeni uende na convoy ya vieite 20 kwenda kukagua shule ambayo haina choo au maji.
Haiwezekani msafara wa vieite 30 kwenda kwenye mkutano dodoma while tungetumia technlogy tukafanya online meeting na hizo fedha tutakazoziokoa ziende kama ruzuku kupunguza bei ya mafuta.
Wanalipwa mishahara inayowatosheleza mambo ya kufosi safari ,warsha ,makongamono ni WIZI mtupu.
HahahKabisa zipakwe rangi za upinde wa mvua
Kama kweli lengo ni udereva mbona fresh tu yakipigwa rangi ndo vizuriSafi mbona ya jeshi yana rangi fresh tu. Yote yapigwe rangi
Hshshaaah itsondoa ile unanijuà mi nanKabisa zipakwe rangi za upinde wa mvua
Kama kweli lengo ni udereva mbona fresh tu yakipigwa rangi ndo vizuri