Mpuuzi mkubwa,Ngugai hajamdhalilisha Rais mahali popote, acheni ushambenga! And acheni kujipa kazi ya kumtetea Rais, kazi ambayo hamjapewa, ni Unafiki tu unaowasumbua!
Hauna akili.
Kweli kabisa! unakuta jitu zima na midevu kibao limeshindwa kununulia watoto wake vitumbua huko nyumbani kwake linakurupuka eti limtete raisi huyo raisi ameomba umtetee!!?Ngugai hajamdhalilisha Rais mahali popote, acheni ushambenga! And acheni kujipa kazi ya kumtetea Rais, kazi ambayo hamjapewa, ni Unafiki tu unaowasumbua!
Ndiyo hawa hawa likitokea jambo wanageuka, yaani ni kujifanya wema kwa kiongozi akivuruga utaona mada zinabadilika.Ngugai hajamdhalilisha Rais mahali popote, acheni ushambenga! And acheni kujipa kazi ya kumtetea Rais, kazi ambayo hamjapewa, ni Unafiki tu unaowasumbua!
Amekuomba umtetee? Spika anaongea na Rais muda wowote ule, wakati huu wakisoma hizi comments zenu wanawacheka na kuwaona wapumbavu mliopitiliza! Soon utamsikia Ndugai anamsifia Samia, na Samia anamsifia Ndugai! Wakati huo wewe unaendelea na ujinga wako JFMpuuzi mkubwa,
Rais kapewa mamlaka na wananchi kuongoza nchi(katiba ilompa urais ni ya wananchi)
Tutaachaje kumtete kisa ndugai mwenye ukoma
Mambo mengi yamewashinda, sasa wanataka kuwagombanisha wanachama na viongozi waandamizi ndani ya chama na serikali, hilo nalo wameshindwa! Eti wanataka kumuingiza na Majaliwa kwenye huu upuuzi wao, hakuna mtu royal kwenye utawala wa Samia na Magufuli kama Majaliwa, the guy katulia, hana makuu, and sidhani kama huo urais wanaomtabiria hawa wajenga chuki hata kama anautaka, sababu hata huo uwaziri mkuu haujawahi kuwa kwenye ndoto zakeNdiyo hawa hawa likitokea jambo wanageuka, yaani ni kujifanya wema kwa kiongozi akivuruga utaona mada zinabadilika.
Wewe ni cheti feki pia.
Kitugani alicho tengeneza kwao, SGR? ama ubungo interchange, ama daraja la sarenda, ama bwawa la umeme la stigle, ama barabara ya njia nane kimara mail moja, ama meli za ziwa nyasa, ama tazara fly over, ama kufufua reli iliyokufa miaka 30 kutoka dar tanga, dar moshi, Arusha, ama kununua ndege zaidi ya kumi, amakujengea vituo vya afya, ama elimu bure, ama stend za mabasi, mbezi dar,dodoma na sehem nyingine ama daraja la busisi hayo yote nikiyo taja kwa uchache yamefanywa chato? Viwanja vyandege kuanzia terminal 3 hapa na mikoa mingine kote huko ni chato?
Wekwani kwenuniwapi ambapo hakuna shughuli za maendeleo ambazo zimefanyika wakati wa Hayati Magu.
Alafu ulitaka asifanye chochote kwao ili mumbeze kama mnavyo mbeza ndugai kwamba haja fanya chochote jimboni kwake.
Za zamani, taratibu za kupata tume huru bado hazijaanza, na Kaijage ilibidi aondoke kutokana na umri, ulitaka hiyo nafasi iwe wazi hadi hapo itapopatikana tume huru?
Wameweka biti la ccm ambalo lina mahadhi ya bluziHakuna cha Ngugai wala Samia, wote wamoja! Subirini siku muone Ndugai anammwagia sifa Samia, na Samia anammwagia sifa Ngugai! Mnacheza ngoma ya CCM, na nyie kwa kujua/kutojua mnatembea na beat lao
Mambo mengi yamewashinda, sasa wanataka kuwagombanisha wanachama na viongozi waandamizi ndani ya chama na serikali, hilo nalo wameshindwa! Eti wanataka kumuingiza na Majaliwa kwenye huu upuuzi wao, hakuna mtu royal kwenye utawala wa Samia na Magufuli kama Majaliwa, the guy katulia, hana makuu, and sidhani kama huo urais wanaomtabiria hawa wajenga chuki hata kama anautaka, sababu hata huo uwaziri mkuu haujawahi kuwa kwenye ndoto zake
Kwa kipimo kipi kusema Sambarau mzigo? Mimi naona kama CDM ndiyo mzigo kutokana na kutokukubali kwao kuevolve kutokana na wakati, BTW mimi naweza kuwa mwanaCDM mtiifu kuliko weweKwa hiyo kwa mawazo yako wanaweza kuishi kwenye post hizo kwa muwazi 2?
Sambarau ni mzigo kwa ukombozi wa nchi hii.
Huo ndiyo ulio ukweli mchungu.
