Nashauri simba sc iachane na masuala ya utani na Yanga

Nashauri simba sc iachane na masuala ya utani na Yanga

Ni muda mrefu sana tangu kuanzishwa kwake hivi vilabu vimekua vikirandana na kufanana kwa kila jambo kama mapacha.

Ndio maana hata imekua ngumu sana kwa kilabu kimoja kuendelea saana kuliko kilabu kingine sababu ya huu utani wanao uita wajadi usio na msingi wowote kwenye soka la kisasa.

Ni kweli Simba na Yanga ni local rival na ni local derby na hii iishie hapo na si zaidi.

Kama kweli Simba SC wanataka kua Giant na dominant club Africa wanapaswa kutazama mifano kama Bayern Munic kule German

Bayern na Dortimund ni local rival wale, lakini hana utani Dortimund yeye ana concetrate na ma giant wa ulaya tu, hata sajiri zake hua hafanyi kwa kumtazama Borrusia Dortumund ,yeye anawaangalia Madrid,Barcelona ,Paris wanafanya nini sokoni.

Ndio maana kwenye ligi yao kule Bundes Liga akienda anabomoa tuu hana muda.

Hii ya utani utani inafanya Clabu ya Simba ione kama mpinzani wake kwenye soka ni Yanga Pekee wakati si kweli!.

Mpinzani Simba ni Al Ahly,Mamelody Sundowns huko wakina Tp Mazembe na vilabu ambavyo vinatamba huko champions ligi na sio Yanga tena.

Clabu ya Yanga itafute mtani mwingine yoyote kama ni KMC ,AZAM au MWADUI waanzishe utani na sio Simba SC.
Maweeee[emoji87][emoji87][emoji87]
Kwanza inawezekana hujui maana ya derby

Pili huijui historia ya Bayern Munich na Dortmund, hujui kwanini Dortmund ameshindwa kuwa mpinzani mkubwa wa Bayern kutokana na mkataba wao
 
Ni muda mrefu sana tangu kuanzishwa kwake hivi vilabu vimekua vikirandana na kufanana kwa kila jambo kama mapacha.

Ndio maana hata imekua ngumu sana kwa kilabu kimoja kuendelea saana kuliko kilabu kingine sababu ya huu utani wanao uita wajadi usio na msingi wowote kwenye soka la kisasa.

Ni kweli Simba na Yanga ni local rival na ni local derby na hii iishie hapo na si zaidi.

Kama kweli Simba SC wanataka kua Giant na dominant club Africa wanapaswa kutazama mifano kama Bayern Munic kule German

Bayern na Dortimund ni local rival wale, lakini hana utani Dortimund yeye ana concetrate na ma giant wa ulaya tu, hata sajiri zake hua hafanyi kwa kumtazama Borrusia Dortumund ,yeye anawaangalia Madrid,Barcelona ,Paris wanafanya nini sokoni.

Ndio maana kwenye ligi yao kule Bundes Liga akienda anabomoa tuu hana muda.

Hii ya utani utani inafanya Clabu ya Simba ione kama mpinzani wake kwenye soka ni Yanga Pekee wakati si kweli!.

Mpinzani Simba ni Al Ahly,Mamelody Sundowns huko wakina Tp Mazembe na vilabu ambavyo vinatamba huko champions ligi na sio Yanga tena.

Clabu ya Yanga itafute mtani mwingine yoyote kama ni KMC ,AZAM au MWADUI waanzishe utani na sio Simba SC.
Tena hutakiwi kupost chochote kinachohusu hyo timu
Mm nlishaacha.
 
Hii ni kweli kabisa.
Maana huu utani wa kipumvavu unafanya soka lidumae sana.Yanga wakiwa chini huwa wanawekeza sana kwenye uchawi.Kwa hiyo utakuta pamoja na Simba kuwa ilipo,inavutwa chini ili ilingane na Yanga.

Kwa kuwa Simba wameshaanza kufanikiwa kwenye soka angalau na kuanza kuibwa kama timu kubwa Afrika,iachane na huu uswahili wa akina Haji na Mzee Mpili.
Ni muda mrefu sana tangu kuanzishwa kwake hivi vilabu vimekua vikirandana na kufanana kwa kila jambo kama mapacha.

Ndio maana hata imekua ngumu sana kwa kilabu kimoja kuendelea saana kuliko kilabu kingine sababu ya huu utani wanao uita wajadi usio na msingi wowote kwenye soka la kisasa.

Ni kweli Simba na Yanga ni local rival na ni local derby na hii iishie hapo na si zaidi.

Kama kweli Simba SC wanataka kua Giant na dominant club Africa wanapaswa kutazama mifano kama Bayern Munic kule German

Bayern na Dortimund ni local rival wale, lakini hana utani Dortimund yeye ana concetrate na ma giant wa ulaya tu, hata sajiri zake hua hafanyi kwa kumtazama Borrusia Dortumund ,yeye anawaangalia Madrid,Barcelona ,Paris wanafanya nini sokoni.

Ndio maana kwenye ligi yao kule Bundes Liga akienda anabomoa tuu hana muda.

Hii ya utani utani inafanya Clabu ya Simba ione kama mpinzani wake kwenye soka ni Yanga Pekee wakati si kweli!.

Mpinzani Simba ni Al Ahly,Mamelody Sundowns huko wakina Tp Mazembe na vilabu ambavyo vinatamba huko champions ligi na sio Yanga tena.

