Nashauri msafara wa Rais Samia nchini Marekani, uwe ndio msafara wake hapa nchini ili tupunguze magwanda na mitutu

Nashauri msafara wa Rais Samia nchini Marekani, uwe ndio msafara wake hapa nchini ili tupunguze magwanda na mitutu

Hakuna cha zaidi ya uwezo mdogo wa kufikiri na kutengeneza mazingira ya upigaji. Ule ujinga eti rais anapita wananchi wanasimamushwa hadi masaa mawili huko hakuna ndio maana wana maendeleo. Huku rais anaingia madarakani kwa kupora uchaguzi, halafu eti anageuka muheshimiwa na kusujudiwa juu!
Una mhemko Sana,hebu nenda you tube angalia msafara wa rais wa marekani!!?..dar Ina barabara moja morogoro ndiyo rais atapita,huko ambako hakuna foleni Wana barabara ngapi!?...
 
Una mhemko Sana,hebu nenda you tube angalia msafara wa rais wa marekani!!?..dar Ina barabara moja morogoro ndiyo rais atapita,huko ambako hakuna foleni Wana barabara ngapi!?...

Ndio kusimamisha watu masaa mawili barabara wakati bado rais yuko nyumbani?
 
Nimemwona Mhe. Rais USA anatembea na gari Moja TU bila walinzi na mitutu. Naamini hii inatoa picha kwamba experience aliyopata itasaidia kupunguza msafara wake nakubana matumizi.

Lakini pia akipunguza silaha itafanya Dunia iamini Tanzania ni kisiwa Cha amani na watalii pamoja na wawekezaji watavutiwa zaidi KULIKO wanapoona mitutu. Tukumbuke Bado watu wengi Duniani awajui Tanzania; hasa wakigoogle baada ya kuona film ya royal tour wakaona misafara na silaha nzito wanaweza wakaamini kwamba Sisi siyo kisiwa Cha amani. Tibadili startegy hata Kwa kupunguza kombati na kuadopt askari wasiovaa uniform kupooza hofu ya Dunia. Ukitafuta msaafara wa Rais wa Ulaya MWENYE magandwa ndani ya nchi Yao ni wachache hivyo na assume wananchi wao ambao tunawaita wawekezaji, wafanyabiashara na watalii awajazoea viongozi kulindwa na mitutu mizito. Tusiwatishe watalii; tupunguze misafara ya kuogofya tuamini nchi Yetu Haina tishio kubwa kiviile kama enzi ya Mzee baba ambapo yeye aliamini migwanda ndo Ulinzi sahihi. Tupunguze kidogo convoy wataalii wasiogope

Punguza kawivu basi masafara wa kwenda zake ulikuwa mara mbili ya huu wa awamu ya sita
 
Tupia picha tumwone!
EB6673F8-AFBA-482A-A4B0-15239F42BC3C.jpeg
 
Halafu watu wakale wapi ndugu? Unatakiwa ufahamu kila kinachofanyika na hizi serikali zetu sio kwasababu wanampenda mtu yeyote ni njia za kutengeneza mirija. Hata hizo safari hizo, acheni watu wale......
 
Msafara wa raisi huwa ni mbinu za wapigaji wajane. Hata akitembea na gari moja tu hakumzuii kutimiza majukumu yake.
"Mtanitambuaje kama Mimi ndie rais"
 
Huwezi kuta msanii au mtu maarufu Mzungu amerundika idadi ya magari, makabati ya nguo na viatu nyumbani mwake haya ufanywa na blacks.
 
rais magufuli ndio muasisi wa ulinzi wa mibunduki na mihellicopter
 
Back
Top Bottom