MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kusheherekea kwa Mbwembwe zote miaka 60 ya Uhuru huku Taifa likiwa na Changamoto muhimu za Maji na Umeme huenda Kikatafsiriwa kuwa ni Kielelezo tosha cha Uzuzu ( Ujuha ) mwingi unaopatikana Afrika na kwa Waafrika wengi ( japo siyo Wote )
Sawa. Ukumbuke na kutupandishia mishahara basi.Tunamalizia hatua za mwisho kabisa za maandalizi ya sherehe yetu ya 9 Disemba, Nawakaribisha waTanzania wenzangu kusheherekea maadhimisho ya siku ya uhuru wetu.
Unadhani hapendi Kuinuliwa,kutukuzwa,kupigiwa kwata.akiwa Ke wa kwanza kushika jumba jeupe.
Kenyetta alishapewa kadi na Dada yake aje kuhudhuria Uhuru day.
Pia hata yule wa UK nae alialikwa walipokutana Scotland.
😂😂😂
Hawakawii kusema changamoto ya Maji/umeme zimeletwa na wapinzani kwa kushirikiana na mabeberuKusheherekea kwa Mbwembwe zote miaka 60 ya Uhuru huku Taifa likiwa na Changamoto muhimu za Maji na Umeme huenda Kikatafsiriwa kuwa ni Kielelezo tosha cha Uzuzu ( Ujuha ) mwingi unaopatikana Afrika na kwa Waafrika wengi ( japo siyo Wote )
Hakuna kiongozi asiependa Kuheshimiwa.Unadhani hapendi Kuinuliwa,kutukuzwa,kupigiwa kwata.akiwa Ke wa kwanza kushika jumba jeupe.
Kenyetta alishapewa kadi na Dada yake aje kuhudhuria Uhuru day.
Pia hata yule wa UK nae alialikwa walipokutana Scotland.
Tena hizo pesa zipelekwe Zanzibar zikatatue changamoto za miundombinu,Hizo changamoto zipo tangu uhuru, si za kuondoa kwa miaka sitini, labda miaka mingine hamsini tena
Asilimia 50 mgao nyingine zinaenda kwetu ZanzibarKusheherekea kwa Mbwembwe zote miaka 60 ya Uhuru huku Taifa likiwa na Changamoto muhimu za Maji na Umeme huenda Kikatafsiriwa kuwa ni Kielelezo tosha cha Uzuzu ( Ujuha ) mwingi unaopatikana Afrika na kwa Waafrika wengi ( japo siyo Wote )
Masikini huwaombea matajiri wafilisike, ni ufikiri wenye shaka kupinga sherehe hizi.sasa wale wanaotegemea sherehe kupata mkate wa kila siku huoni kama utakuwa huwatendei haki, kumbuka food chain na food web
Hayo yaliwezekana enzi ya JIWE tu!!! Huo ndio uchochoro wa wapigaji wakati wa sherehe!!Kusheherekea kwa Mbwembwe zote miaka 60 ya Uhuru huku Taifa likiwa na Changamoto muhimu za Maji na Umeme huenda Kikatafsiriwa kuwa ni Kielelezo tosha cha Uzuzu ( Ujuha ) mwingi unaopatikana Afrika na kwa Waafrika wengi ( japo siyo Wote )