Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna cha roho mbaya mnazililia hizo pesa mkanunulie sabufa na muishi maisja ya kianasa.Huo ni wivu tu ndo unakuendesha, kama wewe umesoma elimu yako bila mkopo unapaswa kumshukuru Mungu na sio kuleta roho zako mbaya kwa wengine
Ndo hii naita roho mbaya, kwani mtu akinunua hivyo vitu we unaumia nini!?hakuna cha roho mbaya mnazililia hizo pesa mkanunulie sabufa na muishi maisja ya kianasa.
Umeandika as if bajeti nzima ya nchi inakopesha wafunzi. Huna point kabisawawakopeshe wanafunzi pesa wakati hata dawa hospitalini hakuna, vifaa tiba hakuna, barabara mbovu
Waongeze kwenye posho ya wabunge au sio?Nashauri hii mikopo ya elimu ya juu ifutwe,mbona wanachuo wenzao wa diploma wanasoma bila mkopo na hatusikii kelele zozote?
Tofauti yao na wenzao wa diploma ipo wapi?
Nimeona serikali inataka kuwapa mikopo na hawa diploma,, hili nalo litakuwa kosa kubwa sana, yani kujibebesha mzigo juu ya mzigo ,,, cha muhimu hapo serikali wapige kimya tu na huko kwa ngazi ya degree wawafutie kabisa kama ikibidi labda wawape ada tu ,pesa ya kula wajitegemee.
Hii nchi ina wajinga wengi. Ili nchi iendelee serikali tena haijafanya vya kutosha, inapaswa iwekeze kwenye elimu kuliko kitu chochote. hizo ela anazosema zipelekwe tu kwenye afya hao madaktari watatoka wapi. Hapo kairuki tu, mtu kusoma udaktari miak 5 kuna mtu akandika humu ni milioni 32 ada, ikiwa ina maana ni zaidi ya milioni 6 kwa mwaka. Hapo hujaweka matumizi ya mtu. Ni familia ngapi zinaweza kulipa hii pesa. Imagine mtu kama huyu ndiye anakuwa muunda sera ndiye atakuja na hoja sawa na ya kwenda zenj kwa passport. Hii nchi ina pes za kutosha hata wanafunzi waliofaulu kusoma bure ila shida vipaumbele na nyingi zinaishia mifukoni mwa wanaisasa.Umeandika as if bajeti nzima ya nchi inakopesha wafunzi. Huna point kabisa
Serikali huwa inatenga mafungu kila fungu lina plan yake na matumizi yake. Fungu la vifaa tiba lipo, barabara lipo na vinginevyo
Hoo barabara mbovu, yes hata magari pia yanaharibika, haimaanish watu hawatengo bajeti ya kuyatengeneza.
Jifunze how serikali ina operate
Swali lake halijajibiwa. Mbona diploma na certificate wanasoma pasipo mikopo na mambo yanaenda japo kiubishi?Ungejua msoto wanaopitia vijana wa diploma na certificate wanaotoka familia duni hata usingesema.
Wapo wanaoacha wengi kwa kukosa ada au wengine nauli.
Tena angalau vyo vya kati vinavyokua na mabweni kisha wanafunzi wanapewa chakula
Tunatatizo mahali kama nchiHii nchi ina wajinga wengi. Ili nchi iendelee serikali tena haijafanya vya kutosha, inapaswa iwekeze kwenye elimu kuliko kitu chochote. hizo ela anazosema zipelekwe tu kwenye afya hao madaktari watatoka wapi. Hapo kairuki tu, mtu kusoma udaktari miak 5 kuna mtu akandika humu ni milioni 32 ada, ikiwa ina maana ni zaidi ya milioni 6 kwa mwaka. Hapo hujaweka matumizi ya mtu. Ni familia ngapi zinaweza kulipa hii pesa. Imagine mtu kama huyu ndiye anakuwa muunda sera ndiye atakuja na hoja sawa na ya kwenda zenj kwa passport. Hii nchi ina pes za kutosha hata wanafunzi waliofaulu kusoma bure ila shida vipaumbele na nyingi zinaishia mifukoni mwa wanaisasa.
