Nashauri simba sc iachane na masuala ya utani na Yanga

Nashauri simba sc iachane na masuala ya utani na Yanga

Simba iwe mtani au si mtani wa Yanga, ijifananishe ata na vilabu vya ulaya ukweli una baki palepale Simba bado iko mbalisana na kinachoitwa Timu kubwa. Huwezi kuwa Timu kubwa wakati timu Haina uwezo wa kujitegemea hata kwa bajeti ndogo ata ya bilion tatu.
Kwamujibu wa MO Simba thamani yake ni bilion tatu na kidogo Sasa na yeye MO anatoa fedha za mfukoni mwake karibu biliob 4 kwa mwaka.
Yeye ndio anasajili, analipa mishahara anahonga Marefa Sasa katizame robo ya bajeti ya vilabu vikubwa Afrika kwa mwaka uone Kama mbumbumbu fc wanajua au hawajui kwanini zile zinaitwa Klabu kubwa.
 
Ni muda mrefu sana tangu kuanzishwa kwake hivi vilabu vimekua vikirandana na kufanana kwa kila jambo kama mapacha.

Ndio maana hata imekua ngumu sana kwa kilabu kimoja kuendelea saana kuliko kilabu kingine sababu ya huu utani wanao uita wajadi usio na msingi wowote kwenye soka la kisasa.

Ni kweli Simba na Yanga ni local rival na ni local derby na hii iishie hapo na si zaidi.

Kama kweli Simba SC wanataka kua Giant na dominant club Africa wanapaswa kutazama mifano kama Bayern Munic kule German

Bayern na Dortimund ni local rival wale, lakini hana utani Dortimund yeye ana concetrate na ma giant wa ulaya tu, hata sajiri zake hua hafanyi kwa kumtazama Borrusia Dortumund ,yeye anawaangalia Madrid,Barcelona ,Paris wanafanya nini sokoni.

Ndio maana kwenye ligi yao kule Bundes Liga akienda anabomoa tuu hana muda.

Hii ya utani utani inafanya Clabu ya Simba ione kama mpinzani wake kwenye soka ni Yanga Pekee wakati si kweli!.

Mpinzani Simba ni Al Ahly,Mamelody Sundowns huko wakina Tp Mazembe na vilabu ambavyo vinatamba huko champions ligi na sio Yanga tena.

Clabu ya Yanga itafute mtani mwingine yoyote kama ni KMC ,AZAM au MWADUI waanzishe utani na sio Simba SC.
Ushauri mzuri sana.
 
Ni muda mrefu sana tangu kuanzishwa kwake hivi vilabu vimekua vikirandana na kufanana kwa kila jambo kama mapacha.

Ndio maana hata imekua ngumu sana kwa kilabu kimoja kuendelea saana kuliko kilabu kingine sababu ya huu utani wanao uita wajadi usio na msingi wowote kwenye soka la kisasa.

Ni kweli Simba na Yanga ni local rival na ni local derby na hii iishie hapo na si zaidi.

Kama kweli Simba SC wanataka kua Giant na dominant club Africa wanapaswa kutazama mifano kama Bayern Munic kule German

Bayern na Dortimund ni local rival wale, lakini hana utani Dortimund yeye ana concetrate na ma giant wa ulaya tu, hata sajiri zake hua hafanyi kwa kumtazama Borrusia Dortumund ,yeye anawaangalia Madrid,Barcelona ,Paris wanafanya nini sokoni.

Ndio maana kwenye ligi yao kule Bundes Liga akienda anabomoa tuu hana muda.

Hii ya utani utani inafanya Clabu ya Simba ione kama mpinzani wake kwenye soka ni Yanga Pekee wakati si kweli!.

Mpinzani Simba ni Al Ahly,Mamelody Sundowns huko wakina Tp Mazembe na vilabu ambavyo vinatamba huko champions ligi na sio Yanga tena.

Clabu ya Yanga itafute mtani mwingine yoyote kama ni KMC ,AZAM au MWADUI waanzishe utani na sio Simba SC.
Wewe mwenyewe hapa umeandika utani tu,,,sasa sijui huo utani wa Yanga na Simba utaishaje!
 
