Nashauri makamu mwenyekiti CHADEMA apumzike tu siasa, yanini kujilazimisha na haiwezekani kamanda?

Nashauri makamu mwenyekiti CHADEMA apumzike tu siasa, yanini kujilazimisha na haiwezekani kamanda?

Huyo unayemuonea huruma na kumuona kachoka, ndiye Mungu atampa ujasiri wa kuwa imara zaidi na kutuongoza.

Mungu ni mtenda miujiza!

Hivi Yuko wapi yule aliyepanga njama za kumwondoa hapa duniani huyo Makamu Mwenyekiti??

Si ndiyo katangulia yeye kwenda kuudongo na huyo aliyemiminiwa risasi 16, bado anaendelea kudunda🙏
Mungu ni wa wote gentleman,

na ndie alienifanya mimi nimuonee huruma huyo muungwana, lakini pia aliekupa wewe uwezo wa kujaribu kumpa ujasiri asiejiweza..

Sisi sote ni waja wake, na kwa wakati muafaka apendavyo yeye kila moja atarejea kwake..

hakuna haja kujihesabia haki wala kujipa umuhimu zaidi ya wengine kwa Mungu..

hata hivyo,
ni ukweli usiopingika kwamba muungwana anahitaji kupumzika na nashauri chama kuchukua hatua stahiki kwa mustakabali wa ustawi wake..

wampatie nafasi ashughulikie masuala yake binafsi, ambayo kwasasa kwa kiasi kikubwa anayabeba na anayaasociet na chama, kitu ambacho si sawa na hana uwezo wa kuwakabili inavyostahili 🐒
 
Kwanini unapenda kuona upinzani dhaifu?
si kweli,
upinzani si dhaifu nchini. udhaifu ni mipango mikakati yao, chuki binafsi baina yao, migawanyiko, uchu wa madaraka na vyeo, tamaa na usaliti miongoni mwao ndiyo hasa changamoto..

hata hivyo,
ushauri wangu kwa chadema ni wa kiutu na kibinadamu zaidi. Nimejawa huruma gentleman 🐒
 
Anatia huruma sana for sure. Ni ngumu kwake, lakini anajaribu kua jasiri kuonyesha ni rahisi kwa namna ambayo haimpi ahuweni wala faida ya kisiasa, nadhani anajiumiza zaidi na kujiongezea udhaifu.

Upo uwezekano mkubwa zaidi kwa wapiga kuru hususani wa chama chake wakaepuka kumpigia kura endapo atagombea uongozi, kwasababu ya hali yake.

Watamuonea huruma na kujali utu wake dhidi ya majukumu mazito ya kitaifa anayotamani kuyabebe. Ni dhahiri ni ngumu, japo anajikaza sana ili walau aonekane yuko fiti, Lakini ukweli ni kwamba utimamu wa mwili unatia huruma sana na mashaka makubwa. Huenda ameshauriwa hata na wanaomsaidia kitaalamu kiafya, ila karma ya ubishi, tamaa, ufahari na ubinafsi inamzonga, anakaidi.


Ukifuatilia aina ya siasa zake, kiongozi huyo muandamizi ana malalamiko binafsi mengi zaidi, ya malalamiko ya wananchi. Amebaki na ujasiri wa kulaumu na kuwabeza na kukejeli viongozi waandamizi wa serikali tu maskini dah..

Ana simulizi nyingi mno, za mambo mengi sana humu nchini, ambazo angetamani kuwasimulia wananchi walau kupoteza muda. Hana mawazo mapya tena, wala fikra mbdala, za malalamiko yake binafsi, wala yale ya wananchi ya sasa. Kwakweli ni mjuzi na mahiri wa simulizi zenye kuibua hisia kali, lakini zisizobadili wala kutikisa mitazamo au uelekeo wa wananchi kisiasa, kijamii au kiuchumi.

Ana hasira mno moyoni, ana chuki na uhasama binafsi dhidi ya viongozi waandamizi serikalini lakini pia na viongozi wa kisiasa wa vyama vingine, jambo ambalo linamtesa na kudhoofisha zaidi uimara na utimamu wake wa jumla.

