Nashauri msafara wa Rais Samia nchini Marekani, uwe ndio msafara wake hapa nchini ili tupunguze magwanda na mitutu

Nashauri msafara wa Rais Samia nchini Marekani, uwe ndio msafara wake hapa nchini ili tupunguze magwanda na mitutu

Wenzetu wana technology ya hali ya juu unaona magari machache lakini pembeni huko kuna walinzi na vifaa vya ulinzi kibao na vya gharama kubwa.
 
Kwahiyo Magufuli alikuwa anakwepa kukaa karibu na raia maana hajafanya kitu?
Ulinzi wake ulikua kwa ajili ya wasiofurahishwa na aliyokuwa akiyafanya kwa manufaa ya Taifa.
 
Nimemwona Mhe. Rais USA anatembea na gari Moja TU bila walinzi na mitutu. Naamini hii inatoa picha kwamba experience aliyopata itasaidia kupunguza msafara wake nakubana matumizi.

Lakini pia akipunguza silaha itafanya Dunia iamini Tanzania ni kisiwa Cha amani na watalii pamoja na wawekezaji watavutiwa zaidi KULIKO wanapoona mitutu. Tukumbuke Bado watu wengi Duniani awajui Tanzania; hasa wakigoogle baada ya kuona film ya royal tour wakaona misafara na silaha nzito wanaweza wakaamini kwamba Sisi siyo kisiwa Cha amani. Tibadili startegy hata Kwa kupunguza kombati na kuadopt askari wasiovaa uniform kupooza hofu ya Dunia. Ukitafuta msaafara wa Rais wa Ulaya MWENYE magandwa ndani ya nchi Yao ni wachache hivyo na assume wananchi wao ambao tunawaita wawekezaji, wafanyabiashara na watalii awajazoea viongozi kulindwa na mitutu mizito. Tusiwatishe watalii; tupunguze misafara ya kuogofya tuamini nchi Yetu Haina tishio kubwa kiviile kama enzi ya Mzee baba ambapo yeye aliamini migwanda ndo Ulinzi sahihi. Tupunguze kidogo convoy wataalii wasiogope
Sasa mbwembwe za chama tawala unataka wazipigie Lumumba? Kinachoonekana sasa hakikuwahi kufanyika hata wakati wa ukoloni, gavana alitembea huru bila kulindwa na mabunduki na makombora ya kwenye helikopta, kura zetu zimetujengea uadui na tuliowachagua.
 
Sisi tuna mbwembwe nyingi sana na ushamba mwingi tu.
Yaani tumepitiliza. Kuanzia ya eti wanausalama kukaa nyuma ya rais. Mpaka polisi, jeshi, magereza, waziri mkuu na spika, mpaka vyama vya upinzani!😅😂🤣. Vituko mpaka unahisi kweli yawezekana wabongo wana IQ ndogo sana. Ndiyo! Tunajali upuuzi kama huo wakati kuna ya maana ya kufanya. Bado miundombinu hovyo, huduma za afya, ustawi wa jamii, elimu, uwajibikaji nk.
Twapenda kujionyesha tuko juu kumbe bado sana. Umaskini twautaka wenyewe. Tuna rasilimali na maliasili zisizoisha. Ila uwajibikaji na ubunifu. Hata mama azunguke mpaka north pole kama hatuwezi simamia hela na mali zetu tutabaki maskini tu huku wachache wakiishi kama malikia na wafalme😡🤬
 
Nimemwona Mhe. Rais USA anatembea na gari Moja TU bila walinzi na mitutu. Naamini hii inatoa picha kwamba experience aliyopata itasaidia kupunguza msafara wake nakubana matumizi.

Lakini pia akipunguza silaha itafanya Dunia iamini Tanzania ni kisiwa Cha amani na watalii pamoja na wawekezaji watavutiwa zaidi KULIKO wanapoona mitutu. Tukumbuke Bado watu wengi Duniani awajui Tanzania; hasa wakigoogle baada ya kuona film ya royal tour wakaona misafara na silaha nzito wanaweza wakaamini kwamba Sisi siyo kisiwa Cha amani. Tibadili startegy hata Kwa kupunguza kombati na kuadopt askari wasiovaa uniform kupooza hofu ya Dunia. Ukitafuta msaafara wa Rais wa Ulaya MWENYE magandwa ndani ya nchi Yao ni wachache hivyo na assume wananchi wao ambao tunawaita wawekezaji, wafanyabiashara na watalii awajazoea viongozi kulindwa na mitutu mizito. Tusiwatishe watalii; tupunguze misafara ya kuogofya tuamini nchi Yetu Haina tishio kubwa kiviile kama enzi ya Mzee baba ambapo yeye aliamini migwanda ndo Ulinzi sahihi. Tupunguze kidogo convoy wataalii wasiogope
CCM ukiwaambia Kuna wakuu wa nchi wanakwenda ofisini na baiskeli watasema ni uzushi. Ukimwambia Idugunde kwamba Angela wa ujerumani alikua anakaa kwenye flat na wapangaji wenzake na alikua anapika chakula chake na kufua nguo zake atasema ni propaganda ya TLP ya Mrema
 
