Nashauri simba sc iachane na masuala ya utani na Yanga

Nashauri simba sc iachane na masuala ya utani na Yanga

Ni muda mrefu sana tangu kuanzishwa kwake hivi vilabu vimekua vikirandana na kufanana kwa kila jambo kama mapacha.

Ndio maana hata imekua ngumu sana kwa kilabu kimoja kuendelea saana kuliko kilabu kingine sababu ya huu utani wanao uita wajadi usio na msingi wowote kwenye soka la kisasa.

Ni kweli Simba na Yanga ni local rival na ni local derby na hii iishie hapo na si zaidi.

Kama kweli Simba SC wanataka kua Giant na dominant club Africa wanapaswa kutazama mifano kama Bayern Munic kule German

Bayern na Dortimund ni local rival wale, lakini hana utani Dortimund yeye ana concetrate na ma giant wa ulaya tu, hata sajiri zake hua hafanyi kwa kumtazama Borrusia Dortumund ,yeye anawaangalia Madrid,Barcelona ,Paris wanafanya nini sokoni.

Ndio maana kwenye ligi yao kule Bundes Liga akienda anabomoa tuu hana muda .

Hii ya utani utani inafanya Clabu ya Simba ione kama mpinzani wake kwenye soka ni Yanga Pekee wakati si kweli!..

Mpinzani Simba ni Al Ahly,Mamelody Sundowns huko wakina Tp Mazembe na vilabu ambavyo vinatamba huko champions ligi na sio Yanga tena.

Clabu ya Yanga itafute mtani mwingine yoyote kama ni KMC ,AZAM au MWADUI waanzishe utani na sio Simba SC,,
Yaani umefikiria ukaona kwamba utani watu wanaombana.kizazi cha PlayStation mna mihemko sana! Siku nyengine utasema waachaga na wapare wasiwe watani kisa wachaga wanahela
 
Yaani umefikiria ukaona kwamba utani watu wanaombana.kizazi cha PlayStation mna mihemko sana! Siku nyengine utasema waachaga na wapare wasiwe watani kisa wachaga wanahela
Hayo unasema wewe
 
Ni muda mrefu sana tangu kuanzishwa kwake hivi vilabu vimekua vikirandana na kufanana kwa kila jambo kama mapacha.

Ndio maana hata imekua ngumu sana kwa kilabu kimoja kuendelea saana kuliko kilabu kingine sababu ya huu utani wanao uita wajadi usio na msingi wowote kwenye soka la kisasa.

Ni kweli Simba na Yanga ni local rival na ni local derby na hii iishie hapo na si zaidi.

Kama kweli Simba SC wanataka kua Giant na dominant club Africa wanapaswa kutazama mifano kama Bayern Munic kule German

Bayern na Dortimund ni local rival wale, lakini hana utani Dortimund yeye ana concetrate na ma giant wa ulaya tu, hata sajiri zake hua hafanyi kwa kumtazama Borrusia Dortumund ,yeye anawaangalia Madrid,Barcelona ,Paris wanafanya nini sokoni.

Ndio maana kwenye ligi yao kule Bundes Liga akienda anabomoa tuu hana muda .

Hii ya utani utani inafanya Clabu ya Simba ione kama mpinzani wake kwenye soka ni Yanga Pekee wakati si kweli!..

Mpinzani Simba ni Al Ahly,Mamelody Sundowns huko wakina Tp Mazembe na vilabu ambavyo vinatamba huko champions ligi na sio Yanga tena.

Clabu ya Yanga itafute mtani mwingine yoyote kama ni KMC ,AZAM au MWADUI waanzishe utani na sio Simba SC,,
Hapaaa
FB_IMG_16267093547413832.jpg
 
Actually Simba iache kabisa utani.... Soka ni serious business

Imagine unajiandaa na international game professionally wakati wenzako wanategemea kizee kichawi

Utani sasa basi
Ni kweli
Screenshot_20210717-124959-1.jpg
 
Kama Simba Haina uwezo wa kuzalisha bilion tatu kwa mwaka haiwezi fanana na Klabu yoyote kubwa Afrika, Simba Kama Klabu Haina miguu ya kusimama yenyewe Simba Asilimia kubwa inategemea mapenzi binafsi ya MO na ndio maana uwa Akitishia kuondoka wanakwenda kumsujudia. Nimwenda wazimu pekee ata ifananisha Simba na Klabu yoyote kubwa Afrika.
Hapa
Screenshot_20210718-145221.jpg
 
Utani wa Yanga unaidumaza sana Simba
Sio kweli bna, ni mawazo yako tu. Mbona simba wamefika mbali mzee. Na kama ni usajili basi labda mfuko wao umeishia hapo na sio kua utani wa yanga ndio sababu, wasingefika huko walikofika labda ingekua ivo.
 
Ni muda mrefu sana tangu kuanzishwa kwake hivi vilabu vimekua vikirandana na kufanana kwa kila jambo kama mapacha.

Ndio maana hata imekua ngumu sana kwa kilabu kimoja kuendelea saana kuliko kilabu kingine sababu ya huu utani wanao uita wajadi usio na msingi wowote kwenye soka la kisasa.

Ni kweli Simba na Yanga ni local rival na ni local derby na hii iishie hapo na si zaidi.

Kama kweli Simba SC wanataka kua Giant na dominant club Africa wanapaswa kutazama mifano kama Bayern Munic kule German

Bayern na Dortimund ni local rival wale, lakini hana utani Dortimund yeye ana concetrate na ma giant wa ulaya tu, hata sajiri zake hua hafanyi kwa kumtazama Borrusia Dortumund ,yeye anawaangalia Madrid,Barcelona ,Paris wanafanya nini sokoni.

Ndio maana kwenye ligi yao kule Bundes Liga akienda anabomoa tuu hana muda .

Hii ya utani utani inafanya Clabu ya Simba ione kama mpinzani wake kwenye soka ni Yanga Pekee wakati si kweli!..

Mpinzani Simba ni Al Ahly,Mamelody Sundowns huko wakina Tp Mazembe na vilabu ambavyo vinatamba huko champions ligi na sio Yanga tena.

Clabu ya Yanga itafute mtani mwingine yoyote kama ni KMC ,AZAM au MWADUI waanzishe utani na sio Simba SC,,
Akili za mtu mwenye uharo.
 
Pitso Mosimane kocha mkuu wa Al ahly kwenye kituo cha televisheni cha mahdu huko Misri kwenye mahojiano yake na waandishi wa habari baada ya kutwaa ubingwa wa Africa anasema Mechi ya Simba ya home na away ndio zilikua mechi ngumu zaidi kwao msimu huu

Anatokea hopeless mmoja alie pandishiwa makato amejaaa UTI anaedit kauli


Alafu kwenye issue ya umliki inategemea na uendeshwaji wa timu ndio maana Man city inamilikiwa na muarabu ,chelsea m russia Man united mmarekeni kwenye football hasa la kisasa mwenye pesa ndio anamiliki timu hata kamaa ni mnyasa
Mwarabu alitoa kuinunua Man City, Mrusi alitoa pesa kuinunua Chesea, huyu kanjibai yeye katoa malikauli. Aliyekuwa kiongozi wenu kaeleza uhuni unaoendishwa na genge la akina Barbara. Kuhusu kocha wa Al Ahly, baada ya kupoteza mechi dhidi ya Simba alieleza wazi kuwa, hali ya hewa iliwaathiri na Simba hawana uwezo wa kuwafunga.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom