Nashauri makamu mwenyekiti CHADEMA apumzike tu siasa, yanini kujilazimisha na haiwezekani kamanda?

Nashauri makamu mwenyekiti CHADEMA apumzike tu siasa, yanini kujilazimisha na haiwezekani kamanda?

hebu elezea vizur kwa utulivu na kina kifupi kidogo kwa faida ya wadau gentleman 🐒

Hujaona ni swali hilo? Umesema kumpatia fursa Simba "ni kumpatia mzigo mzito asio uweza kuubeba lakini pia kama chama kujibebesha kisichobebeka"..

Nani sasa anayetakiwa kuelezea?
 
Tuache unafiki, pumzi uliyonayo isikupe jeuri ya kudhalilisha watu na kujiona una haki ya maisha sana, inaweza kupigwa switch off leo hii tukakusahau JF, acha watu wafanye mission zao walizotumwa na Mungu. Anayejua hatma ya binadamu including yako sio wewe! Acheni kukufuru, mlimtukana Lowassa sana mkiamini mna jiwe, matokeo yake likawa vumbi likamuacha anadunda na mabilioni lililoficha huko duniani, wazungu wanakula tu sasa hivi likayaacha jiwe.
sasa gentleman,
suala la pumzi au haki ya maisha limetoka wapi tena kwa mfano, kwenye hoja hii muhimu na ya wazi sana humu jukwaani?

au kufuru imetokea upande gani mathalan gentleman? umekunywa chai kwanza?🤣

naona kama umekurupuka sijui kutoka wapi aise...

Hata hivyo,
Huruma yangu na ya wananchi wengine kwa muungwana Muweza wa yote anaiona..

Na unafiki wa kumpamba asie na uwezo eti anaweza, vilevile Muweze wa yote anaona..

Makamu mwenyekiti wa Chadema anafaa kujionea huruma mwenyewe lakini pia wengi wanamuonea huruma zaid. Awe muungwana akae kando, apumzike tu masuala ya kisiasa 🐒
 
sasa gentleman,
suala la pumzi au haki ya maisha limetoka wapi tena kwa mfano, kwenye hoja hii muhimu na ya wazi sana humu jukwaani?

au kufuru imetokea upande gani mathalan gentleman? umekunywa chai kwanza?🤣

naona kama umekurupuka sijui kutoka wapi aise...

Hata hivyo,
Huruma yangu na ya wananchi wengine kwa muungwana Muweza wa yote anaiona..

Na unafiki wa kumpamba asie na uwezo eti anaweza, vilevile Muweze wa yote anaona..

Makamu mwenyekiti wa Chadema anafaa kujionea huruma mwenyewe lakini pia wengi wanamuonea huruma zaid. Awe muungwana akae kando, apumzike tu masuala ya kisiasa 🐒

Kunywa chai tena kiongozi, sipo kwenye level ya basic needs kaka! Habari ya kufikiria tumbo nilimaliza miaka 30 iliyopita! Kwa ufupi sina njaa, na wala sio chawa wa yoyote na sina chama pia nipo hapa kujibu hoja tu hapa na kutoa mawazo yangu, baaaasi!
 
M

Mkuu toa boriti ilipo kwa jicho lako kabla ya kufikiri kutoa ilipo kwa mwenzio.

Mkuu ni miezi 3 sasa, jazeni nafasi ya makamu Mwenyekiti wa chama tawala kwanza, ndio udandie kwa wengine!!

Halafu Tlaatlaah, Pili pili usiyoila yakuwashia nini!!! Ama kweli Nyani haoni kundule!!!
Gentleman,
sihusiki na masuala ya maboriti, pilipili ya shamba, wala nyani pori humu jukwaani hata kidogo..

nahusika na kutoa maoni, mtazamo, mawazo mapya na fikra mbdala dhidi ya hali halisi ndani ya vyama vya siasa kwa mustakabali mwema wa ustawi wao..

Najali utu wa wengine na ndio maana nimejawa na huruma hata kufikia hatua ya kuwajibika kutoa ushauri muafaka kwa mustakabali mwema wa ninae mpatia ushauri, lakini pia ustawi wa Taasisi aliyoko na si vinginevyo 🐒
 
Gentleman,
sihusiki na masuala ya maboriti, pilipili ya shamba, wala nyani pori humu jukwaani hata kidogo..

nahusika na kutoa maoni, mtazamo, mawazo mapya na fikra mbdala dhidi ya hali halisi ndani ya vyama vya siasa kwa mustakabali mwema wa ustawi wao..

Najali utu wa wengine na ndio maana nimejawa na huruma hata kufikia hatua ya kuwajibika kutoa ushauri muafaka kwa mustakabali mwema wa ninae mpatia ushauri, lakini pia ustawi wa Taasisi aliyoko na si vinginevyo 🐒
Mkuu maana yangu ya boriti ni kuwa usisemee kilema cha mwenzio!