Hahaha, mabilioni yaliyotajwa na jamaa yenu Kigogo? Hivi mpo naye vipi kwa sasa?Majaliwa? Hakutajwa kwenye mabilioni ya March 2021?
1. Minyukano ndani ya CCM haitusaidii kwenye madai yetu ya katiba mpya.
2. Mwendazake hayupo tena, makando kando yake tuhangaike nayo kwenye "haki na maridhiano" baada ya katiba mpya.
3. Agenda yetu ni ya kudumu si marafiki.
Hata hivyo haya yenu hayatuhusu.
Pambaneni na hali zenu!
Naunga mkonoRais ni Nembo ya nchi yetu na ni sauti halali ya watanzania wote. Kwa misingi hiyo bila kujali mawazo yangu binafsi dhidi ya Rais Samia, lakini anapokuwa anatekeleza majukumu yake kama Rais wa nchi hapaswi kubezwa na mtu yeyote hadharani. Mtu akifanya hivyo anakuwa ametudhalilisha watanzania wote tuliompa dhamana Rais wetu kutenda na kuongoza kwa niaba yetu.
Kwa hiyo mh Ndugai tumng'ang'ie na tumwajibishe ili liwe fundisho kwa yeyote mwenye mwelekeo wa kudhalilisha taasisi hii muhimu ya urais. NINAMWOMBA RAIS SAMIA ASIWASHIKE MIKONO WOTE WALIOAMUA KUMWAJIBISHA HUYU ALIYELEWA MADARAKA NA KUDHANI MAMLAKA YA URAÌS YANAPUNGUKA KAMA JINSI YA "KE" IKIWA IMEKALIA KITI CHA URAIS!!! Ndugai lazima ANG'OKE.
Kwa kipimo kipi kusema Sambarau mzigo? Mimi naona kama CDM ndiyo mzigo kutokana na kutokukubali kwao kuevolve kutokana na wakati, BTW mimi naweza kuwa mwanaCDM mtiifu kuliko wewe
Ujifunze kula kwa jasho lako.Rais ni Nembo ya nchi yetu na ni sauti halali ya watanzania wote. Kwa misingi hiyo bila kujali mawazo yangu binafsi dhidi ya Rais Samia, lakini anapokuwa anatekeleza majukumu yake kama Rais wa nchi hapaswi kubezwa na mtu yeyote hadharani. Mtu akifanya hivyo anakuwa ametudhalilisha watanzania wote tuliompa dhamana Rais wetu kutenda na kuongoza kwa niaba yetu.
Kwa hiyo mh Ndugai tumng'ang'ie na tumwajibishe ili liwe fundisho kwa yeyote mwenye mwelekeo wa kudhalilisha taasisi hii muhimu ya urais. NINAMWOMBA RAIS SAMIA ASIWASHIKE MIKONO WOTE WALIOAMUA KUMWAJIBISHA HUYU ALIYELEWA MADARAKA NA KUDHANI MAMLAKA YA URAÌS YANAPUNGUKA KAMA JINSI YA "KE" IKIWA IMEKALIA KITI CHA URAIS!!! Ndugai lazima ANG'OKE.
Tokomeza wahuni wakina singasingaRais ni Nembo ya nchi yetu na ni sauti halali ya watanzania wote. Kwa misingi hiyo bila kujali mawazo yangu binafsi dhidi ya Rais Samia, lakini anapokuwa anatekeleza majukumu yake kama Rais wa nchi hapaswi kubezwa na mtu yeyote hadharani. Mtu akifanya hivyo anakuwa ametudhalilisha watanzania wote tuliompa dhamana Rais wetu kutenda na kuongoza kwa niaba yetu.
Kwa hiyo mh Ndugai tumng'ang'ie na tumwajibishe ili liwe fundisho kwa yeyote mwenye mwelekeo wa kudhalilisha taasisi hii muhimu ya urais. NINAMWOMBA RAIS SAMIA ASIWASHIKE MIKONO WOTE WALIOAMUA KUMWAJIBISHA HUYU ALIYELEWA MADARAKA NA KUDHANI MAMLAKA YA URAÌS YANAPUNGUKA KAMA JINSI YA "KE" IKIWA IMEKALIA KITI CHA URAIS!!! Ndugai lazima ANG'OKE.
Hahaha, mabilioni yaliyotajwa na jamaa yenu Kigogo? Hivi mpo naye vipi kwa sasa?
Mjambiani mpumbavu sana huyuMtu gani miezi sita tuu kishakopa karibu 10trilioni alafu mjinga mmoja anasema tuje tumtetee siku akiondoka 2025 yeye peke yake si atafijisha 60 trillion.
Hakuna chochote, uzushi uliozoeleka kila siku, ni kama ule uzushi wenu wa Msoga ndiyo inaongoza Ikulu, NonsenseUnadhani hayakuwapo? Kwani ile ripoti ya CAG iliachiwa kutolewa?
Wewe unaona kule kujipendekeza kwa watajwa unaona ni kwa kawaida?