hayo yote ni sawa gentleman,Kama wewe ndio LISSU yaliomkuta tungalikuwa tushakuzika au unaokota makopo njiani. Kumininiwa risasi kama mvua lkn bado ukawa unacheka, unaimba na unafurahi hata kuliko huyo aliekumiminiya risasi sio jambo la kawaida ktk dunia hii. Tunaona askari tu akibambikiwa kesi kama ya wizi makazini kwa bahati mbaya ,akichomoka tu anarudisha magwanda na anatafuta jembe akalime, anaona isiwe na noma.
Hivi umepata usingizi usiku wa kuamkia leo au ulikuwa unamuota ndotoni?Anatia huruma sana for sure. Ni ngumu kwake, lakini anajaribu kua jasiri kuonyesha ni rahisi kwa namna ambayo haimpi ahuweni wala faida ya kisiasa, nadhani anajiumiza zaidi na kujiongezea udhaifu.
Upo uwezekano mkubwa zaidi kwa wapiga kuru hususani wa chama chake wakaepuka kumpigia kura endapo atagombea uongozi, kwasababu ya hali yake.
Watamuonea huruma na kujali utu wake dhidi ya majukumu mazito ya kitaifa anayotamani kuyabebe. Ni dhahiri ni ngumu, japo anajikaza sana ili walau aonekane yuko fiti, Lakini ukweli ni kwamba utimamu wa mwili unatia huruma sana na mashaka makubwa. Huenda ameshauriwa hata na wanaomsaidia kitaalamu kiafya, ila karma ya ubishi, tamaa, ufahari na ubinafsi inamzonga, anakaidi.
Ukifuatilia aina ya siasa zake, kiongozi huyo muandamizi ana malalamiko binafsi mengi zaidi, ya malalamiko ya wananchi. Amebaki na ujasiri wa kulaumu na kuwabeza na kukejeli viongozi waandamizi wa serikali tu maskini dah..
Ana simulizi nyingi mno, za mambo mengi sana humu nchini, ambazo angetamani kuwasimulia wananchi walau kupoteza muda. Hana mawazo mapya tena, wala fikra mbdala, za malalamiko yake binafsi, wala yale ya wananchi ya sasa. Kwakweli ni mjuzi na mahiri wa simulizi zenye kuibua hisia kali, lakini zisizobadili wala kutikisa mitazamo au uelekeo wa wananchi kisiasa, kijamii au kiuchumi.
Ana hasira mno moyoni, ana chuki na uhasama binafsi dhidi ya viongozi waandamizi serikalini lakini pia na viongozi wa kisiasa wa vyama vingine, jambo ambalo linamtesa na kudhoofisha zaidi uimara na utimamu wake wa jumla.
Amechoka sana kisiasa. Dhamira na uzalendo wake kwa Taifa unaibua mashaka makubwa mno. Ni tegemezi, anaetegemezwa na mabwenyenye ya ng"ambo. Na huenda hilo likawafanya wapinzani wenye nia ya kuunganisha nguvu, wakasita kufanya hivyo kwasababu ya hilo, ikiwa muungwana atang"ang"ania kupewa nafasi ya kubeba bendera ya upinzani kwenye chaguzi zijazo.
Aliwahi kueleza mwenywe bayana kwamba, kiwango cha madawa anachotumia kwa siku kujiimarisha, ili awe fiti ni kikubwa mno na hawezi kueleza zaidi. Hii inatia huruma sana, inatafakarisha mno na fikirisha sana.
Hivi chadema hamna huruma, au Yeye muungwana ndie hajionei huruma? Hakuna watu wengine mahiri wa kubeba jukumu hilo muhimu?
Binafsi namuonea huruma sana huyu muungwana, vipi wewe ndugu mdau?
au mnabuy time tu ili baadae kwa wakati muafaka, mumtose kama wengine huko nyuma kulingana na historia ?π
Mungu Ibariki Tanzania
I can confirm to you without fear of contradictions, wanachama wa Chadema wengi wanamuhurumia zaidi yangu huyo muungwana,Tunza tu huruma yako kiongozi, wapo wengi sana wa kuwahurumia huko vijijini wanabebana kwenye matenga kwenda kutibiwa, wape tu hiyo huruma yako! Achana na Simba baba atakutesa sana. Chawa wote lazima wataje jina lake kutafuta relevance. Mbona yupo juu sana tu? Huoni? Hivyo vilivyomo ndani yake havikuhusu, we mzima angalia yako, mbona dunia ina mambo mengi tu ya kufanya mkubwa?