Nikimaanisha changamoto yako na mwenzi wako umeimaliza??? tusijekuta tunahaingaika na stress za chumbani kwako!!!

Kamalizane kwanza na mwenzi wako ndio uje kushauri watu wengine!!!
 
Kunywa chai tena kiongozi, sipo kwenye level ya basic needs kaka! Habari ya kufikiria tumbo nilimaliza miaka 30 iliyopita! Kwa ufupi sina njaa, na wala sio chawa wa yoyote na sina chama pia nipo hapa kujibu hoja tu hapa na kutoa mawazo yangu, baaaasi!
relax sasa gentleman,

Na utoe mawazo mapya na fikra mbdala za nguvu zaidi dhidi ya hoja mahususi mbalimbali na nzito nzito zinazotolewa mezani na wadau kwa utulivu zaidi

Hata na hivyo nimejawa huruma kuhusu siasa za muungwana dah! 🐒
 
sasa hiyo inamaanisha nini gentleman kwenye hoja mahususi mezani? kwa wakati wake muumba kila moja atarejea kwa Maulana bila mbambamba yoyote..

hata hivyo,
ni muhimu zaidi, wewe binafsi ndio usome na uelewa vizuri hoja , huna haja ya kubabaika na maoni na mitazamo ya wengine 🐒
Sawa mkuu wewe una guarantee na afya yako kwa 100% mpaka unawaza afya za wenzio.
 
Mkuu maana yangu ya boriti ni kuwa usisemee kilema cha mwenzio!

Nikimaanisha changamoto yako na mwenzi wako umeimaliza, tusijekuta tunahaingaika na stress za chumbani kwako!!!

Kamalizane kwanza na mwenzi wako ndio uje kushauri watu wengine!!!
umesoma vyema hoja mahususi mezani lakini au umekurupuka tu na ukaamua kutembea na choraus tu hapo juu?

hakuna mahali nimezungumzia kilema wa aina yoyote kwenye bandiko langu kwasabb si muhimu hata kidogo, na sina haja kufanya hivyo kwasabb haina maana yoyote...

Hata hivyo hili ni jukwaa huru sio la stress gentleman..

kwasabb ya utu wangu kwa wengine nimejikita najawa huruma sana kwa muungwana kujilazimisha na kujibebesha vitu ambavyo ukitazama kibinadamu vinamuelemea sana.

Nashauri apumzike tu 🐒
 
Anatia huruma sana for sure. Ni ngumu kwake, lakini anajaribu kua jasiri kuonyesha ni rahisi kwa namna ambayo haimpi ahuweni wala faida ya kisiasa, nadhani anajiumiza zaidi na kujiongezea udhaifu.

Upo uwezekano mkubwa zaidi kwa wapiga kuru hususani wa chama chake wakaepuka kumpigia kura endapo atagombea uongozi, kwasababu ya hali yake.

Watamuonea huruma na kujali utu wake dhidi ya majukumu mazito ya kitaifa anayotamani kuyabebe. Ni dhahiri ni ngumu, japo anajikaza sana ili walau aonekane yuko fiti, Lakini ukweli ni kwamba utimamu wa mwili unatia huruma sana na mashaka makubwa. Huenda ameshauriwa hata na wanaomsaidia kitaalamu kiafya, ila karma ya ubishi, tamaa, ufahari na ubinafsi inamzonga, anakaidi.


Ukifuatilia aina ya siasa zake, kiongozi huyo muandamizi ana malalamiko binafsi mengi zaidi, ya malalamiko ya wananchi. Amebaki na ujasiri wa kulaumu na kuwabeza na kukejeli viongozi waandamizi wa serikali tu maskini dah..

Ana simulizi nyingi mno, za mambo mengi sana humu nchini, ambazo angetamani kuwasimulia wananchi walau kupoteza muda. Hana mawazo mapya tena, wala fikra mbdala, za malalamiko yake binafsi, wala yale ya wananchi ya sasa. Kwakweli ni mjuzi na mahiri wa simulizi zenye kuibua hisia kali, lakini zisizobadili wala kutikisa mitazamo au uelekeo wa wananchi kisiasa, kijamii au kiuchumi.

Ana hasira mno moyoni, ana chuki na uhasama binafsi dhidi ya viongozi waandamizi serikalini lakini pia na viongozi wa kisiasa wa vyama vingine, jambo ambalo linamtesa na kudhoofisha zaidi uimara na utimamu wake wa jumla.

Amechoka sana kisiasa. Dhamira na uzalendo wake kwa Taifa unaibua mashaka makubwa mno. Ni tegemezi, anaetegemezwa na mabwenyenye ya ng"ambo. Na huenda hilo likawafanya wapinzani wenye nia ya kuunganisha nguvu, wakasita kufanya hivyo kwasababu ya hilo, ikiwa muungwana atang"ang"ania kupewa nafasi ya kubeba bendera ya upinzani kwenye chaguzi zijazo.

