Nashauri magari yote ya Serikali na Taasisi za Umma yapakwe rangi za nembo zao kupunguza ukiritimba

Magari ya Seikali na Mashirika au wakala yanapaswa kuwekwa nembo ubavuni mlangoni ili yafahamike. Dawa ni hiyo tu.
 
Wazo zuri sana

Maana wengine wanazitumia kubebea
Madem zao tu

Ova
 
Wazo zuri sana

Maana wengine wanazitumia kubebea
Madem zao tu

Ova
Kuna connection imevuja gari LA serikali vijana wanafanyia ngono! Yapakwe rangi za nembo zao harafu tinted yasiwekwe serikali yetu ni ya uwazi kwann kujificha ndo maana hata yanatumika kwa magendo
 
Wazo zuri lakini vipi Kama mhusika was wizara atakuwa nikilitimba?
 
Kuna connection imevuja gari LA serikali vijana wanafanyia ngono! Yapakwe rangi za nembo zao harafu tinted yasiwekwe serikali yetu ni ya uwazi kwann kujificha ndo maana hata yanatumika kwa magendo
Duh!Ntupie pm chief

Ova
 
Hivi dhumuni la kuacha gari on wa kiongozi yupo mkutanoni hua ni nini? Nisaidiwe
 
Hivi dhumuni la kuacha gari on wa kiongozi yupo mkutanoni hua ni nini? Nisaidiwe
Wanasema akitoka akute haijapoa ubaridi! Mi zaman nilizani magari ya serikali hayatumii mafuta ya kawaida kama wengine
 
Magari ya Seikali na Mashirika au wakala yanapaswa kuwekwa nembo ubavuni mlangoni ili yafahamike. Dawa ni hiyo tu.
Mashirika ya dini yalianza hili zamani kidogo, na utaratibu uliwekwa na serikali. Sasa ni wakati wa wao kufuata utaratibu walioweka kwa mashirika/taasisi za kidini.
 
Mashirika ya dini yalianza hili zamani kidogo, na utaratibu uliwekwa na serikali. Sasa ni wakati wa wao kufuata utaratibu walioweka kwa mashirika/taasisi za kidini.
Sijui kinachowashinda nn hawa viongozi wetu
 
Inasemekana kuna naibu waziri kaanguka na gari la serikali alikuwa na mchepuko akikimbizwa!.
Nasisitiza magari ya serikali yapakwe rangi ya nembo
 
Habari zilizotufikia mme wa yule mwanamke aliyekuwa anamfukuzia kiongozi kakamatwa kwa uchunguzi wa ajali
 
Habari zilizotufikia mme wa yule mwanamke aliyekuwa anamfukuzia kiongozi kakamatwa kwa uchunguzi wa ajali
Kwani alikuwa dereva wa huyo kiongozi au yeye alikuwa anamfukuza kibaka mla vya wenzie !!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…