Nashauri makamu mwenyekiti CHADEMA apumzike tu siasa, yanini kujilazimisha na haiwezekani kamanda?

Nashauri makamu mwenyekiti CHADEMA apumzike tu siasa, yanini kujilazimisha na haiwezekani kamanda?

Kama wewe ndio LISSU yaliomkuta tungalikuwa tushakuzika au unaokota makopo njiani. Kumininiwa risasi kama mvua lkn bado ukawa unacheka, unaimba na unafurahi hata kuliko huyo aliekumiminiya risasi sio jambo la kawaida ktk dunia hii. Tunaona askari tu akibambikiwa kesi kama ya wizi makazini kwa bahati mbaya ,akichomoka tu anarudisha magwanda na anatafuta jembe akalime, anaona isiwe na noma.
hayo yote ni sawa gentleman,

but binafsi nimeamua kujitenga na unafiki wa wengine, kumpamba muungwana eti anaweza hali ya kua anatia huruma tu..

Nashauri chama kimshauri hivyo, na kisimuache hivi hivi, kimsaidie yale machache binafsi ili angalau asaidike kadiri inavyofaa 🐒
 
Anatia huruma sana for sure. Ni ngumu kwake, lakini anajaribu kua jasiri kuonyesha ni rahisi kwa namna ambayo haimpi ahuweni wala faida ya kisiasa, nadhani anajiumiza zaidi na kujiongezea udhaifu.

Upo uwezekano mkubwa zaidi kwa wapiga kuru hususani wa chama chake wakaepuka kumpigia kura endapo atagombea uongozi, kwasababu ya hali yake.

Watamuonea huruma na kujali utu wake dhidi ya majukumu mazito ya kitaifa anayotamani kuyabebe. Ni dhahiri ni ngumu, japo anajikaza sana ili walau aonekane yuko fiti, Lakini ukweli ni kwamba utimamu wa mwili unatia huruma sana na mashaka makubwa. Huenda ameshauriwa hata na wanaomsaidia kitaalamu kiafya, ila karma ya ubishi, tamaa, ufahari na ubinafsi inamzonga, anakaidi.


Ukifuatilia aina ya siasa zake, kiongozi huyo muandamizi ana malalamiko binafsi mengi zaidi, ya malalamiko ya wananchi. Amebaki na ujasiri wa kulaumu na kuwabeza na kukejeli viongozi waandamizi wa serikali tu maskini dah..

Ana simulizi nyingi mno, za mambo mengi sana humu nchini, ambazo angetamani kuwasimulia wananchi walau kupoteza muda. Hana mawazo mapya tena, wala fikra mbdala, za malalamiko yake binafsi, wala yale ya wananchi ya sasa. Kwakweli ni mjuzi na mahiri wa simulizi zenye kuibua hisia kali, lakini zisizobadili wala kutikisa mitazamo au uelekeo wa wananchi kisiasa, kijamii au kiuchumi.

Ana hasira mno moyoni, ana chuki na uhasama binafsi dhidi ya viongozi waandamizi serikalini lakini pia na viongozi wa kisiasa wa vyama vingine, jambo ambalo linamtesa na kudhoofisha zaidi uimara na utimamu wake wa jumla.

Amechoka sana kisiasa. Dhamira na uzalendo wake kwa Taifa unaibua mashaka makubwa mno. Ni tegemezi, anaetegemezwa na mabwenyenye ya ng"ambo. Na huenda hilo likawafanya wapinzani wenye nia ya kuunganisha nguvu, wakasita kufanya hivyo kwasababu ya hilo, ikiwa muungwana atang"ang"ania kupewa nafasi ya kubeba bendera ya upinzani kwenye chaguzi zijazo.

Aliwahi kueleza mwenywe bayana kwamba, kiwango cha madawa anachotumia kwa siku kujiimarisha, ili awe fiti ni kikubwa mno na hawezi kueleza zaidi. Hii inatia huruma sana, inatafakarisha mno na fikirisha sana.

Hivi chadema hamna huruma, au Yeye muungwana ndie hajionei huruma? Hakuna watu wengine mahiri wa kubeba jukumu hilo muhimu?