Amechoka sana kisiasa. Dhamira na uzalendo wake kwa Taifa unaibua mashaka makubwa mno. Ni tegemezi, anaetegemezwa na mabwenyenye ya ng"ambo. Na huenda hilo likawafanya wapinzani wenye nia ya kuunganisha nguvu, wakasita kufanya hivyo kwasababu ya hilo, ikiwa muungwana atang"ang"ania kupewa nafasi ya kubeba bendera ya upinzani kwenye chaguzi zijazo.

Aliwahi kueleza mwenywe bayana kwamba, kiwango cha madawa anachotumia kwa siku kujiimarisha, ili awe fiti ni kikubwa mno na hawezi kueleza zaidi. Hii inatia huruma sana, inatafakarisha mno na fikirisha sana.

Hivi chadema hamna huruma, au Yeye muungwana ndie hajionei huruma? Hakuna watu wengine mahiri wa kubeba jukumu hilo muhimu?

Binafsi namuonea huruma sana huyu muungwana, vipi wewe ndugu mdau?

au mnabuy time tu ili baadae kwa wakati muafaka, mumtose kama wengine huko nyuma kulingana na historia ?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Unadhani uliyo zungumza kunayoyote angekuzuia kuzungumza. La hasha kwasababu ni wewe mwenyewe umeyabuni kutoka kwenye kichwa chako. Kwakuwa watu wanaupeo tofauti tofauti za kufikiri na kujua mambo, basi niseme kuwa upeo wako siyo mwisho wakufikiri kwa wengine, huo ni mchango wako na mawazo yako si lazima na wengine waweze kuwaza kama uwazavyo wewe. Ndiyo maana maamuzi mengi huwa yanafanywa na jopo la maamuzi.
 
Amekuwa Magufuli aliyekuwa anapumua kwa kutumia moyo unayotumia umeme?wenye umeme wakikata wao umeme hakuna kupumua.
kwani muungwana ana Tatizo la kiafya gentleman?🐒
 
Huyo unayemuonea huruma na kumuona kachoka, ndiye Mungu atampa ujasiri wa kuwa imara zaidi na kutuongoza.

Mungu ni mtenda miujiza!

Hivi Yuko wapi yule aliyepanga njama za kumwondoa hapa duniani huyo Makamu Mwenyekiti??

Si ndiyo katangulia yeye kwenda kuudongo na huyo aliyemiminiwa risasi 16, bado anaendelea kudunda🙏
Miujiza tena?
 
Anatia huruma sana for sure. Ni ngumu kwake, lakini anajaribu kua jasiri kuonyesha ni rahisi kwa namna ambayo haimpi ahuweni wala faida ya kisiasa, nadhani anajiumiza zaidi na kujiongezea udhaifu.

Upo uwezekano mkubwa zaidi kwa wapiga kuru hususani wa chama chake wakaepuka kumpigia kura endapo atagombea uongozi, kwasababu ya hali yake.

Watamuonea huruma na kujali utu wake dhidi ya majukumu mazito ya kitaifa anayotamani kuyabebe. Ni dhahiri ni ngumu, japo anajikaza sana ili walau aonekane yuko fiti, Lakini ukweli ni kwamba utimamu wa mwili unatia huruma sana na mashaka makubwa. Huenda ameshauriwa hata na wanaomsaidia kitaalamu kiafya, ila karma ya ubishi, tamaa, ufahari na ubinafsi inamzonga, anakaidi.


Ukifuatilia aina ya siasa zake, kiongozi huyo muandamizi ana malalamiko binafsi mengi zaidi, ya malalamiko ya wananchi. Amebaki na ujasiri wa kulaumu na kuwabeza na kukejeli viongozi waandamizi wa serikali tu maskini dah..

Ana simulizi nyingi mno, za mambo mengi sana humu nchini, ambazo angetamani kuwasimulia wananchi walau kupoteza muda. Hana mawazo mapya tena, wala fikra mbdala, za malalamiko yake binafsi, wala yale ya wananchi ya sasa. Kwakweli ni mjuzi na mahiri wa simulizi zenye kuibua hisia kali, lakini zisizobadili wala kutikisa mitazamo au uelekeo wa wananchi kisiasa, kijamii au kiuchumi.

