Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Jibu mstari.Kupitia juu msitari ndiyo kufanyaje!?...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu mstari.Kupitia juu msitari ndiyo kufanyaje!?...
rais magufuli ndio muasisi wa ulinzi wa mibunduki na mihellicopter
Mwanangu unajipa pressure bureHakuna kwakua wote wanafanana kwa matendo yao.
Ushawahi kuona motorcade ya kagame au muse7 heheUlinzi wake ulikua kwa ajili ya wasiofurahishwa na aliyokuwa akiyafanya kwa manufaa ya Taifa.
Ukisha kuwa kiongozi hutapendwa na kila mtuUlinzi wake ulikua kwa ajili ya wasiofurahishwa na aliyokuwa akiyafanya kwa manufaa ya Taifa.
Ulinzi wake ulikua kwa ajili ya wasiofurahishwa na aliyokuwa akiyafanya kwa manufaa ya Taifa.
HeeNa mama pia ulinzi wake ni kwaajili ya wasiofurahishwa na anayoyafanya kwa manufaa ya taifa
Protokali za usalama wa rais hapangi raisYes, kwakuwa alikuwa mlevi wa madaraka. Mkojani naye anaigiza tu.
Ndio maana wanaogopa Katiba mpyaHawa watu huwa hawachaguliwi na wananchi isipokuwa tume ya uchaguzi
Tatizo ni kwamba baada ya uchaguzi wa 2015 nchi yetu kwa sehemu kubwa ilianza kuongozwa na vyombo vya ulinzi na usalama. Vyombo hivyo viliwaminisha viongozi wetu kuwa ulinzi wao unahitaji kuimarishwa. Ghafla ulinzi huo wa rais ukawa kufuru. Kamati za ulinzi za wilaya na mikoa zikawa sehemu ya misafara ya viongozi hao kwenda kutembelea wananchi. Hali haiwezi kubadilika bila kiongozi mwenyewe kukataa. Ndivyo ilivyo pia kwenye hali ya rais kupewa utukufu; bila yeye binafsi kukataa haiwezi kuachwa.Nimemwona Mhe. Rais USA anatembea na gari Moja TU bila walinzi na mitutu. Naamini hii inatoa picha kwamba experience aliyopata itasaidia kupunguza msafara wake nakubana matumizi.
Lakini pia akipunguza silaha itafanya Dunia iamini Tanzania ni kisiwa Cha amani na watalii pamoja na wawekezaji watavutiwa zaidi KULIKO wanapoona mitutu. Tukumbuke Bado watu wengi Duniani awajui Tanzania; hasa wakigoogle baada ya kuona film ya royal tour wakaona misafara na silaha nzito wanaweza wakaamini kwamba Sisi siyo kisiwa Cha amani. Tibadili startegy hata Kwa kupunguza kombati na kuadopt askari wasiovaa uniform kupooza hofu ya Dunia. Ukitafuta msaafara wa Rais wa Ulaya MWENYE magandwa ndani ya nchi Yao ni wachache hivyo na assume wananchi wao ambao tunawaita wawekezaji, wafanyabiashara na watalii awajazoea viongozi kulindwa na mitutu mizito. Tusiwatishe watalii; tupunguze misafara ya kuogofya tuamini nchi Yetu Haina tishio kubwa kiviile kama enzi ya Mzee baba ambapo yeye aliamini migwanda ndo Ulinzi sahihi. Tupunguze kidogo convoy wataalii wasiogope
Protokali za usalama wa rais hapangi rais
Rais anajuaje Mambo ya usalama!!?Hivyo ndio inavyotakiwa iwe, ila kuna ilivyo ambapo rais anapanga hata kama protokali haziko hivyo.
Kwani nae ni dhalimu?Ukiona mazingira anayokuwa nayo Rais wetu akiwa nje ambako hana kura hata moja, na haya yanayofanyika akiwa hapa wanaposema wameshinda uchaguzi kwa kishindo ni aibu ya mwaka. Hapo ndio utagundua hakuna ulinzi wowote, bali msafara wa rais ni sehemu ya upigaji wa wazi. Hata wazungu wanapoona kinachofanyika kwenye ziara zake hapa nchini na akiwa nje, si bure wazungu wanatuita manyani.
Kwani mamaenu nae ni mshamba?Sisi tuna mbwembwe nyingi sana na ushamba mwingi tu.
Nimemwona Mhe. Rais USA anatembea na gari Moja TU bila walinzi na mitutu. Naamini hii inatoa picha kwamba experience aliyopata itasaidia kupunguza msafara wake nakubana matumizi.
Lakini pia akipunguza silaha itafanya Dunia iamini Tanzania ni kisiwa Cha amani na watalii pamoja na wawekezaji watavutiwa zaidi KULIKO wanapoona mitutu. Tukumbuke Bado watu wengi Duniani awajui Tanzania; hasa wakigoogle baada ya kuona film ya royal tour wakaona misafara na silaha nzito wanaweza wakaamini kwamba Sisi siyo kisiwa Cha amani. Tibadili startegy hata Kwa kupunguza kombati na kuadopt askari wasiovaa uniform kupooza hofu ya Dunia. Ukitafuta msaafara wa Rais wa Ulaya MWENYE magandwa ndani ya nchi Yao ni wachache hivyo na assume wananchi wao ambao tunawaita wawekezaji, wafanyabiashara na watalii awajazoea viongozi kulindwa na mitutu mizito. Tusiwatishe watalii; tupunguze misafara ya kuogofya tuamini nchi Yetu Haina tishio kubwa kiviile kama enzi ya Mzee baba ambapo yeye aliamini migwanda ndo Ulinzi sahihi. Tupunguze kidogo convoy wataalii wasiogope
🤣🤣🤣🤣Kwani msafara wa Rais wa US akiwa Tz unakuaje?
Inawezkana tatzo sio Rais Wala sio walinzi.
Kwani amesema ulinzi kule haukutosha??🤣🤣🤣Unadhani Marekani ni Mchambawima, Zanzibar, au Kibaigwa, Morogoro?
Jukumu la ulinzi wa foreign president ni la host country. Kama unadhani ulinzi anaopewa hautoshi, jaribu kuleta za kuleta pale alipo, kisha uje hapa jukwaani kutupa mrejesho!
Badala ya kupiga kelel kama zumari ungetumia wino huo kuleta wewe hiyo clip yenye msafara mrefu.Wacha UONGO hakuna mahali samia ametembea na gari moja ndani ya USA [emoji631].
Labda hukutulia uiangalie hiyo clip vizuri.
Msiwe mnapotosha watu kwa ujinga wenu.
Weka hapa hiyo video anayotembea na gari moja tuione.
Serikali za wenzenu wanajali Protocol na Rais yeyote akiizuru nchi lazima apewe heshima yake.
Acheni UONGO.
wote tunafuatilia kinachojiri kwenye hiyo ziara.
Nashangaa hata Moderators wa humu nao kwa sasa wanafukuzia asali au nini?
Uzi kama huu mnauacha ila mnafuta nyuzi zenye mashiko ila zinawaumiza washikaji wenu au?
Let's be fair.......
Kwani amesema ulinzi kule haukutosha??[emoji1787][emoji1787][emoji1787]