Binafsi namuonea huruma sana huyu muungwana, vipi wewe ndugu mdau?

au mnabuy time tu ili baadae kwa wakati muafaka, mumtose kama wengine huko nyuma kulingana na historia ?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Hivi umepata usingizi usiku wa kuamkia leo au ulikuwa unamuota ndotoni?

Kunywa Mo energy labda utazinduka!
 
Tunza tu huruma yako kiongozi, wapo wengi sana wa kuwahurumia huko vijijini wanabebana kwenye matenga kwenda kutibiwa, wape tu hiyo huruma yako! Achana na Simba baba atakutesa sana. Chawa wote lazima wataje jina lake kutafuta relevance. Mbona yupo juu sana tu? Huoni? Hivyo vilivyomo ndani yake havikuhusu, we mzima angalia yako, mbona dunia ina mambo mengi tu ya kufanya mkubwa?
I can confirm to you without fear of contradictions, wanachama wa Chadema wengi wanamuhurumia zaidi yangu huyo muungwana,

Na wengi wanaweza wasijitokeze kupiga kura au hata watakao jitokeza wasimpigie kwasabb tu wanamuonea huruma na hawangependelea kumpa majukumu mazito mtu ambae ni dhahiri hata kujihudumia mwenyewe tu ni tabu..

so,
akiachwa atakiathiri chama chake mwenyewe, kura za huruma alizokua akizipata awali zimebadilika hivi sasa 🐒
 
I can confirm to you without fear of contradictions, wanachama wa Chadema wengi wanamuhurumia zaidi yangu huyo muungwana,

Na wengi wanaweza wasijitokeze kupiga kura au hata watakao jitokeza wasimpigie kwasabb tu wanamuonea huruma na hawangependelea kumpa majukumu mazito mtu ambae ni dhahiri hata kujihudumia mwenyewe tu ni tabu..

so,
akiachwa atakiathiri chama chake mwenyewe, kura za huruma alizokua akizipata awali zimebadilika hivi sasa 🐒

Kumbe unapiga za mbali kiongozi? Mashaka yako ni kura za mama yenu, nishakusoma sasa? Si mlishasema mmemaliza mchakato?

Hebu tukumbushane...
 

Attachments

  • 5770917-12f2f23d25bbe7fc3516e11af8120993.mp4
    15.1 MB
  • 5811319-c90487a0a3c9f670172c401e803cbac6.mp4
    3.5 MB
Anatia huruma sana for sure. Ni ngumu kwake, lakini anajaribu kua jasiri kuonyesha ni rahisi kwa namna ambayo haimpi ahuweni wala faida ya kisiasa, nadhani anajiumiza zaidi na kujiongezea udhaifu.

Upo uwezekano mkubwa zaidi kwa wapiga kuru hususani wa chama chake wakaepuka kumpigia kura endapo atagombea uongozi, kwasababu ya hali yake.

Watamuonea huruma na kujali utu wake dhidi ya majukumu mazito ya kitaifa anayotamani kuyabebe. Ni dhahiri ni ngumu, japo anajikaza sana ili walau aonekane yuko fiti, Lakini ukweli ni kwamba utimamu wa mwili unatia huruma sana na mashaka makubwa. Huenda ameshauriwa hata na wanaomsaidia kitaalamu kiafya, ila karma ya ubishi, tamaa, ufahari na ubinafsi inamzonga, anakaidi.


Ukifuatilia aina ya siasa zake, kiongozi huyo muandamizi ana malalamiko binafsi mengi zaidi, ya malalamiko ya wananchi. Amebaki na ujasiri wa kulaumu na kuwabeza na kukejeli viongozi waandamizi wa serikali tu maskini dah..

Ana simulizi nyingi mno, za mambo mengi sana humu nchini, ambazo angetamani kuwasimulia wananchi walau kupoteza muda. Hana mawazo mapya tena, wala fikra mbdala, za malalamiko yake binafsi, wala yale ya wananchi ya sasa. Kwakweli ni mjuzi na mahiri wa simulizi zenye kuibua hisia kali, lakini zisizobadili wala kutikisa mitazamo au uelekeo wa wananchi kisiasa, kijamii au kiuchumi.