Ana hasira mno moyoni, ana chuki na uhasama binafsi dhidi ya viongozi waandamizi serikalini lakini pia na viongozi wa kisiasa wa vyama vingine, jambo ambalo linamtesa na kudhoofisha zaidi uimara na utimamu wake wa jumla.

Amechoka sana kisiasa. Dhamira na uzalendo wake kwa Taifa unaibua mashaka makubwa mno. Ni tegemezi, anaetegemezwa na mabwenyenye ya ng"ambo. Na huenda hilo likawafanya wapinzani wenye nia ya kuunganisha nguvu, wakasita kufanya hivyo kwasababu ya hilo, ikiwa muungwana atang"ang"ania kupewa nafasi ya kubeba bendera ya upinzani kwenye chaguzi zijazo.

Aliwahi kueleza mwenywe bayana kwamba, kiwango cha madawa anachotumia kwa siku kujiimarisha, ili awe fiti ni kikubwa mno na hawezi kueleza zaidi. Hii inatia huruma sana, inatafakarisha mno na fikirisha sana.

Hivi chadema hamna huruma, au Yeye muungwana ndie hajionei huruma? Hakuna watu wengine mahiri wa kubeba jukumu hilo muhimu?

Binafsi namuonea huruma sana huyu muungwana, vipi wewe ndugu mdau?

au mnabuy time tu ili baadae kwa wakati muafaka, mumtose kama wengine huko nyuma kulingana na historia ?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kama wewe ndio LISSU yaliomkuta tungalikuwa tushakuzika au unaokota makopo njiani. Kumininiwa risasi kama mvua lkn bado ukawa unacheka, unaimba na unafurahi hata kuliko huyo aliekumiminiya risasi sio jambo la kawaida ktk dunia hii. Tunaona askari tu akibambikiwa kesi kama ya wizi makazini kwa bahati mbaya ,akichomoka tu anarudisha magwanda na anatafuta jembe akalime, anaona isiwe na noma.
 
IMG_6103.jpeg
 
Jiwe alipiga pushups kwenye majukwaa leo hii yupo wapo boss? Mbona hukumuonea huruma? Usichezee huruma yako kwa wasiokuhusu, itakuwa matumizi mabaya sana ya huruma
Plz plz gentleman tuwage na huruma kwa wenzetu, na hakuna haja kufananisha mambo yasiyo fanana hata kidogo..

kwani muungwana ana Tatizo la kiafya? huruma yangu ni kwamba hali aliyonayo inaweza kuzalisha tatizo la kiafya na hiyo haitakua nzuri..

vilivyomo ndani ya mwili wake nadhani vinahitaji utulivu zaidi ya kashkash na mbilingembilinge za kisiasa..

Nadhani pale chadema wapo wengi sana wa kuchukua wajibu huo na huyu muungwana akapata wasaa wa kutosha kujihudumia na kupumzika 🐒
 
Wakutumwa wakutumwa.
Ugali noma.
mdogo wake hamza unajulikana vizuri hunaga huruma kama hamza tu kaka yako uliembandika kama avatar yako. Katili sana wew gentleman 🐒

ugali ndio unamfanya muungwana akomae jukwaani hata kama hawezi, right?
 
Plz plz gentleman tuwage na huruma kwa wenzetu, na hakuna haja kufananisha mambo yasiyo fanana hata kidogo..

kwani muungwana ana Tatizo la kiafya? huruma yangu ni kwamba hali aliyonayo inaweza kuzalisha tatizo la kiafya na hiyo haitakua nzuri..

vilivyomo ndani ya mwili wake nadhani vinahitaji utulivu zaidi ya kashkash na mbilingembilinge za kisiasa..

Nadhani pale chadema wapo wengi sana wa kuchukua wajibu huo na huyu muungwana akapata wasaa wa kutosha kujihudumia na kupumzika 🐒

Tunza tu huruma yako kiongozi, wapo wengi sana wa kuwahurumia huko vijijini wanabebana kwenye matenga kwenda kutibiwa, wape tu hiyo huruma yako! Achana na Simba baba atakutesa sana. Chawa wote lazima wataje jina lake kutafuta relevance. Mbona yupo juu sana tu? Huoni? Hivyo vilivyomo ndani yake havikuhusu, we mzima angalia yako, mbona dunia ina mambo mengi tu ya kufanya mkubwa?
 