I can confirm to you without fear of contradictions, wanachama wa Chadema wengi wanamuhurumia zaidi yangu huyo muungwana,
Na wengi wanaweza wasijitokeze kupiga kura au hata watakao jitokeza wasimpigie kwasabb tu wanamuonea huruma na hawangependelea kumpa majukumu mazito mtu ambae ni dhahiri hata kujihudumia mwenyewe tu ni tabu..
so,
akiachwa atakiathiri chama chake mwenyewe, kura za huruma alizokua akizipata awali zimebadilika hivi sasa π
Maisha yake hayalingani na wewe kabisa. Anajua anachofanya na faida yake. Nilini waliwahi kutangaza wewe uchangiwe hata bajajiAnatia huruma sana for sure. Ni ngumu kwake, lakini anajaribu kua jasiri kuonyesha ni rahisi kwa namna ambayo haimpi ahuweni wala faida ya kisiasa, nadhani anajiumiza zaidi na kujiongezea udhaifu.
Upo uwezekano mkubwa zaidi kwa wapiga kuru hususani wa chama chake wakaepuka kumpigia kura endapo atagombea uongozi, kwasababu ya hali yake.
Watamuonea huruma na kujali utu wake dhidi ya majukumu mazito ya kitaifa anayotamani kuyabebe. Ni dhahiri ni ngumu, japo anajikaza sana ili walau aonekane yuko fiti, Lakini ukweli ni kwamba utimamu wa mwili unatia huruma sana na mashaka makubwa. Huenda ameshauriwa hata na wanaomsaidia kitaalamu kiafya, ila karma ya ubishi, tamaa, ufahari na ubinafsi inamzonga, anakaidi.
Ukifuatilia aina ya siasa zake, kiongozi huyo muandamizi ana malalamiko binafsi mengi zaidi, ya malalamiko ya wananchi. Amebaki na ujasiri wa kulaumu na kuwabeza na kukejeli viongozi waandamizi wa serikali tu maskini dah..
Ana simulizi nyingi mno, za mambo mengi sana humu nchini, ambazo angetamani kuwasimulia wananchi walau kupoteza muda. Hana mawazo mapya tena, wala fikra mbdala, za malalamiko yake binafsi, wala yale ya wananchi ya sasa. Kwakweli ni mjuzi na mahiri wa simulizi zenye kuibua hisia kali, lakini zisizobadili wala kutikisa mitazamo au uelekeo wa wananchi kisiasa, kijamii au kiuchumi.
Ana hasira mno moyoni, ana chuki na uhasama binafsi dhidi ya viongozi waandamizi serikalini lakini pia na viongozi wa kisiasa wa vyama vingine, jambo ambalo linamtesa na kudhoofisha zaidi uimara na utimamu wake wa jumla.
Amechoka sana kisiasa. Dhamira na uzalendo wake kwa Taifa unaibua mashaka makubwa mno. Ni tegemezi, anaetegemezwa na mabwenyenye ya ng"ambo. Na huenda hilo likawafanya wapinzani wenye nia ya kuunganisha nguvu, wakasita kufanya hivyo kwasababu ya hilo, ikiwa muungwana atang"ang"ania kupewa nafasi ya kubeba bendera ya upinzani kwenye chaguzi zijazo.
Aliwahi kueleza mwenywe bayana kwamba, kiwango cha madawa anachotumia kwa siku kujiimarisha, ili awe fiti ni kikubwa mno na hawezi kueleza zaidi. Hii inatia huruma sana, inatafakarisha mno na fikirisha sana.
Hivi chadema hamna huruma, au Yeye muungwana ndie hajionei huruma? Hakuna watu wengine mahiri wa kubeba jukumu hilo muhimu?
Binafsi namuonea huruma sana huyu muungwana, vipi wewe ndugu mdau?
au mnabuy time tu ili baadae kwa wakati muafaka, mumtose kama wengine huko nyuma kulingana na historia ?π
Mungu Ibariki Tanzania
kwamba 80% ya simulizi zake zenye hisia sana kwenye mikutano yake ya kisiasa anazungumzia zaidi madai yake binafsi na tukio la kupigwa kwake risasi, right?π€£wacha tuchague wenyewe.. kwani wew ni nani hadi utuchagulie... out of 100% .. 80% yote anaongelea yeye kutaka kuuwawa... 20% ndo unaona anatema cheche za kuwanufaisha wadanganyika...
tutachagua kiongozi kwa huruma yetu kwake na sio sera zake..
