Nashauri magari yote ya Serikali na Taasisi za Umma yapakwe rangi za nembo zao kupunguza ukiritimba


Namba haifamahishi kuwa ni ya serikali? Lini polisi wameenda kukamata watu na gari yenye muonekano wa private?
 
Reactions: Cyb
Dawa ya matumizi mabaya ya hizi v8 za serikali ni kuzipaka zote rangi ya bendera ya taifa hii itaepuka zisitumike kupelekea watoto shule, kupaki kwenye majumba ya starehe au safari zisizo husu shughuli za serikali.
 
Plate number wanabandika private number zingine juu yake. Dawa yapigwe rangi ya bendera ya taifa hii ndo dawa komesha ya matumizi mabaya ya magari ya serikali.
 
Wewe jamaa umepinda, wahusika watakuwa wanachungulia na kuguna au kuchukia juu ya huu uzi wako.

Uliyoyasema ni kweli tupu katika bandiko lako hili.

Atakayekupinga itabidi akapimwe akili yake vizuri.

Gharama kubwa sana inatumika, mfano mafuta, matumizi ya magari, matengenezo n.k.

Juzi bungeni Spika alishauri gari za Serikali zizimwe wanaposhuka viongozi wawapo mikutanoni, madereva watoke ndani ya magari.

Kweli, plate namba fake ni jipu. Unakuta usiku wa manane gari zipo maeneo ya baa au mitaani.

Serikali ikitekeleza ushauri wako, kutakuwa na matumizi sahihi ya magari na kuleta tija kwa Watanzania.
 
[emoji38][emoji38], unasemaje? Hebu ongeza sauti tena tukusikie bwasheee
 
Wazo zuri ila hatuna wa kumvisha paka kengere, maana wote wenye uwezo huo ndo wanatumia hayo mashangingi
 
Wazo zuri ila hatuna wa kumvisha paka kengere, maana wote wenye uwezo huo ndo wanatumia hayo mashangingi
Wanapenda waonekane mashangingi ni yao wanapobebea mishangingi, yakipakwa rangi hata foleni itapungua, wanaotanua tutawajua vizuri kwa rangi zao
 
Roho mbaya iko wapi, waswahili banaa ndo maana hatuendelei.
Yaani maendeleo kwenye hizi nchi zetu za Afrika ni shida mnooo, imagine mwananchi hataki kuwa accountable kwa mali za umma,lakini kesho akienda zahanati na kukosa huduma analalamika wakati anaona kabisa dereva au bosi wake wanatumia magari vibaya. Mtu akiiba fedha ya umma anaonekana mwamba. Unawakuta kwenye Bus dereva anaendesha vibaya, hataki kusimama njiani watu wachimbe dawa na hapo ni safari ndefu... Lakini trafiki akuwasimasha na kuuliza je dereva anaendesha vizuri Bus? Bus zima utawasikia ndiyooo.. [emoji23] [emoji23] Yaani ni unafiki tuu
 
Yani maCCM yameharibu sana NCHI hii

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
una uchungu eeh kwa vile hipat wwewe? bahat ya wenzo silalie mlango wamzi!! utangatwa na umbwa

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app

Hapana julai ,sina uchungu na wao ,nazungumzia matumizi mabovu ambayo hayana tija , haiwezekeni uende na convoy ya vieite 20 kwenda kukagua shule ambayo haina choo au maji.

Haiwezekani msafara wa vieite 30 kwenda kwenye mkutano dodoma while tungetumia technlogy tukafanya online meeting na hizo fedha tutakazoziokoa ziende kama ruzuku kupunguza bei ya mafuta.

Wanalipwa mishahara inayowatosheleza mambo ya kufosi safari ,warsha ,makongamono ni WIZI mtupu.
 
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…