- Thread starter
- #101
Pamoja na mbinu zingine! Hii ya kupaka rangi ni nzuriDuniani umefika jana?Unamjua binadamu vizuri kweli na mbinu zake kwa kadiri unavyomletea mikingamo?Utajua hujui!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na mbinu zingine! Hii ya kupaka rangi ni nzuriDuniani umefika jana?Unamjua binadamu vizuri kweli na mbinu zake kwa kadiri unavyomletea mikingamo?Utajua hujui!
Unamjua kiumbe anayeitwa binadamu aliyepewa mamlaka ya kutawala vyote na mazingira yake?Pamoja na mbinu zingine! Hii ya kupaka rangi ni nzuri
Huwezi kuzuia wizi asilimia 100 lakini hutakiwi kuruhusu mianya ya wizi kuwa mikubwa!Unamjua kiumbe anayeitwa binadamu aliyepewa mamlaka ya kutawala vyote na mazingira yake?
Angalia updates kwenye Uzi watu wanavyotumia fursa kisa magari hayana nemboAcha roho mbaya, na tutaendelea kuopoa mke wako.
Acha ghilba, wewe utanufaikaje Kwa wao kukosa V8?Ongezea, weekend madereva wengi wa serikali wasio waaminifu wana weka plate number feki, alafu wanauza mafuta hasa Jpili jioni na kubakiza mafuta kidogo kwani Jumatatu huwa wanajaza full tank, pia wakitumia hizo plate number feki, wanaweza uza spares original na kununua feki kisha kuharibu gari.
Hili suala muhimu sana kwa serikali kulifanyia kazi, ikiwemo kuacha kununua ma VX V8 kwa viongozi ngazi za chini ya Waziri, wengine wote chini ya Waziri hata Naibu Waziri awe na prado au Land cruiser standard tu.
PoleKuna kipindi mwanangu alikua na haya ma prado ya wakurungenzi basi ikifika jioni inatolewa dfpa inawekwa T...CLS alafu tunavimba mjini tumevaa smart mixer jamaa kuniita boss kila mara alooo tuliokota sana toto za uhasibu pale liquid na masai,kigamboni ndio usiseme
Pole na ww kama ni maliPole
Gari ya bure tamu ujuePole na ww kama ni mali
Hahah wakiyapaka rangi ya nembo hawayatayatumia hovyoGari ya bure tamu ujue
Exactly itakuwa tashwishwiwabadili rangi kama gari za shule na wao wachague rangi yao
Wainjoy kodi au maisha! Basi wapandishe tozoAcheni watu waenjoy maisha. Nyie mnachangia kigodoro bila Kodi
Usisahau kutembea na mafuta ya Nazi yatakayo kusaidia kupunguza michubuko pindi utakapowekwa mtu katiAcha roho mbaya, na tutaendelea kuopoa mke wako.
Hata gari la serikali kuchomwaUsisahau kutembea na mafuta ya Nazi yatakayo kusaidia kupunguza michubuko pindi utakapowekwa mtu kati
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
PoaWainjoy kodi au maisha! Basi wapandishe tozo
Pamoja
Kuna gari la serikali lenye tair ya NEMC Limetoa connection! Ndiyo maaana nasisitiza hayo magari yapakwe rangi na yasiwekwe tinted