ππππππ
Mbona Magu alipigiwa na ana betri mwilini? Au anaenda Ikulu kuinua vyuma? Chawa wa ccm akili.. .I can confirm to you without fear of contradictions, wanachama wa Chadema wengi wanamuhurumia zaidi yangu huyo muungwana,
Na wengi wanaweza wasijitokeze kupiga kura au hata watakao jitokeza wasimpigie kwasabb tu wanamuonea huruma na hawangependelea kumpa majukumu mazito mtu ambae ni dhahiri hata kujihudumia mwenyewe tu ni tabu..
so,
akiachwa atakiathiri chama chake mwenyewe, kura za huruma alizokua akizipata awali zimebadilika hivi sasa π
gentleman,Wewe unaita malalamiko binafsi lakini hayo malalamiko ndio wanayotendewa watanzania wengi ila tatizo wanakosa sehemu ya kusema na wengi wanaogopa mkono wa dola kuwarudia kwa mara ya pili.
Mleta uzi Lissu ni asset kwenye nchi hii,uwezo wake na kuponea tundu la sindano kwenye shambulio la mvua ya risasi ni uthibitisho tosha kuwa Mungu ana kazi naye hapa duniani.
Kama wewe binafsi unamuonea huruma na kutaka aache siasa ni ngumu kukuelewa.
Kupigwa kwake risasi kulitokana na yeye kuwa mwanasiasa.Sasa inakuwaje leo amenusurika kifo aache siasa na ulemavu alioupata kwenye siasa??
Nakushauri onea huruma familia yako na wazazi wako mbona nao wana hali mbaya ya umaskini??
gentleman,
sidhani kama ulemavu unaweza kua kikwazo katika kufanya au kushiriki kazi, wajibu na uongozi wa kisiasa..
nadhani utimamu ndio hasa kinachonitia huruma mimi na waTanzania wengine wazalendo kwamba kwa alivyo, muungwana hakuna awezalo kwenye siasa..
kumpatia fursa ni kumpatia mzigo mzito asio uweza kuubeba lakini pia kama chama kujibebesha kisichobebeka..
ni ngumu hata kumnadi ukaelewe kwa jamii eti huyu inafaa apatiwe wajibu fulani wa uongozi kwenye chama au kweingineko π
walau uwe unakunywa maji gentleman, sio hivyo ambavyo unakunywa, ni hatari sana kwa afya yako gentleman..Hivi umepata usingizi usiku wa kuamkia leo au ulikuwa unamuota ndotoni?
Kunywa Mo energy labda utazinduka!
Tuache unafiki gentleman, tuwe na utu, muungwana anatia huruma, apumzike tu π
Mkuu toa boriti ilipo kwenye jicho lako kabla ya kufikiri kutoa lilipo kwa mwenzio.Anatia huruma sana for sure. Ni ngumu kwake, lakini anajaribu kua jasiri kuonyesha ni rahisi kwa namna ambayo haimpi ahuweni wala faida ya kisiasa, nadhani anajiumiza zaidi na kujiongezea udhaifu.
Upo uwezekano mkubwa zaidi kwa wapiga kuru hususani wa chama chake wakaepuka kumpigia kura endapo atagombea uongozi, kwasababu ya hali yake.
Watamuonea huruma na kujali utu wake dhidi ya majukumu mazito ya kitaifa anayotamani kuyabebe. Ni dhahiri ni ngumu, japo anajikaza sana ili walau aonekane yuko fiti, Lakini ukweli ni kwamba utimamu wa mwili unatia huruma sana na mashaka makubwa. Huenda ameshauriwa hata na wanaomsaidia kitaalamu kiafya, ila karma ya ubishi, tamaa, ufahari na ubinafsi inamzonga, anakaidi.
Ukifuatilia aina ya siasa zake, kiongozi huyo muandamizi ana malalamiko binafsi mengi zaidi, ya malalamiko ya wananchi. Amebaki na ujasiri wa kulaumu na kuwabeza na kukejeli viongozi waandamizi wa serikali tu maskini dah..
Ana simulizi nyingi mno, za mambo mengi sana humu nchini, ambazo angetamani kuwasimulia wananchi walau kupoteza muda. Hana mawazo mapya tena, wala fikra mbdala, za malalamiko yake binafsi, wala yale ya wananchi ya sasa. Kwakweli ni mjuzi na mahiri wa simulizi zenye kuibua hisia kali, lakini zisizobadili wala kutikisa mitazamo au uelekeo wa wananchi kisiasa, kijamii au kiuchumi.
Ana hasira mno moyoni, ana chuki na uhasama binafsi dhidi ya viongozi waandamizi serikalini lakini pia na viongozi wa kisiasa wa vyama vingine, jambo ambalo linamtesa na kudhoofisha zaidi uimara na utimamu wake wa jumla.
Amechoka sana kisiasa. Dhamira na uzalendo wake kwa Taifa unaibua mashaka makubwa mno. Ni tegemezi, anaetegemezwa na mabwenyenye ya ng"ambo. Na huenda hilo likawafanya wapinzani wenye nia ya kuunganisha nguvu, wakasita kufanya hivyo kwasababu ya hilo, ikiwa muungwana atang"ang"ania kupewa nafasi ya kubeba bendera ya upinzani kwenye chaguzi zijazo.