Ana hasira mno moyoni, ana chuki na uhasama binafsi dhidi ya viongozi waandamizi serikalini lakini pia na viongozi wa kisiasa wa vyama vingine, jambo ambalo linamtesa na kudhoofisha zaidi uimara na utimamu wake wa jumla.

Amechoka sana kisiasa. Dhamira na uzalendo wake kwa Taifa unaibua mashaka makubwa mno. Ni tegemezi, anaetegemezwa na mabwenyenye ya ng"ambo. Na huenda hilo likawafanya wapinzani wenye nia ya kuunganisha nguvu, wakasita kufanya hivyo kwasababu ya hilo, ikiwa muungwana atang"ang"ania kupewa nafasi ya kubeba bendera ya upinzani kwenye chaguzi zijazo.

Aliwahi kueleza mwenywe bayana kwamba, kiwango cha madawa anachotumia kwa siku kujiimarisha, ili awe fiti ni kikubwa mno na hawezi kueleza zaidi. Hii inatia huruma sana, inatafakarisha mno na fikirisha sana.

Hivi chadema hamna huruma, au Yeye muungwana ndie hajionei huruma? Hakuna watu wengine mahiri wa kubeba jukumu hilo muhimu?

Binafsi namuonea huruma sana huyu muungwana, vipi wewe ndugu mdau?

au mnabuy time tu ili baadae kwa wakati muafaka, mumtose kama wengine huko nyuma kulingana na historia ?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Maisha yake hayalingani na wewe kabisa. Anajua anachofanya na faida yake. Nilini waliwahi kutangaza wewe uchangiwe hata bajaji
 
wacha tuchague wenyewe.. kwani wew ni nani hadi utuchagulie... out of 100% .. 80% yote anaongelea yeye kutaka kuuwawa... 20% ndo unaona anatema cheche za kuwanufaisha wadanganyika...

tutachagua kiongozi kwa huruma yetu kwake na sio sera zake..
😁😁😁😁😁😁
kwamba 80% ya simulizi zake zenye hisia sana kwenye mikutano yake ya kisiasa anazungumzia zaidi madai yake binafsi na tukio la kupigwa kwake risasi, right?🤣

halafu 20% ndio anaweza kuitumia kuibeza serikali kidogo huku sera za Chama chake hazizungumii kabisa, right?

Ntafatilia kwa karibu zaidi ili kujiridhisha..

But all in all binafsi namuonea huruma sana muungwana, kwa jinsi anavyo jiforce kufanya mambo ya siasa 🐒
 
I can confirm to you without fear of contradictions, wanachama wa Chadema wengi wanamuhurumia zaidi yangu huyo muungwana,

Na wengi wanaweza wasijitokeze kupiga kura au hata watakao jitokeza wasimpigie kwasabb tu wanamuonea huruma na hawangependelea kumpa majukumu mazito mtu ambae ni dhahiri hata kujihudumia mwenyewe tu ni tabu..

so,
akiachwa atakiathiri chama chake mwenyewe, kura za huruma alizokua akizipata awali zimebadilika hivi sasa 🐒
Mbona Magu alipigiwa na ana betri mwilini? Au anaenda Ikulu kuinua vyuma? Chawa wa ccm akili.. .
 
Wewe unaita malalamiko binafsi lakini hayo malalamiko ndio wanayotendewa watanzania wengi ila tatizo wanakosa sehemu ya kusema na wengi wanaogopa mkono wa dola kuwarudia kwa mara ya pili.
Mleta uzi Lissu ni asset kwenye nchi hii,uwezo wake na kuponea tundu la sindano kwenye shambulio la mvua ya risasi ni uthibitisho tosha kuwa Mungu ana kazi naye hapa duniani.
Kama wewe binafsi unamuonea huruma na kutaka aache siasa ni ngumu kukuelewa.
Kupigwa kwake risasi kulitokana na yeye kuwa mwanasiasa.Sasa inakuwaje leo amenusurika kifo aache siasa na ulemavu alioupata kwenye siasa??