Anatia huruma sana for sure. Ni ngumu kwake, lakini anajaribu kua jasiri kuonyesha ni rahisi kwa namna ambayo haimpi ahuweni wala faida ya kisiasa, nadhani anajiumiza zaidi na kujiongezea udhaifu.

Upo uwezekano mkubwa zaidi kwa wapiga kuru hususani wa chama chake wakaepuka kumpigia kura endapo atagombea uongozi, kwasababu ya hali yake.

Watamuonea huruma na kujali utu wake dhidi ya majukumu mazito ya kitaifa anayotamani kuyabebe. Ni dhahiri ni ngumu, japo anajikaza sana ili walau aonekane yuko fiti, Lakini ukweli ni kwamba utimamu wa mwili unatia huruma sana na mashaka makubwa. Huenda ameshauriwa hata na wanaomsaidia kitaalamu kiafya, ila karma ya ubishi, tamaa, ufahari na ubinafsi inamzonga, anakaidi.


Ukifuatilia aina ya siasa zake, kiongozi huyo muandamizi ana malalamiko binafsi mengi zaidi, ya malalamiko ya wananchi. Amebaki na ujasiri wa kulaumu na kuwabeza na kukejeli viongozi waandamizi wa serikali tu maskini dah..

Ana simulizi nyingi mno, za mambo mengi sana humu nchini, ambazo angetamani kuwasimulia wananchi walau kupoteza muda. Hana mawazo mapya tena, wala fikra mbdala, za malalamiko yake binafsi, wala yale ya wananchi ya sasa. Kwakweli ni mjuzi na mahiri wa simulizi zenye kuibua hisia kali, lakini zisizobadili wala kutikisa mitazamo au uelekeo wa wananchi kisiasa, kijamii au kiuchumi.

Ana hasira mno moyoni, ana chuki na uhasama binafsi dhidi ya viongozi waandamizi serikalini lakini pia na viongozi wa kisiasa wa vyama vingine, jambo ambalo linamtesa na kudhoofisha zaidi uimara na utimamu wake wa jumla.

Amechoka sana kisiasa. Dhamira na uzalendo wake kwa Taifa unaibua mashaka makubwa mno. Ni tegemezi, anaetegemezwa na mabwenyenye ya ng"ambo. Na huenda hilo likawafanya wapinzani wenye nia ya kuunganisha nguvu, wakasita kufanya hivyo kwasababu ya hilo, ikiwa muungwana atang"ang"ania kupewa nafasi ya kubeba bendera ya upinzani kwenye chaguzi zijazo.

Aliwahi kueleza mwenywe bayana kwamba, kiwango cha madawa anachotumia kwa siku kujiimarisha, ili awe fiti ni kikubwa mno na hawezi kueleza zaidi. Hii inatia huruma sana, inatafakarisha mno na fikirisha sana.

Hivi chadema hamna huruma, au Yeye muungwana ndie hajionei huruma? Hakuna watu wengine mahiri wa kubeba jukumu hilo muhimu?

Binafsi namuonea huruma sana huyu muungwana, vipi wewe ndugu mdau?

au mnabuy time tu ili baadae kwa wakati muafaka, mumtose kama wengine huko nyuma kulingana na historia ?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
wacha tuchague wenyewe.. kwani wew ni nani hadi utuchagulie... out of 100% .. 80% yote anaongelea yeye kutaka kuuwawa... 20% ndo unaona anatema cheche za kuwanufaisha wadanganyika...

tutachagua kiongozi kwa huruma yetu kwake na sio sera zake..
😁😁😁😁😁😁
 
Anatia huruma sana for sure. Ni ngumu kwake, lakini anajaribu kua jasiri kuonyesha ni rahisi kwa namna ambayo haimpi ahuweni wala faida ya kisiasa, nadhani anajiumiza zaidi na kujiongezea udhaifu.

