- Thread starter
- #81
Samia katoa nenoKabisa zipakwe rangi za upinde wa mvua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia katoa nenoKabisa zipakwe rangi za upinde wa mvua
Kuna mmoja yupo Dodoma huwa anatoa kibao cha STK na kuweka T ... DB.V8 likiisha badilik plate number inakua mali ya dereva,muhimu kupiga kaunda suit safiii anakula maisha mjini na watoto wazuri.
Wengi sanaKuna mmoja yupo Dodoma huwa anatoa kibao cha STK na kuweka T ... DB.
Yapakwe rangi ya nembo kama ilivyo mengineMagari yote ya serikali yapakwe rangi ya bendera ya taifa hii itasaidia kupunguza matumizi mabaya ya magari hayo
Ongezea, weekend madereva wengi wa serikali wasio waaminifu wana weka plate number feki, alafu wanauza mafuta hasa Jpili jioni na kubakiza mafuta kidogo kwani Jumatatu huwa wanajaza full tank, pia wakitumia hizo plate number feki, wanaweza uza spares original na kununua feki kisha kuharibu gari.Ukiondoa magari ya IKULU na yale ya Viongozi wa kitaifa;
Naishauri ofisi ya waziri mkuu ikiongozwa na Mh Majaliwa Kassimu kwa kushirikiana na Tamisemi chini ya Bashungwa!
Waelekeze magari yote ya serikali yapakwe rangi ya nembo ya taasisi husika kama ilivyo kwa taasisi chache kama (Polisi,Tanesco, NHC, NSSF n.k)
Na hili lisiishie tu kupaka magari ya SITE na kuacha mashangingi au magari mengine ya mameneja na wakurugenzi pasipo kuwa na rangi za nembo zao!
Maelekezo ya ukamataji magari yasiyo kuwa na nembo wapewe trafiki ili waanze msako wa kukagua kadi za gari feki na dereva atakayekamatwa ahukumiwe kesi ya hujuma.
Hili litasaidia uwajibikaji ili wanainchi waone nani mharibifu wa Mali ya umma, nani anakimbia mbio za hatari barabarani, nani kaenda kulewa muda wa kazi, nani yuko gesti mida ya kazi, nani kabebea mbuzi wake kwenye shangingi la serikali! N.k
Watu wa masijala wahakikishe kila chombo cha moto cha serikali kiwe na rangi za nembo husika ili kuongeza uwajibikaji na kupunguza ukilitimba.
Hili litasaidia mambo kama haya!
1. Madereva wa serikali siku hizi wamebuni mbinu ya kuwa na namba za usajili feki (fake plate number) ambazo hubandika siku za weekend na kutumia gari jambo linalochangia uchakavu wa haraka na kuighalimu serikali kufanya matengenezo
2. Madereva wanapokuwa na hayo magari yasiyo na nembo (waliyoweka feki namba binafsi) ni rahisi sana kuuza au kubadilisha vipuli orijino kwenye gereji bubu na kuitia hasara serikali
3. Matumizi ya mafuta yako juu kwasababu magari yasiyo na nembo yanashawishi mizunguko isiyokuwa ya lazima
4. Magari yasiyo na nembo hayaoneshi uwajibikaji kwa wananchi (hili lipo kisaikolojia zaidi)
Nasema hivi kwasababu nimeshuhudia mashangingi kadhaa ya serikali STL au DFPA lakini wakifika mtaani wanabandika namba binafsi mfano DZA!
Kwahiyo mtu kama huyu akiuza kipuli gereji yoyote hakuna atakaye mshitukia!
Suzuki Jimmy zinawatosha sanaOngezea, weekend madereva wengi wa serikali wasio waaminifu wana weka plate number feki, alafu wanauza mafuta hasa Jpili jioni na kubakiza mafuta kidogo kwani Jumatatu huwa wanajaza full tank, pia wakitumia hizo plate number feki, wanaweza uza spares original na kununua feki kisha kuharibu gari.
Hili suala muhimu sana kwa serikali kulifanyia kazi, ikiwemo kuacha kununua ma VX V8 kwa viongozi ngazi za chini ya Waziri, wengine wote chini ya Waziri hata Naibu Waziri awe na prado au Land cruiser standard tu.