Nakushauri onea huruma familia yako na wazazi wako mbona nao wana hali mbaya ya umaskini??
gentleman,
sidhani kama ulemavu unaweza kua kikwazo katika kufanya au kushiriki kazi, wajibu na uongozi wa kisiasa..

nadhani utimamu ndio hasa kinachonitia huruma mimi na waTanzania wengine wazalendo kwamba kwa alivyo, muungwana hakuna awezalo kwenye siasa..

kumpatia fursa ni kumpatia mzigo mzito asio uweza kuubeba lakini pia kama chama kujibebesha kisichobebeka..

ni ngumu hata kumnadi ukaelewe kwa jamii eti huyu inafaa apatiwe wajibu fulani wa uongozi kwenye chama au kweingineko 🐒
 
gentleman,
sidhani kama ulemavu unaweza kua kikwazo katika kufanya au kushiriki kazi, wajibu na uongozi wa kisiasa..

nadhani utimamu ndio hasa kinachonitia huruma mimi na waTanzania wengine wazalendo kwamba kwa alivyo, muungwana hakuna awezalo kwenye siasa..

kumpatia fursa ni kumpatia mzigo mzito asio uweza kuubeba lakini pia kama chama kujibebesha kisichobebeka..

ni ngumu hata kumnadi ukaelewe kwa jamii eti huyu inafaa apatiwe wajibu fulani wa uongozi kwenye chama au kweingineko 🐒

Timamu wenu yuko wapi leo aliyekufuru hadi kujiita jiwe? Kwa hiyo mama yenu ana uwezo wa kubeba mizigo mizito zaidi ya Simba?
 
Hivi umepata usingizi usiku wa kuamkia leo au ulikuwa unamuota ndotoni?

Kunywa Mo energy labda utazinduka!
walau uwe unakunywa maji gentleman, sio hivyo ambavyo unakunywa, ni hatari sana kwa afya yako gentleman..

hata hivyo,
zingatia kula vizuri, kulala vizuri na kupumzisha mwili wako na itapendeza zaidi 🐒
 
Kumbe unapiga za mbali kiongozi? Mashaka yako ni kura za mama yenu, nishakusoma sasa? Si mlishasema mmemaliza mchakato?

Hebu tukumbushane...
Tuache unafiki gentleman, tuwe na utu, muungwana anatia huruma, apumzike tu 🐒
 
Tuache unafiki gentleman, tuwe na utu, muungwana anatia huruma, apumzike tu 🐒

Tuache unafiki, pumzi uliyonayo isikupe jeuri ya kudhalilisha watu na kujiona una haki ya maisha sana, inaweza kupigwa switch off leo hii tukakusahau JF, acha watu wafanye mission zao walizotumwa na Mungu. Anayejua hatma ya binadamu including yako sio wewe! Acheni kukufuru, mlimtukana Lowassa sana mkiamini mna jiwe, matokeo yake likawa vumbi likamuacha anadunda na mabilioni lililoficha huko duniani, wazungu wanakula tu sasa hivi likayaacha jiwe.
 
Anatia huruma sana for sure. Ni ngumu kwake, lakini anajaribu kua jasiri kuonyesha ni rahisi kwa namna ambayo haimpi ahuweni wala faida ya kisiasa, nadhani anajiumiza zaidi na kujiongezea udhaifu.

Upo uwezekano mkubwa zaidi kwa wapiga kuru hususani wa chama chake wakaepuka kumpigia kura endapo atagombea uongozi, kwasababu ya hali yake.

Watamuonea huruma na kujali utu wake dhidi ya majukumu mazito ya kitaifa anayotamani kuyabebe. Ni dhahiri ni ngumu, japo anajikaza sana ili walau aonekane yuko fiti, Lakini ukweli ni kwamba utimamu wa mwili unatia huruma sana na mashaka makubwa. Huenda ameshauriwa hata na wanaomsaidia kitaalamu kiafya, ila karma ya ubishi, tamaa, ufahari na ubinafsi inamzonga, anakaidi.


Ukifuatilia aina ya siasa zake, kiongozi huyo muandamizi ana malalamiko binafsi mengi zaidi, ya malalamiko ya wananchi. Amebaki na ujasiri wa kulaumu na kuwabeza na kukejeli viongozi waandamizi wa serikali tu maskini dah..