Yanga hawanaga hoja kabisa wao lugha chafu tu
Mzee Mpili kawaharibu sana hawa nyani wa pori la Utopolo
FB_IMG_1626078844194.jpg
 
Kama Simba Haina uwezo wa kuzalisha bilion tatu kwa mwaka haiwezi fanana na Klabu yoyote kubwa Afrika, Simba Kama Klabu Haina miguu ya kusimama yenyewe Simba Asilimia kubwa inategemea mapenzi binafsi ya MO na ndio maana uwa Akitishia kuondoka wanakwenda kumsujudia. Nimwenda wazimu pekee ata ifananisha Simba na Klabu yoyote kubwa Afrika.
Hebu niambie AS Vita mwaka jana alizalisha Billion ngoapi?
 
Hebu niambie AS Vita mwaka jana alizalisha Billion ngoapi?
Ivi Vita ipo katika Klabu kubwa Afrika, uwa mnafikiri sawasawa kweli!!! Vita ipo katika Klabu zilizo changamka si Klabu kubwa Afrika.apo utawakuta Zesco, Nkana, premiero Agosto, MC Alger, El mereik, ismailia, Al Ahly Bengaz n.k
 
Ivi Vita ipo katika Klabu kubwa Afrika, uwa mnafikiri sawasawa kweli!!! Vita ipo katika Klabu zilizo changamka si Klabu kubwa Afrika.apo utawakuta Zesco, Nkana, premiero Agosto, MC Alger, El mereik, ismailia, Al Ahly Bengaz n.k
Hivyo ulivyovitaja siyo level ya Simba.

Hata kwenye draw zinawekwa pot four wakati Simba ni pot 3 na AS Vita ni pot 2.

Kati yangu na wewe nani mwenye akili sawa sawa ?
 
Ni muda mrefu sana tangu kuanzishwa kwake hivi vilabu vimekua vikirandana na kufanana kwa kila jambo kama mapacha.

Ndio maana hata imekua ngumu sana kwa kilabu kimoja kuendelea saana kuliko kilabu kingine sababu ya huu utani wanao uita wajadi usio na msingi wowote kwenye soka la kisasa.

Ni kweli Simba na Yanga ni local rival na ni local derby na hii iishie hapo na si zaidi.

Kama kweli Simba SC wanataka kua Giant na dominant club Africa wanapaswa kutazama mifano kama Bayern Munic kule German

Bayern na Dortimund ni local rival wale, lakini hana utani Dortimund yeye ana concetrate na ma giant wa ulaya tu, hata sajiri zake hua hafanyi kwa kumtazama Borrusia Dortumund ,yeye anawaangalia Madrid,Barcelona ,Paris wanafanya nini sokoni.

Ndio maana kwenye ligi yao kule Bundes Liga akienda anabomoa tuu hana muda.

Hii ya utani utani inafanya Clabu ya Simba ione kama mpinzani wake kwenye soka ni Yanga Pekee wakati si kweli!.

Mpinzani Simba ni Al Ahly,Mamelody Sundowns huko wakina Tp Mazembe na vilabu ambavyo vinatamba huko champions ligi na sio Yanga tena.

Clabu ya Yanga itafute mtani mwingine yoyote kama ni KMC ,AZAM au MWADUI waanzishe utani na sio Simba SC.
Mikia bwana! 2021-22 kombe mtalisikia tu
 
Kama Simba Haina uwezo wa kuzalisha bilion tatu kwa mwaka haiwezi fanana na Klabu yoyote kubwa Afrika, Simba Kama Klabu Haina miguu ya kusimama yenyewe Simba Asilimia kubwa inategemea mapenzi binafsi ya MO na ndio maana uwa Akitishia kuondoka wanakwenda kumsujudia. Nimwenda wazimu pekee ata ifananisha Simba na Klabu yoyote kubwa Afrika.
Umegusa pabaya ila ndio ukweli, ni sawa na kumwambia Mbumbumbu huna akili, hapo lazima ulioge povu lake.
 
Back
Top Bottom