Nashauri magari yote ya Serikali na Taasisi za Umma yapakwe rangi za nembo zao kupunguza ukiritimba

Nashauri magari yote ya Serikali na Taasisi za Umma yapakwe rangi za nembo zao kupunguza ukiritimba

Unamjua kiumbe anayeitwa binadamu aliyepewa mamlaka ya kutawala vyote na mazingira yake?
Huwezi kuzuia wizi asilimia 100 lakini hutakiwi kuruhusu mianya ya wizi kuwa mikubwa!
Leo hii dreva anaweza kuondoka na gari la serikali kutoka dar hadi bukoba na kurudi na serikali hata isijue!
Wakiyapaka rangi na monitoring zingine itapunguza!
 
Ongezea, weekend madereva wengi wa serikali wasio waaminifu wana weka plate number feki, alafu wanauza mafuta hasa Jpili jioni na kubakiza mafuta kidogo kwani Jumatatu huwa wanajaza full tank, pia wakitumia hizo plate number feki, wanaweza uza spares original na kununua feki kisha kuharibu gari.

Hili suala muhimu sana kwa serikali kulifanyia kazi, ikiwemo kuacha kununua ma VX V8 kwa viongozi ngazi za chini ya Waziri, wengine wote chini ya Waziri hata Naibu Waziri awe na prado au Land cruiser standard tu.
Acha ghilba, wewe utanufaikaje Kwa wao kukosa V8?
 
Kuna kipindi mwanangu alikua na haya ma prado ya wakurungenzi basi ikifika jioni inatolewa dfpa inawekwa T...CLS alafu tunavimba mjini tumevaa smart mixer jamaa kuniita boss kila mara alooo tuliokota sana toto za uhasibu pale liquid na masai,kigamboni ndio usiseme
 
Kuna kipindi mwanangu alikua na haya ma prado ya wakurungenzi basi ikifika jioni inatolewa dfpa inawekwa T...CLS alafu tunavimba mjini tumevaa smart mixer jamaa kuniita boss kila mara alooo tuliokota sana toto za uhasibu pale liquid na masai,kigamboni ndio usiseme
Pole
 
Back
Top Bottom