Ana simulizi nyingi mno, za mambo mengi sana humu nchini, ambazo angetamani kuwasimulia wananchi walau kupoteza muda. Hana mawazo mapya tena, wala fikra mbdala, za malalamiko yake binafsi, wala yale ya wananchi ya sasa. Kwakweli ni mjuzi na mahiri wa simulizi zenye kuibua hisia kali, lakini zisizobadili wala kutikisa mitazamo au uelekeo wa wananchi kisiasa, kijamii au kiuchumi.

Ana hasira mno moyoni, ana chuki na uhasama binafsi dhidi ya viongozi waandamizi serikalini lakini pia na viongozi wa kisiasa wa vyama vingine, jambo ambalo linamtesa na kudhoofisha zaidi uimara na utimamu wake wa jumla.

Amechoka sana kisiasa. Dhamira na uzalendo wake kwa Taifa unaibua mashaka makubwa mno. Ni tegemezi, anaetegemezwa na mabwenyenye ya ng"ambo. Na huenda hilo likawafanya wapinzani wenye nia ya kuunganisha nguvu, wakasita kufanya hivyo kwasababu ya hilo, ikiwa muungwana atang"ang"ania kupewa nafasi ya kubeba bendera ya upinzani kwenye chaguzi zijazo.

Aliwahi kueleza mwenywe bayana kwamba, kiwango cha madawa anachotumia kwa siku kujiimarisha, ili awe fiti ni kikubwa mno na hawezi kueleza zaidi. Hii inatia huruma sana, inatafakarisha mno na fikirisha sana.

Hivi chadema hamna huruma, au Yeye muungwana ndie hajionei huruma? Hakuna watu wengine mahiri wa kubeba jukumu hilo muhimu?

Binafsi namuonea huruma sana huyu muungwana, vipi wewe ndugu mdau?

au mnabuy time tu ili baadae kwa wakati muafaka, mumtose kama wengine huko nyuma kulingana na historia ?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mkuu toa boriti ilipo kwenye jicho lako kabla ya kufikiri kutoa lilipo kwa mwenzio.

Mkuu ni miezi 3 sasa, jazeni nafasi ya makamu Mwenyekiti wa chama tawala kwanza, ndio udandie kwa wengine!!

Halafu Tlaatlaah, Pili pili usiyoila yakuwashia nini!!! Ama kweli Nyani haoni kundule!!!
 
Maisha yake hayalingani na wewe kabisa. Anajua anachofanya na faida yake. Nilini waliwahi kutangaza wewe uchangiwe hata bajaji
gentleman,
suala hapa sio kulinganisha maisha wala majina vitu ambavyo kamwe haviwezi kulingana..

Ndiyo,
anafanya mambo mengi sana kwa faida yake binafsi. Anaomba kuchangiwa mara kwa mara kwa manufaa na faida yake binafsi, na kwa hali aliyonayo, akikuomba chochote kitu ili kimsaidie maishani utamnyima kwenye gentleman?

Lazima utajawa huruma ikiwa una utu.

So,
Mie nadhani apumzike tu, ikiwa mambo yamemuwia magumu basi ajitokeze aombe na waTanzania ni wangwana na wenye huruma sana watamchangia..

Lakini kubeba dhamana ya chama na nje ya chama ni muhimu akakaa kando tu na mtu mwingine chadema apewe fursa hiyo muhimu 🐒
 
Mbona Magu alipigiwa na ana betri mwilini? Au anaenda Ikulu kuinua vyuma? Chawa wa ccm akili.. .
Mengine sifahamu,
Lakini nadhani ni muhimu kuzingatia ustawi na mustakabali wa Chadema wa siku zijazo,

Busara na hekima ziwafanye chadema kuchukua hatua muhimu stahiki za kumuweka mungwana kando, ili hatimae awe na muda mzuri na wa kutosha walau kupambania madai na mahitaji yake kwa back up ya mabwenyenye ya magharibi,

kuliko kumbeba kinafiki, huku wakijua wazi kwamba hana uwezo wa kuchochea au kuleta mabadiliko ya kisiasa zaidi ya kukididimiza chama tu 🐒
 