Clabu ya Yanga itafute mtani mwingine yoyote kama ni KMC ,AZAM au MWADUI waanzishe utani na sio Simba SC.
 
Huu ni ukweliUnaweka utana na ka yanga ndo maana kanamshika sharubu.Hata Kigoma huko simba akileta utani na kuchukulia poa atapigwa na hawa dhaifu
 
Yanga Wana idara Bora kabisa yapropaganda dhidi ya [emoji881],uzushi ,majungu, fitna yeyote watakayoitoa inasambaa kwa haraka Kama Moto nyikani, Kama yanga kamati Yao ya mashindano, ingekuwa inawajibika ipasavyo Kama idara ya propaganda,Sasa hivi wangekuwa level ya juu, lakini wahenga walisema "Simba Mwenda pole ndiye anayekula nyama" TuKuTaNe LaKe TaNgAnYiKa stadium.
 
Yanga Wana idara Bora kabisa yapropaganda dhidi ya [emoji881],uzushi ,majungu, fitna yeyote watakayoitoa inasambaa kwa haraka Kama Moto nyikani, Kama yanga kamati Yao ya mashindano, ingekuwa inawajibika ipasavyo Kama idara ya propaganda,Sasa hivi wangekuwa level ya juu, lakini wahenga walisema "Simba Mwenda pole ndiye anayekula nyama" TuKuTaNe LaKe TaNgAnYiKa stadium.
Kabisa na wana watangazaji na wachambuzi wao spesho kabisa kwa ajiri ya propaganda zao
 
Ni muda mrefu sana tangu kuanzishwa kwake hivi vilabu vimekua vikirandana na kufanana kwa kila jambo kama mapacha.

Ndio maana hata imekua ngumu sana kwa kilabu kimoja kuendelea saana kuliko kilabu kingine sababu ya huu utani wanao uita wajadi usio na msingi wowote kwenye soka la kisasa.

Ni kweli Simba na Yanga ni local rival na ni local derby na hii iishie hapo na si zaidi.

Kama kweli Simba SC wanataka kua Giant na dominant club Africa wanapaswa kutazama mifano kama Bayern Munic kule German

Bayern na Dortimund ni local rival wale, lakini hana utani Dortimund yeye ana concetrate na ma giant wa ulaya tu, hata sajiri zake hua hafanyi kwa kumtazama Borrusia Dortumund ,yeye anawaangalia Madrid,Barcelona ,Paris wanafanya nini sokoni.

Ndio maana kwenye ligi yao kule Bundes Liga akienda anabomoa tuu hana muda.

Hii ya utani utani inafanya Clabu ya Simba ione kama mpinzani wake kwenye soka ni Yanga Pekee wakati si kweli!.

Mpinzani Simba ni Al Ahly,Mamelody Sundowns huko wakina Tp Mazembe na vilabu ambavyo vinatamba huko champions ligi na sio Yanga tena.

Clabu ya Yanga itafute mtani mwingine yoyote kama ni KMC ,AZAM au MWADUI waanzishe utani na sio Simba SC.
Mimi nashauri Simba iachane haraka na Haji Manara, anadhani mafanikio ya Simba ni kwa sababu ya maneno yake tu wakati kuna watu wanateketeza fedha. Aende Biashara halafu aone kama itapata mafanikio hayo. Tr25 tutapiga kwenye mshono.
 
Mimi nashauri Simba iachane haraka na Haji Manara, anadhani mafanikio ya Simba ni kwa sababu ya maneno yake tu wakati kuna watu wanateketeza fedha. Aende Biashara halafu aone kama itapata mafanikio hayo. Tr25 tutapiga kwenye mshono.
Ni wivu tu
 
Ni muda mrefu sana tangu kuanzishwa kwake hivi vilabu vimekua vikirandana na kufanana kwa kila jambo kama mapacha.

Ndio maana hata imekua ngumu sana kwa kilabu kimoja kuendelea saana kuliko kilabu kingine sababu ya huu utani wanao uita wajadi usio na msingi wowote kwenye soka la kisasa.

Ni kweli Simba na Yanga ni local rival na ni local derby na hii iishie hapo na si zaidi.

Kama kweli Simba SC wanataka kua Giant na dominant club Africa wanapaswa kutazama mifano kama Bayern Munic kule German

Bayern na Dortimund ni local rival wale, lakini hana utani Dortimund yeye ana concetrate na ma giant wa ulaya tu, hata sajiri zake hua hafanyi kwa kumtazama Borrusia Dortumund ,yeye anawaangalia Madrid,Barcelona ,Paris wanafanya nini sokoni.

Ndio maana kwenye ligi yao kule Bundes Liga akienda anabomoa tuu hana muda.

Hii ya utani utani inafanya Clabu ya Simba ione kama mpinzani wake kwenye soka ni Yanga Pekee wakati si kweli!.

Mpinzani Simba ni Al Ahly,Mamelody Sundowns huko wakina Tp Mazembe na vilabu ambavyo vinatamba huko champions ligi na sio Yanga tena.

Clabu ya Yanga itafute mtani mwingine yoyote kama ni KMC ,AZAM au MWADUI waanzishe utani na sio Simba SC.
Kwani Yanga ndio wanataka utani na Simba ww kobe kweli
 
Back
Top Bottom