Aliwahi kueleza mwenywe bayana kwamba, kiwango cha madawa anachotumia kwa siku kujiimarisha, ili awe fiti ni kikubwa mno na hawezi kueleza zaidi. Hii inatia huruma sana, inatafakarisha mno na fikirisha sana.
Hivi chadema hamna huruma, au Yeye muungwana ndie hajionei huruma? Hakuna watu wengine mahiri wa kubeba jukumu hilo muhimu?
Binafsi namuonea huruma sana huyu muungwana, vipi wewe ndugu mdau?
au mnabuy time tu ili baadae kwa wakati muafaka, mumtose kama wengine huko nyuma kulingana na historia ?π
Mungu Ibariki Tanzania
gentleman,Maisha yake hayalingani na wewe kabisa. Anajua anachofanya na faida yake. Nilini waliwahi kutangaza wewe uchangiwe hata bajaji
Mengine sifahamu,Mbona Magu alipigiwa na ana betri mwilini? Au anaenda Ikulu kuinua vyuma? Chawa wa ccm akili.. .
sasa hiyo inamaanisha nini gentleman kwenye hoja mahususi mezani? kwa wakati wake muumba kila moja atarejea kwa Maulana bila mbambamba yoyote..Hadi ndugu yako Mwashambwa kakuambia hujafa hujaumbika kaka. Tazama andiko lako mara mbili mbili.
Tila lila una matatizo ya akili sio bureAnatia huruma sana for sure. Ni ngumu kwake, lakini anajaribu kua jasiri kuonyesha ni rahisi kwa namna ambayo haimpi ahuweni wala faida ya kisiasa, nadhani anajiumiza zaidi na kujiongezea udhaifu.
Upo uwezekano mkubwa zaidi kwa wapiga kuru hususani wa chama chake wakaepuka kumpigia kura endapo atagombea uongozi, kwasababu ya hali yake.
Watamuonea huruma na kujali utu wake dhidi ya majukumu mazito ya kitaifa anayotamani kuyabebe. Ni dhahiri ni ngumu, japo anajikaza sana ili walau aonekane yuko fiti, Lakini ukweli ni kwamba utimamu wa mwili unatia huruma sana na mashaka makubwa. Huenda ameshauriwa hata na wanaomsaidia kitaalamu kiafya, ila karma ya ubishi, tamaa, ufahari na ubinafsi inamzonga, anakaidi.
Ukifuatilia aina ya siasa zake, kiongozi huyo muandamizi ana malalamiko binafsi mengi zaidi, ya malalamiko ya wananchi. Amebaki na ujasiri wa kulaumu na kuwabeza na kukejeli viongozi waandamizi wa serikali tu maskini dah..
Ana simulizi nyingi mno, za mambo mengi sana humu nchini, ambazo angetamani kuwasimulia wananchi walau kupoteza muda. Hana mawazo mapya tena, wala fikra mbdala, za malalamiko yake binafsi, wala yale ya wananchi ya sasa. Kwakweli ni mjuzi na mahiri wa simulizi zenye kuibua hisia kali, lakini zisizobadili wala kutikisa mitazamo au uelekeo wa wananchi kisiasa, kijamii au kiuchumi.
Ana hasira mno moyoni, ana chuki na uhasama binafsi dhidi ya viongozi waandamizi serikalini lakini pia na viongozi wa kisiasa wa vyama vingine, jambo ambalo linamtesa na kudhoofisha zaidi uimara na utimamu wake wa jumla.
Amechoka sana kisiasa. Dhamira na uzalendo wake kwa Taifa unaibua mashaka makubwa mno. Ni tegemezi, anaetegemezwa na mabwenyenye ya ng"ambo. Na huenda hilo likawafanya wapinzani wenye nia ya kuunganisha nguvu, wakasita kufanya hivyo kwasababu ya hilo, ikiwa muungwana atang"ang"ania kupewa nafasi ya kubeba bendera ya upinzani kwenye chaguzi zijazo.
Aliwahi kueleza mwenywe bayana kwamba, kiwango cha madawa anachotumia kwa siku kujiimarisha, ili awe fiti ni kikubwa mno na hawezi kueleza zaidi. Hii inatia huruma sana, inatafakarisha mno na fikirisha sana.
Hivi chadema hamna huruma, au Yeye muungwana ndie hajionei huruma? Hakuna watu wengine mahiri wa kubeba jukumu hilo muhimu?
Binafsi namuonea huruma sana huyu muungwana, vipi wewe ndugu mdau?
au mnabuy time tu ili baadae kwa wakati muafaka, mumtose kama wengine huko nyuma kulingana na historia ?π
Mungu Ibariki Tanzania