Nashauri simba sc iachane na masuala ya utani na Yanga

Simba iwe mtani au si mtani wa Yanga, ijifananishe ata na vilabu vya ulaya ukweli una baki palepale Simba bado iko mbalisana na kinachoitwa Timu kubwa. Huwezi kuwa Timu kubwa wakati timu Haina uwezo wa kujitegemea hata kwa bajeti ndogo ata ya bilion tatu.
Kwamujibu wa MO Simba thamani yake ni bilion tatu na kidogo Sasa na yeye MO anatoa fedha za mfukoni mwake karibu biliob 4 kwa mwaka.
Yeye ndio anasajili, analipa mishahara anahonga Marefa Sasa katizame robo ya bajeti ya vilabu vikubwa Afrika kwa mwaka uone Kama mbumbumbu fc wanajua au hawajui kwanini zile zinaitwa Klabu kubwa.
 
Ushauri mzuri sana.
 
Wewe mwenyewe hapa umeandika utani tu,,,sasa sijui huo utani wa Yanga na Simba utaishaje!
 
Hebu niambie AS Vita mwaka jana alizalisha Billion ngoapi?
 
Hebu niambie AS Vita mwaka jana alizalisha Billion ngoapi?
Ivi Vita ipo katika Klabu kubwa Afrika, uwa mnafikiri sawasawa kweli!!! Vita ipo katika Klabu zilizo changamka si Klabu kubwa Afrika.apo utawakuta Zesco, Nkana, premiero Agosto, MC Alger, El mereik, ismailia, Al Ahly Bengaz n.k
 
Ivi Vita ipo katika Klabu kubwa Afrika, uwa mnafikiri sawasawa kweli!!! Vita ipo katika Klabu zilizo changamka si Klabu kubwa Afrika.apo utawakuta Zesco, Nkana, premiero Agosto, MC Alger, El mereik, ismailia, Al Ahly Bengaz n.k
Hivyo ulivyovitaja siyo level ya Simba.

Hata kwenye draw zinawekwa pot four wakati Simba ni pot 3 na AS Vita ni pot 2.

Kati yangu na wewe nani mwenye akili sawa sawa ?
 
Mikia bwana! 2021-22 kombe mtalisikia tu
 
Umegusa pabaya ila ndio ukweli, ni sawa na kumwambia Mbumbumbu huna akili, hapo lazima ulioge povu lake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…