Aliwahi kueleza mwenywe bayana kwamba, kiwango cha madawa anachotumia kwa siku kujiimarisha, ili awe fiti ni kikubwa mno na hawezi kueleza zaidi. Hii inatia huruma sana, inatafakarisha mno na fikirisha sana.

Hivi chadema hamna huruma, au Yeye muungwana ndie hajionei huruma? Hakuna watu wengine mahiri wa kubeba jukumu hilo muhimu?

Binafsi namuonea huruma sana huyu muungwana, vipi wewe ndugu mdau?

au mnabuy time tu ili baadae kwa wakati muafaka, mumtose kama wengine huko nyuma kulingana na historia ?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
ccm imekata pumzi
 
Anatia huruma sana for sure. Ni ngumu kwake, lakini anajaribu kua jasiri kuonyesha ni rahisi kwa namna ambayo haimpi ahuweni wala faida ya kisiasa, nadhani anajiumiza zaidi na kujiongezea udhaifu.

Upo uwezekano mkubwa zaidi kwa wapiga kuru hususani wa chama chake wakaepuka kumpigia kura endapo atagombea uongozi, kwasababu ya hali yake.

Watamuonea huruma na kujali utu wake dhidi ya majukumu mazito ya kitaifa anayotamani kuyabebe. Ni dhahiri ni ngumu, japo anajikaza sana ili walau aonekane yuko fiti, Lakini ukweli ni kwamba utimamu wa mwili unatia huruma sana na mashaka makubwa. Huenda ameshauriwa hata na wanaomsaidia kitaalamu kiafya, ila karma ya ubishi, tamaa, ufahari na ubinafsi inamzonga, anakaidi.


Ukifuatilia aina ya siasa zake, kiongozi huyo muandamizi ana malalamiko binafsi mengi zaidi, ya malalamiko ya wananchi. Amebaki na ujasiri wa kulaumu na kuwabeza na kukejeli viongozi waandamizi wa serikali tu maskini dah..

Ana simulizi nyingi mno, za mambo mengi sana humu nchini, ambazo angetamani kuwasimulia wananchi walau kupoteza muda. Hana mawazo mapya tena, wala fikra mbdala, za malalamiko yake binafsi, wala yale ya wananchi ya sasa. Kwakweli ni mjuzi na mahiri wa simulizi zenye kuibua hisia kali, lakini zisizobadili wala kutikisa mitazamo au uelekeo wa wananchi kisiasa, kijamii au kiuchumi.

Ana hasira mno moyoni, ana chuki na uhasama binafsi dhidi ya viongozi waandamizi serikalini lakini pia na viongozi wa kisiasa wa vyama vingine, jambo ambalo linamtesa na kudhoofisha zaidi uimara na utimamu wake wa jumla.

Amechoka sana kisiasa. Dhamira na uzalendo wake kwa Taifa unaibua mashaka makubwa mno. Ni tegemezi, anaetegemezwa na mabwenyenye ya ng"ambo. Na huenda hilo likawafanya wapinzani wenye nia ya kuunganisha nguvu, wakasita kufanya hivyo kwasababu ya hilo, ikiwa muungwana atang"ang"ania kupewa nafasi ya kubeba bendera ya upinzani kwenye chaguzi zijazo.

Aliwahi kueleza mwenywe bayana kwamba, kiwango cha madawa anachotumia kwa siku kujiimarisha, ili awe fiti ni kikubwa mno na hawezi kueleza zaidi. Hii inatia huruma sana, inatafakarisha mno na fikirisha sana.

Hivi chadema hamna huruma, au Yeye muungwana ndie hajionei huruma? Hakuna watu wengine mahiri wa kubeba jukumu hilo muhimu?

Binafsi namuonea huruma sana huyu muungwana, vipi wewe ndugu mdau?

au mnabuy time tu ili baadae kwa wakati muafaka, mumtose kama wengine huko nyuma kulingana na historia ?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Umenena vema Tlaatlaah, naamini CHADEMA ina succession plan nzuri na vijana wenye utayari wa kuendeleza maono ya chama. Kiongozi anaweza kubaki kama mshauri.
 
mdogo wake hamza unajulikana vizuri hunaga huruma kama hamza tu kaka yako uliembandika kama avatar yako. Katili sana wew gentleman 🐒

ugali ndio unamfanya muungwana akomae jukwaani hata kama hawezi, right?
Hamza hakuwa gaidi Kama mlivuompaka rangi ninyi akina Mafwele.

Ugali umeleta matatizo kuzidi shibe. Ugali ukizidi ni hatari.
 
Back
Top Bottom