Sahivi wanataka wawakopeshe! Ebu fikilia kama mwenye gari atachelewa kulifanyia matengenezo huoni itaathili safari za huyo mkurugenziNi kweli. Kuna ujinga mwingi sana wa matumizi ya magari ya Serikali.
## fikilia (fikiria) ### itaathili (itaathiri?Sahivi wanataka wawakopeshe! Ebu fikilia kama mwenye gari atachelewa kulifanyia matengenezo huoni itaathili safari za huyo mkurugenzi
Nimelewa## fikilia (fikiria) ### itaathili (itaathiri?
Mkulungwa, kichwani upo sawa sawa kweli?[emoji3][emoji3]
Hata Jana nimemfuma mtu anachomoa kibaoKuna mmoja yupo Dodoma huwa anatoa kibao cha STK na kuweka T ... DB.
Atakodi Uber au Bolt.Sahivi wanataka wawakopeshe! Ebu fikilia kama mwenye gari atachelewa kulifanyia matengenezo huoni itaathili safari za huyo mkurugenzi
Atakodi Uber au Bolt.
Duniani umefika jana?Unamjua binadamu vizuri kweli na mbinu zake kwa kadiri unavyomletea mikingamo?Utajua hujui!Ukiondoa magari ya IKULU na yale ya Viongozi wa kitaifa;
Naishauri ofisi ya waziri mkuu ikiongozwa na Mh Majaliwa Kassimu kwa kushirikiana na Tamisemi chini ya Bashungwa!
Waelekeze magari yote ya serikali yapakwe rangi ya nembo ya taasisi husika kama ilivyo kwa taasisi chache kama (Polisi,Tanesco, NHC, NSSF n.k)
Na hili lisiishie tu kupaka magari ya SITE na kuacha mashangingi au magari mengine ya mameneja na wakurugenzi pasipo kuwa na rangi za nembo zao!
Maelekezo ya ukamataji magari yasiyo kuwa na nembo wapewe trafiki ili waanze msako wa kukagua kadi za gari feki na dereva atakayekamatwa ahukumiwe kesi ya hujuma.
Hili litasaidia uwajibikaji ili wanainchi waone nani mharibifu wa Mali ya umma, nani anakimbia mbio za hatari barabarani, nani kaenda kulewa muda wa kazi, nani yuko gesti mida ya kazi, nani kabebea mbuzi wake kwenye shangingi la serikali! N.k
Watu wa masijala wahakikishe kila chombo cha moto cha serikali kiwe na rangi za nembo husika ili kuongeza uwajibikaji na kupunguza ukilitimba.
Hili litasaidia mambo kama haya!
1. Madereva wa serikali siku hizi wamebuni mbinu ya kuwa na namba za usajili feki (fake plate number) ambazo hubandika siku za weekend na kutumia gari jambo linalochangia uchakavu wa haraka na kuighalimu serikali kufanya matengenezo
2. Madereva wanapokuwa na hayo magari yasiyo na nembo (waliyoweka feki namba binafsi) ni rahisi sana kuuza au kubadilisha vipuli orijino kwenye gereji bubu na kuitia hasara serikali
3. Matumizi ya mafuta yako juu kwasababu magari yasiyo na nembo yanashawishi mizunguko isiyokuwa ya lazima
4. Magari yasiyo na nembo hayaoneshi uwajibikaji kwa wananchi (hili lipo kisaikolojia zaidi)
Nasema hivi kwasababu nimeshuhudia mashangingi kadhaa ya serikali STL au DFPA lakini wakifika mtaani wanabandika namba binafsi mfano DZA!
Kwahiyo mtu kama huyu akiuza kipuli gereji yoyote hakuna atakaye mshitukia!
Unafikiria hawawezi? Ni boss wa kuwawajibisha hayukoHapana julai ,sina uchungu na wao ,nazungumzia matumizi mabovu ambayo hayana tija , haiwezekeni uende na convoy ya vieite 20 kwenda kukagua shule ambayo haina choo au maji.
Haiwezekani msafara wa vieite 30 kwenda kwenye mkutano dodoma while tungetumia technlogy tukafanya online meeting na hizo fedha tutakazoziokoa ziende kama ruzuku kupunguza bei ya mafuta.
Wanalipwa mishahara inayowatosheleza mambo ya kufosi safari ,warsha ,makongamono ni WIZI mtupu.