Upo uwezekano mkubwa zaidi kwa wapiga kuru hususani wa chama chake wakaepuka kumpigia kura endapo atagombea uongozi, kwasababu ya hali yake.

Watamuonea huruma na kujali utu wake dhidi ya majukumu mazito ya kitaifa anayotamani kuyabebe. Ni dhahiri ni ngumu, japo anajikaza sana ili walau aonekane yuko fiti, Lakini ukweli ni kwamba utimamu wa mwili unatia huruma sana na mashaka makubwa. Huenda ameshauriwa hata na wanaomsaidia kitaalamu kiafya, ila karma ya ubishi, tamaa, ufahari na ubinafsi inamzonga, anakaidi.


Ukifuatilia aina ya siasa zake, kiongozi huyo muandamizi ana malalamiko binafsi mengi zaidi, ya malalamiko ya wananchi. Amebaki na ujasiri wa kulaumu na kuwabeza na kukejeli viongozi waandamizi wa serikali tu maskini dah..

Ana simulizi nyingi mno, za mambo mengi sana humu nchini, ambazo angetamani kuwasimulia wananchi walau kupoteza muda. Hana mawazo mapya tena, wala fikra mbdala, za malalamiko yake binafsi, wala yale ya wananchi ya sasa. Kwakweli ni mjuzi na mahiri wa simulizi zenye kuibua hisia kali, lakini zisizobadili wala kutikisa mitazamo au uelekeo wa wananchi kisiasa, kijamii au kiuchumi.

Ana hasira mno moyoni, ana chuki na uhasama binafsi dhidi ya viongozi waandamizi serikalini lakini pia na viongozi wa kisiasa wa vyama vingine, jambo ambalo linamtesa na kudhoofisha zaidi uimara na utimamu wake wa jumla.

Amechoka sana kisiasa. Dhamira na uzalendo wake kwa Taifa unaibua mashaka makubwa mno. Ni tegemezi, anaetegemezwa na mabwenyenye ya ng"ambo. Na huenda hilo likawafanya wapinzani wenye nia ya kuunganisha nguvu, wakasita kufanya hivyo kwasababu ya hilo, ikiwa muungwana atang"ang"ania kupewa nafasi ya kubeba bendera ya upinzani kwenye chaguzi zijazo.

Aliwahi kueleza mwenywe bayana kwamba, kiwango cha madawa anachotumia kwa siku kujiimarisha, ili awe fiti ni kikubwa mno na hawezi kueleza zaidi. Hii inatia huruma sana, inatafakarisha mno na fikirisha sana.

Hivi chadema hamna huruma, au Yeye muungwana ndie hajionei huruma? Hakuna watu wengine mahiri wa kubeba jukumu hilo muhimu?

Binafsi namuonea huruma sana huyu muungwana, vipi wewe ndugu mdau?

au mnabuy time tu ili baadae kwa wakati muafaka, mumtose kama wengine huko nyuma kulingana na historia ?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Vipi kama ukamshauri Menyekiti?
 
Anatia huruma sana for sure. Ni ngumu kwake, lakini anajaribu kua jasiri kuonyesha ni rahisi kwa namna ambayo haimpi ahuweni wala faida ya kisiasa, nadhani anajiumiza zaidi na kujiongezea udhaifu.

Upo uwezekano mkubwa zaidi kwa wapiga kuru hususani wa chama chake wakaepuka kumpigia kura endapo atagombea uongozi, kwasababu ya hali yake.

Watamuonea huruma na kujali utu wake dhidi ya majukumu mazito ya kitaifa anayotamani kuyabebe. Ni dhahiri ni ngumu, japo anajikaza sana ili walau aonekane yuko fiti, Lakini ukweli ni kwamba utimamu wa mwili unatia huruma sana na mashaka makubwa. Huenda ameshauriwa hata na wanaomsaidia kitaalamu kiafya, ila karma ya ubishi, tamaa, ufahari na ubinafsi inamzonga, anakaidi.


Ukifuatilia aina ya siasa zake, kiongozi huyo muandamizi ana malalamiko binafsi mengi zaidi, ya malalamiko ya wananchi. Amebaki na ujasiri wa kulaumu na kuwabeza na kukejeli viongozi waandamizi wa serikali tu maskini dah..