Na huenda huelewi unachooandika au unaandika kwa mihemuko, kwenye mkopo kuna mafungu mawili ambayo unaweza kupewa yote au ukapewa fungu moja tu kati ya hayo, fungu la kwanza ni tuition fee (ada ya chuo) na fungu la pili ni accommodation allowance (hela ya kujikimu)hakuna cha roho mbaya mnazililia hizo pesa mkanunulie sabufa na muishi maisja ya kianasa.
Jamaa wivu tu unamsumbua. As long as umepewa ukaitumia vibaya njaa itakuuma wewe tu. Huyu anaweza kuja na hoja wafanyakazi wasilipwe mshahara mkubwa maana wanaishia kuutumia bar na umalaya. Lakini la kujiuliza, kwani kila mfanyakazi hufanay hivyo?Na huenda huelewi unachooandika au unaandika kwa mihemuko, kwenye mkopo kuna mafungu mawili ambayo unaweza kupewa yote au ukapewa fungu moja tu kati ya hayo, fungu la kwanza ni tuition fee (ada ya chuo) na fungu la pili ni accommodation allowance (hela ya kujikimu)
Tution fee (ada) mwanafunzi hawekiwi kwenye account yake bali huwa inapita moja kwa moja kwenye chuo bila hata muhusika kujua zaidi ataiona kwenye majedwali yake ya ada alizolipa na ambazo hajalipa
Accommodations allowance (hela ya kujikimu) hii ndo anapatiwa mwanafunzi kwenye account yake binafsi, hii hela ndo mwanafunzi ana uhuru wa kuitumia kadri anavyoona inafaa, akinunua sabufa ni sawa, akilewa ni sawa, akifanyia mtaji ni sawa, sasa wewe unataka kumpangia mtu hela yake ya kujikimu afanyie nini ni roho mbaya au wivu
Mimi nimesoma na jamaa, ela yake ya accomodation alikuwa anaigawana na watu wa nyumbani kwao huko kijinini. anasema wanaanzisha biashara. kwani shida iko wapi mtu akijibana aanzishe biashara ni akili hiyo.Kuna dogo mmoja kipindi tuko chuo yeye alikua diploma ilikua ikifika kipindi cha UE anahangaika kumalizia ada. Maisha tu ya pale geto kwake ilikua ni shida anaunga unga balaa. Sasa kuna siku nikamkuta mtaani anazunguka na keyboard ili aiuze akamalizie Tsh 13,000 Hapo imebaki siku moja tuanze UE.
Kuna mambo kama hujapitia ukisimuliwa unaweza hisi watu wanatania ila kiuhalisia mambo ni magumu kwa ground. Watu wanasaidika sana na hii mikopo ya elimu ya juu halafu wewe uliyeshiba makange unakuja kuharisha utumbo wako hapa.
Unawezaje kuchukua ada ambayo inalipwa moja kwa moja kutoka bodi hadi chuoni kisha ukafanyia biashara?hakuna mgeni asiyejua hizo pesa mnazifanyia nini.
kama sio starehe mnaziingiza kwenye biashara na mnasahau kusoma kabisa mwisho wa siku tunatengeneza wataalamu wa hovyo.
Ndio maana nilishasema degree zinazotumika bongo nizaaina mbili tu za afya na uwalimu hizo nyingine ni kanyaga twende tu.Sina hakika kama VETA wanatoa manesi, madaktar,wafamasia na professionals wengine wengi kwa ajili ya maendeleo ya Taifa,, labda unifumbue kwa hilo mkuu.
Taifa gani mkuu??? Si wanakata hela yao kwenye mshahara au unataka niwasaidie nini???una msaada upi kwa taifa kwa sasa?
Bhasi Vyuo vyotr vifungwee maana Hakuna kada ambayo haina watu wa kutosha leo hii. Maengineer wamedodaa..waalimu ndo usiseme sijui watu wa Uchumi wameamua waendeshe boda boda.. Vyuo vifungwe majengo tufugie kukukuna faida gani kuwa na madaktari wengi na kazi hakuna ?
Kwanini kue kiubishi kama inawezekana kuenda bira kiubishi?Swali lake halijajibiwa. Mbona diploma na certificate wanasoma pasipo mikopo na mambo yanaenda japo kiubishi?