Nashauri simba sc iachane na masuala ya utani na Yanga

Nashauri simba sc iachane na masuala ya utani na Yanga

Al Ahl wana wachezaji wenye thamani ya billion 5 Simba wapo?
Kwasababu simba imaejikita kwenye utani na Yanga ndio maana hadi sasa unaona Simba wanasema wana kikosi kizuri kwakua bado wanajicompare na Yanga wenye Maiko Sapong ..

Wakiachana na yanga na kuamia kwa Al ahly watagundua kumbe bado sana ba wataanza kuafamyia kazi mapingufu hadi watafika nchi ya Ahadi
 
Kweli ni aibu kuwa na utani na timu inayoamini ulozi kwenye mpira. Timu ambayo inakaa na kuamua wasipite geti rasmi ni aibu kufanya nayo utani maana ni timu ambayo bado iko enzi za mawe.
 
Kweli ni aibu kuwa na utani na timu inayoamini ulozi kwenye mpira. Timu ambayo inakaa na kuamua wasipite geti rasmi ni aibu kufanya nayo utani maana ni timu ambayo bado iko enzi za mawe.
Unakatwa na wachawi
Na bado Kigoma tunapitia geti lisilo rasmi na kutoingia vyumbani na tunakufunga tena
 
Na Muddy naye anamtegemea baba yake Gulam [emoji1787][emoji23][emoji846]
Kama Simba Haina uwezo wa kuzalisha bilion tatu kwa mwaka haiwezi fanana na Klabu yoyote kubwa Afrika, Simba Kama Klabu Haina miguu ya kusimama yenyewe Simba Asilimia kubwa inategemea mapenzi binafsi ya MO na ndio maana uwa Akitishia kuondoka wanakwenda kumsujudia. Nimwenda wazimu pekee ata ifananisha Simba na Klabu yoyote kubwa Afrika.
 
Actually Simba iache kabisa utani.... Soka ni serious business

Imagine unajiandaa na international game professionally wakati wenzako wanategemea kizee kichawi

Utani sasa basi
hebu fafanua hapa, wanategemea kizee kichawi kivip!?
 
Ni muda mrefu sana tangu kuanzishwa kwake hivi vilabu vimekua vikirandana na kufanana kwa kila jambo kama mapacha.

Ndio maana hata imekua ngumu sana kwa kilabu kimoja kuendelea saana kuliko kilabu kingine sababu ya huu utani wanao uita wajadi usio na msingi wowote kwenye soka la kisasa.

Ni kweli Simba na Yanga ni local rival na ni local derby na hii iishie hapo na si zaidi.

Kama kweli Simba SC wanataka kua Giant na dominant club Africa wanapaswa kutazama mifano kama Bayern Munic kule German

Bayern na Dortimund ni local rival wale, lakini hana utani Dortimund yeye ana concetrate na ma giant wa ulaya tu, hata sajiri zake hua hafanyi kwa kumtazama Borrusia Dortumund ,yeye anawaangalia Madrid,Barcelona ,Paris wanafanya nini sokoni.

Ndio maana kwenye ligi yao kule Bundes Liga akienda anabomoa tuu hana muda .

Hii ya utani utani inafanya Clabu ya Simba ione kama mpinzani wake kwenye soka ni Yanga Pekee wakati si kweli!..

Mpinzani Simba ni Al Ahly,Mamelody Sundowns huko wakina Tp Mazembe na vilabu ambavyo vinatamba huko champions ligi na sio Yanga tena.

Clabu ya Yanga itafute mtani mwingine yoyote kama ni KMC ,AZAM au MWADUI waanzishe utani na sio Simba SC,,
imefka atus mtoto anajiona mkubwa kuliko baba
 
Ni muda mrefu sana tangu kuanzishwa kwake hivi vilabu vimekua vikirandana na kufanana kwa kila jambo kama mapacha.

Ndio maana hata imekua ngumu sana kwa kilabu kimoja kuendelea saana kuliko kilabu kingine sababu ya huu utani wanao uita wajadi usio na msingi wowote kwenye soka la kisasa.

Ni kweli Simba na Yanga ni local rival na ni local derby na hii iishie hapo na si zaidi.

Kama kweli Simba SC wanataka kua Giant na dominant club Africa wanapaswa kutazama mifano kama Bayern Munic kule German

Bayern na Dortimund ni local rival wale, lakini hana utani Dortimund yeye ana concetrate na ma giant wa ulaya tu, hata sajiri zake hua hafanyi kwa kumtazama Borrusia Dortumund ,yeye anawaangalia Madrid,Barcelona ,Paris wanafanya nini sokoni.

Ndio maana kwenye ligi yao kule Bundes Liga akienda anabomoa tuu hana muda .

Hii ya utani utani inafanya Clabu ya Simba ione kama mpinzani wake kwenye soka ni Yanga Pekee wakati si kweli!..

Mpinzani Simba ni Al Ahly,Mamelody Sundowns huko wakina Tp Mazembe na vilabu ambavyo vinatamba huko champions ligi na sio Yanga tena.

Clabu ya Yanga itafute mtani mwingine yoyote kama ni KMC ,AZAM au MWADUI waanzishe utani na sio Simba SC,,
Bayern haimilikiwi na tajiri wa kihindi anayenunua share kwa mauli kauli na akifungwa mechi mbili anatishia kujitoa. Ukiachana na udhamini wa ujanja ujanja, Simba kama simba haina tofauti na Majimaji au KMC.
Al Ahly wamewadharau sana, yaani wanasema kufungwa (tena away) na Simba ndio kuliwaasha usingizini, ni kama mliwaotea tu. Wala Yanga hawana utani na nyie, watani wenu ni Prisons.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Bayern haimilikiwi na tajiri wa kihindi anayenunua share kwa mauli kauli na akifungwa mechi mbili anatishia kujitoa. Ukiachana na udhamini wa ujanja ujanja, Simba kama simba haina tofauti na Majimaji au KMC.
Al Ahly wamewadharau sana, yaani wanasema kufungwa (tena away) na Simba ndio kuliwaasha usingizini, ni kama mliwaotea tu. Wala Yanga hawana utani na nyie, watani wenu ni Prisons.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Pitso Mosimane kocha mkuu wa Al ahly kwenye kituo cha televisheni cha mahdu huko Misri kwenye mahojiano yake na waandishi wa habari baada ya kutwaa ubingwa wa Africa anasema Mechi ya Simba ya home na away ndio zilikua mechi ngumu zaidi kwao msimu huu

Anatokea hopeless mmoja alie pandishiwa makato amejaaa UTI anaedit kauli


Alafu kwenye issue ya umliki inategemea na uendeshwaji wa timu ndio maana Man city inamilikiwa na muarabu ,chelsea m russia Man united mmarekeni kwenye football hasa la kisasa mwenye pesa ndio anamiliki timu hata kamaa ni mnyasa
 
Back
Top Bottom