Ana simulizi nyingi mno, za mambo mengi sana humu nchini, ambazo angetamani kuwasimulia wananchi walau kupoteza muda. Hana mawazo mapya tena, wala fikra mbdala, za malalamiko yake binafsi, wala yale ya wananchi ya sasa. Kwakweli ni mjuzi na mahiri wa simulizi zenye kuibua hisia kali, lakini zisizobadili wala kutikisa mitazamo au uelekeo wa wananchi kisiasa, kijamii au kiuchumi.

Ana hasira mno moyoni, ana chuki na uhasama binafsi dhidi ya viongozi waandamizi serikalini lakini pia na viongozi wa kisiasa wa vyama vingine, jambo ambalo linamtesa na kudhoofisha zaidi uimara na utimamu wake wa jumla.

Amechoka sana kisiasa. Dhamira na uzalendo wake kwa Taifa unaibua mashaka makubwa mno. Ni tegemezi, anaetegemezwa na mabwenyenye ya ng"ambo. Na huenda hilo likawafanya wapinzani wenye nia ya kuunganisha nguvu, wakasita kufanya hivyo kwasababu ya hilo, ikiwa muungwana atang"ang"ania kupewa nafasi ya kubeba bendera ya upinzani kwenye chaguzi zijazo.

Aliwahi kueleza mwenywe bayana kwamba, kiwango cha madawa anachotumia kwa siku kujiimarisha, ili awe fiti ni kikubwa mno na hawezi kueleza zaidi. Hii inatia huruma sana, inatafakarisha mno na fikirisha sana.

Hivi chadema hamna huruma, au Yeye muungwana ndie hajionei huruma? Hakuna watu wengine mahiri wa kubeba jukumu hilo muhimu?

Binafsi namuonea huruma sana huyu muungwana, vipi wewe ndugu mdau?

au mnabuy time tu ili baadae kwa wakati muafaka, mumtose kama wengine huko nyuma kulingana na historia ?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Amekusikia ili atulie nyumbani uwe unampikia chakula huku unachelea rungu.
 
Unadhani uliyo zungumza kunayoyote angekuzuia kuzungumza. La hasha kwasababu ni wewe mwenyewe umeyabuni kutoka kwenye kichwa chako. Kwakuwa watu wanaupeo tofauti tofauti za kufikiri na kujua mambo, basi niseme kuwa upeo wako siyo mwisho wakufikiri kwa wengine, huo ni mchango wako na mawazo yako si lazima na wengine waweze kuwaza kama uwazavyo wewe. Ndiyo maana maamuzi mengi huwa yanafanywa na jopo la maamuzi.
umezungumza vizuri sana gentleman,

haya ni maoni, mtazamo na huruma yangu kwa namna nimuonavyo muungwana kwenye majukwaa ya kisiasa..

ni muhimu sana,
ikiwa kuna mawazo mapya na fikra mbdala bora zaidi, sawa au kinyume na hoja yangu wadau wako Free kuyatoa kwa mustakabali mwema wa umoja, amani, utulivu na ustawi wa Demokrasia ndani ya vyama vya siasa nchini 🐒
 
Wewe unaita malalamiko binafsi lakini hayo malalamiko ndio wanayotendewa watanzania wengi ila tatizo wanakosa sehemu ya kusema na wengi wanaogopa mkono wa dola kuwarudia kwa mara ya pili.
Mleta uzi Lissu ni asset kwenye nchi hii,uwezo wake na kuponea tundu la sindano kwenye shambulio la mvua ya risasi ni uthibitisho tosha kuwa Mungu ana kazi naye hapa duniani.
Kama wewe binafsi unamuonea huruma na kutaka aache siasa ni ngumu kukuelewa.
Kupigwa kwake risasi kulitokana na yeye kuwa mwanasiasa.Sasa inakuwaje leo amenusurika kifo aache siasa na ulemavu alioupata kwenye siasa??

Nakushauri onea huruma familia yako na wazazi wako mbona nao wana hali mbaya ya umaskini??
 
Back
Top Bottom