Hadi ndugu yako Mwashambwa kakuambia hujafa hujaumbika kaka. Tazama andiko lako mara mbili mbili.
sasa hiyo inamaanisha nini gentleman kwenye hoja mahususi mezani? kwa wakati wake muumba kila moja atarejea kwa Maulana bila mbambamba yoyote..

hata hivyo,
ni muhimu zaidi, wewe binafsi ndio usome na uelewa vizuri hoja , huna haja ya kubabaika na maoni na mitazamo ya wengine 🐒
 
Timamu wenu yuko wapi leo aliyekufuru hadi kujiita jiwe? Kwa hiyo mama yenu ana uwezo wa kubeba mizigo mizito zaidi ya Simba?
hebu elezea vizur kwa utulivu na kina kifupi kidogo kwa faida ya wadau gentleman 🐒
 
Anatia huruma sana for sure. Ni ngumu kwake, lakini anajaribu kua jasiri kuonyesha ni rahisi kwa namna ambayo haimpi ahuweni wala faida ya kisiasa, nadhani anajiumiza zaidi na kujiongezea udhaifu.

Upo uwezekano mkubwa zaidi kwa wapiga kuru hususani wa chama chake wakaepuka kumpigia kura endapo atagombea uongozi, kwasababu ya hali yake.

Watamuonea huruma na kujali utu wake dhidi ya majukumu mazito ya kitaifa anayotamani kuyabebe. Ni dhahiri ni ngumu, japo anajikaza sana ili walau aonekane yuko fiti, Lakini ukweli ni kwamba utimamu wa mwili unatia huruma sana na mashaka makubwa. Huenda ameshauriwa hata na wanaomsaidia kitaalamu kiafya, ila karma ya ubishi, tamaa, ufahari na ubinafsi inamzonga, anakaidi.


Ukifuatilia aina ya siasa zake, kiongozi huyo muandamizi ana malalamiko binafsi mengi zaidi, ya malalamiko ya wananchi. Amebaki na ujasiri wa kulaumu na kuwabeza na kukejeli viongozi waandamizi wa serikali tu maskini dah..

Ana simulizi nyingi mno, za mambo mengi sana humu nchini, ambazo angetamani kuwasimulia wananchi walau kupoteza muda. Hana mawazo mapya tena, wala fikra mbdala, za malalamiko yake binafsi, wala yale ya wananchi ya sasa. Kwakweli ni mjuzi na mahiri wa simulizi zenye kuibua hisia kali, lakini zisizobadili wala kutikisa mitazamo au uelekeo wa wananchi kisiasa, kijamii au kiuchumi.

Ana hasira mno moyoni, ana chuki na uhasama binafsi dhidi ya viongozi waandamizi serikalini lakini pia na viongozi wa kisiasa wa vyama vingine, jambo ambalo linamtesa na kudhoofisha zaidi uimara na utimamu wake wa jumla.

Amechoka sana kisiasa. Dhamira na uzalendo wake kwa Taifa unaibua mashaka makubwa mno. Ni tegemezi, anaetegemezwa na mabwenyenye ya ng"ambo. Na huenda hilo likawafanya wapinzani wenye nia ya kuunganisha nguvu, wakasita kufanya hivyo kwasababu ya hilo, ikiwa muungwana atang"ang"ania kupewa nafasi ya kubeba bendera ya upinzani kwenye chaguzi zijazo.

Aliwahi kueleza mwenywe bayana kwamba, kiwango cha madawa anachotumia kwa siku kujiimarisha, ili awe fiti ni kikubwa mno na hawezi kueleza zaidi. Hii inatia huruma sana, inatafakarisha mno na fikirisha sana.

Hivi chadema hamna huruma, au Yeye muungwana ndie hajionei huruma? Hakuna watu wengine mahiri wa kubeba jukumu hilo muhimu?

Binafsi namuonea huruma sana huyu muungwana, vipi wewe ndugu mdau?

au mnabuy time tu ili baadae kwa wakati muafaka, mumtose kama wengine huko nyuma kulingana na historia ?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Tila lila una matatizo ya akili sio bure
 
Back
Top Bottom