Ukiona mazingira anayokuwa nayo Rais wetu akiwa nje ambako hana kura hata moja, na haya yanayofanyika akiwa hapa wanaposema wameshinda uchaguzi kwa kishindo ni aibu ya mwaka. Hapo ndio utagundua hakuna ulinzi wowote, bali msafara wa rais ni sehemu ya upigaji wa wazi. Hata wazungu wanapoona kinachofanyika kwenye ziara zake hapa nchini na akiwa nje, si bure wazungu wanatuita manyani.
Rais akiwa ugenini,nchi mwenyeji hubeba dhamana ya ulinzi,usione hakuna watu ukadhani hakuna ulinzi,angalia msafara wa Waziri mkuu wa uingereza..hutoona walinzi,si kwamba hawapo
 
Wacha UONGO hakuna mahali samia ametembea na gari moja ndani ya USA [emoji631].

Labda hukutulia uiangalie hiyo clip vizuri.

Msiwe mnapotosha watu kwa ujinga wenu.

Weka hapa hiyo video anayotembea na gari moja tuione.

Serikali za wenzenu wanajali Protocol na Rais yeyote akiizuru nchi lazima apewe heshima yake.

Acheni UONGO.
wote tunafuatilia kinachojiri kwenye hiyo ziara.

Nashangaa hata Moderators wa humu nao kwa sasa wanafukuzia asali au nini?

Uzi kama huu mnauacha ila mnafuta nyuzi zenye mashiko ila zinawaumiza washikaji wenu au?

Let's be fair.......
Wewe ndio muongo.
 
Rais akiwa ugenini,nchi mwenyeji hubeba dhamana ya ulinzi,usione hakuna watu ukadhani hakuna ulinzi,angalia msafara wa Waziri mkuu wa uingereza..hutoona walinzi,si kwamba hawapo

Huku inashindikana nini ulinzi kuwa wa hivyo maana huku ndio amepigiwa kura?
 
Kila idara ya usalama Ina namna yake inayoona inafaa kuweka usalama

Hakuna cha zaidi ya uwezo mdogo wa kufikiri na kutengeneza mazingira ya upigaji. Ule ujinga eti rais anapita wananchi wanasimamushwa hadi masaa mawili huko hakuna ndio maana wana maendeleo. Huku rais anaingia madarakani kwa kupora uchaguzi, halafu eti anageuka muheshimiwa na kusujudiwa juu!
 
Ukiona mazingira anayokuwa nayo Rais wetu akiwa nje ambako hana kura hata moja, na haya yanayofanyika akiwa hapa wanaposema wameshinda uchaguzi kwa kishindo ni aibu ya mwaka. Hapo ndio utagundua hakuna ulinzi wowote, bali msafara wa rais ni sehemu ya upigaji wa wazi. Hata wazungu wanapoona kinachofanyika kwenye ziara zake hapa nchini na akiwa nje, si bure wazungu wanatuita manyani.
Tena masokwe kabisa
 
Mtu akiwa nchini kwake ndio tishio linakua kubwa , akiwa kwa mzungu yuko na amani ya bwana.
 
Nimemwona Mhe. Rais USA anatembea na gari Moja TU bila walinzi na mitutu. Naamini hii inatoa picha kwamba experience aliyopata itasaidia kupunguza msafara wake nakubana matumizi.

Lakini pia akipunguza silaha itafanya Dunia iamini Tanzania ni kisiwa Cha amani na watalii pamoja na wawekezaji watavutiwa zaidi KULIKO wanapoona mitutu. Tukumbuke Bado watu wengi Duniani awajui Tanzania; hasa wakigoogle baada ya kuona film ya royal tour wakaona misafara na silaha nzito wanaweza wakaamini kwamba Sisi siyo kisiwa Cha amani. Tibadili startegy hata Kwa kupunguza kombati na kuadopt askari wasiovaa uniform kupooza hofu ya Dunia. Ukitafuta msaafara wa Rais wa Ulaya MWENYE magandwa ndani ya nchi Yao ni wachache hivyo na assume wananchi wao ambao tunawaita wawekezaji, wafanyabiashara na watalii awajazoea viongozi kulindwa na mitutu mizito. Tusiwatishe watalii; tupunguze misafara ya kuogofya tuamini nchi Yetu Haina tishio kubwa kiviile kama enzi ya Mzee baba ambapo yeye aliamini migwanda ndo Ulinzi sahihi. Tupunguze kidogo convoy wataalii wasiogope
Ni woga au kukosekana kwa amani nchini kunasababisha hii misururu mirefu?
 
Nimemwona Mhe. Rais USA anatembea na gari Moja TU bila walinzi na mitutu. Naamini hii inatoa picha kwamba experience aliyopata itasaidia kupunguza msafara wake nakubana matumizi.

Lakini pia akipunguza silaha itafanya Dunia iamini Tanzania ni kisiwa Cha amani na watalii pamoja na wawekezaji watavutiwa zaidi KULIKO wanapoona mitutu. Tukumbuke Bado watu wengi Duniani awajui Tanzania; hasa wakigoogle baada ya kuona film ya royal tour wakaona misafara na silaha nzito wanaweza wakaamini kwamba Sisi siyo kisiwa Cha amani. Tibadili startegy hata Kwa kupunguza kombati na kuadopt askari wasiovaa uniform kupooza hofu ya Dunia. Ukitafuta msaafara wa Rais wa Ulaya MWENYE magandwa ndani ya nchi Yao ni wachache hivyo na assume wananchi wao ambao tunawaita wawekezaji, wafanyabiashara na watalii awajazoea viongozi kulindwa na mitutu mizito. Tusiwatishe watalii; tupunguze misafara ya kuogofya tuamini nchi Yetu Haina tishio kubwa kiviile kama enzi ya Mzee baba ambapo yeye aliamini migwanda ndo Ulinzi sahihi. Tupunguze kidogo convoy wataalii wasiogope
Ingekuwa viongozi wetu wakisafiri nje wanajifunza mambo mazuri wanayoyaona (kama huwa wanayaona) tungekuwa mbali sana. Hata boda boda hawangehatarisha usalama wa waenda kwa miguu unaouona hapa Bongo!
 
Magu Kagame
1650095935167.png
1650096473346.png
 
Nimemwona Mhe. Rais USA anatembea na gari Moja TU bila walinzi na mitutu. Naamini hii inatoa picha kwamba experience aliyopata itasaidia kupunguza msafara wake nakubana matumizi.

Lakini pia akipunguza silaha itafanya Dunia iamini Tanzania ni kisiwa Cha amani na watalii pamoja na wawekezaji watavutiwa zaidi KULIKO wanapoona mitutu. Tukumbuke Bado watu wengi Duniani awajui Tanzania; hasa wakigoogle baada ya kuona film ya royal tour wakaona misafara na silaha nzito wanaweza wakaamini kwamba Sisi siyo kisiwa Cha amani. Tibadili startegy hata Kwa kupunguza kombati na kuadopt askari wasiovaa uniform kupooza hofu ya Dunia. Ukitafuta msaafara wa Rais wa Ulaya MWENYE magandwa ndani ya nchi Yao ni wachache hivyo na assume wananchi wao ambao tunawaita wawekezaji, wafanyabiashara na watalii awajazoea viongozi kulindwa na mitutu mizito. Tusiwatishe watalii; tupunguze misafara ya kuogofya tuamini nchi Yetu Haina tishio kubwa kiviile kama enzi ya Mzee baba ambapo yeye aliamini migwanda ndo Ulinzi sahihi. Tupunguze kidogo convoy wataalii wasiogope
Kule anaonekana kama diwani
 
Ukiona mazingira anayokuwa nayo Rais wetu akiwa nje ambako hana kura hata moja, na haya yanayofanyika akiwa hapa wanaposema wameshinda uchaguzi kwa kishindo ni aibu ya mwaka. Hapo ndio utagundua hakuna ulinzi wowote, bali msafara wa rais ni sehemu ya upigaji wa wazi. Hata wazungu wanapoona kinachofanyika kwenye ziara zake hapa nchini na akiwa nje, si bure wazungu wanatuita manyani.
matumizi mabaya ya fedha za umma
 
Back
Top Bottom