Nashauri Spika Ndugai ajiuzulu
Usijaribu kuchanganya madawa au hata kumwekea Kibatala maneno mdomoni.

Uzi huu una yote aliyosema Kibatala:

Kibatala: Wanaopinga Katiba Mpya wana Maslahi Binafsi

Angalia #3 kwenye extract hii. Hicho ndicho kinachotakiwa siyo kwa mukthadha wa sambarau:

View attachment 2063858
Sasa makubaliano ya Dodoma mliyosusia si ndiyo yanaanza na hicho kipengele cha 3? Then ule mzigo wa warioba ndiyo utashughulikiwa, hicho ndicho samabarau wanataka, sielewi why mna hate kubwa hivyo kwa wenzenu
 
Rais ni Nembo ya nchi yetu na ni sauti halali ya watanzania wote. Kwa misingi hiyo bila kujali mawazo yangu binafsi dhidi ya Rais Samia, lakini anapokuwa anatekeleza majukumu yake kama Rais wa nchi hapaswi kubezwa na mtu yeyote hadharani. Mtu akifanya hivyo anakuwa ametudhalilisha watanzania wote tuliompa dhamana Rais wetu kutenda na kuongoza kwa niaba yetu.
Kwa hiyo mh Ndugai tumng'ang'ie na tumwajibishe ili liwe fundisho kwa yeyote mwenye mwelekeo wa kudhalilisha taasisi hii muhimu ya urais. NINAMWOMBA RAIS SAMIA ASIWASHIKE MIKONO WOTE WALIOAMUA KUMWAJIBISHA HUYU ALIYELEWA MADARAKA NA KUDHANI MAMLAKA YA URAÌS YANAPUNGUKA KAMA JINSI YA "KE" IKIWA IMEKALIA KITI CHA URAIS!!! Ndugai lazima ANG'OKE.
Kuna jamaa anasema hapa kuwa Ndungai ana wabunge na Mama ana watumishi wa serikali

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Ni wazi Ndugai amekuwa na madhaaifu mengi tangu kuingia kwenye cheo Cha usipika .

Hata hivyo ni vema kukawa na Fair ya uwajibishwaji wake , tuorodheshe viongozi wote waropokaji na wavunja katiba wote! Kisha wawajibishwe kadili itakavyo faa!
 
kwa maana ya mgawanyo wa madaraka kwa mihimili ya serikali, naweza kusema supika anafanya kazi yake na hafanyi kazi take ie yeye Kama kiongozi wa muhimili wa binge ni kazi yake kusimamia mhimili wa utendaji lakini sio na yeye kulalamika barabarani kama mwananchi wa kawaida ndio maana Pro. Assad alisema tuna bunge dhaifu
 
Sasa makubaliano ya Dodoma mliyosusia si ndiyo yanaanza na hicho kipengele cha 3? Then ule mzigo wa warioba ndiyo utashughulikiwa, hicho ndicho samabarau wanataka, sielewi why mna hate kubwa hivyo kwa wenzenu

Usichoelewa ni kuwa sambarau na wenzao wanataka tume kwa ajili ya kuongeza watu wa kuchaguliwa.

CDM wanataka tume ya kupitisha katiba mpya.

Kama hauoni tofauti hapo vua miwani. Utakuwa umetupia miwani ya mbao mjomba.
 
Usichoelewa ni kuwa sambarau na wenzao wanataka tume kwa ajili ya kuongeza watu wa kuchaguliwa.

CDM wanataka tume ya kupitisha katiba mpya.

Kama hauoni tofauti hapo vua miwani. Utakuwa umetupia miwani ya mbao mjomba.
Criteria za kupata mwenyekiti na wajumbe wa tume wanayoitaka CDM VS Sambarau ni tofauti?
 
Rais ni Nembo ya nchi yetu na ni sauti halali ya watanzania wote. Kwa misingi hiyo bila kujali mawazo yangu binafsi dhidi ya Rais Samia, lakini anapokuwa anatekeleza majukumu yake kama Rais wa nchi hapaswi kubezwa na mtu yeyote hadharani. Mtu akifanya hivyo anakuwa ametudhalilisha watanzania wote tuliompa dhamana Rais wetu kutenda na kuongoza kwa niaba yetu.
Kwa hiyo mh Ndugai tumng'ang'ie na tumwajibishe ili liwe fundisho kwa yeyote mwenye mwelekeo wa kudhalilisha taasisi hii muhimu ya urais. NINAMWOMBA RAIS SAMIA ASIWASHIKE MIKONO WOTE WALIOAMUA KUMWAJIBISHA HUYU ALIYELEWA MADARAKA NA KUDHANI MAMLAKA YA URAÌS YANAPUNGUKA KAMA JINSI YA "KE" IKIWA IMEKALIA KITI CHA URAIS!!! Ndugai lazima ANG'OKE.
Pole pole kawashinda alie ingia chamani juzi, itakuwa Mgogo??
 
Mpende msipende lazima Rais atasemwa kwa mazuri na mabaya yake vile vile. Kama hamtaki asemwe mtafutieni kazi nyingine.
 
Rais ni Nembo ya nchi yetu na ni sauti halali ya watanzania wote. Kwa misingi hiyo bila kujali mawazo yangu binafsi dhidi ya Rais Samia, lakini anapokuwa anatekeleza majukumu yake kama Rais wa nchi hapaswi kubezwa na mtu yeyote hadharani. Mtu akifanya hivyo anakuwa ametudhalilisha watanzania wote tuliompa dhamana Rais wetu kutenda na kuongoza kwa niaba yetu.
Kwa hiyo mh Ndugai tumng'ang'ie na tumwajibishe ili liwe fundisho kwa yeyote mwenye mwelekeo wa kudhalilisha taasisi hii muhimu ya urais. NINAMWOMBA RAIS SAMIA ASIWASHIKE MIKONO WOTE WALIOAMUA KUMWAJIBISHA HUYU ALIYELEWA MADARAKA NA KUDHANI MAMLAKA YA URAÌS YANAPUNGUKA KAMA JINSI YA "KE" IKIWA IMEKALIA KITI CHA URAIS!!! Ndugai lazima ANG'OKE.
Ndugai amekosa nidhamu lakini pia ni muhuni
Huwezi kuropoka kauli za kijinga kwa mkuu wako
Hadharani huu ni uhuni mhimili wa bunge
Hauwezi kuendelea kuwa na wahuni kama hawa
Binafsi naomba atoke mjengoni mara moja lakini
Apewe adhabu kali ili asirudie tena manake maneno yake pia ni ya kichochezi Tunapenda amani ya nchi yetu ibaki kama ilivyo
 
hakuna kitu kinaitwa neutral. ndio maana wakienda kupiga kura wote lazima wachague mtu.

Otherwise, haina maana kupiga kura kama upo "neutral"

What you are saying is a gentleman's lie.
I think you are familiar with the word "Swing state". 2005 nilimpigia kura JK, 2010 nikaipeleka kwa Dr, 2015 nikaipeleka kwa Ngoyai, 2020 sikuwepo TZ, ningekuwepo ningeipeleka kwa Lissu! And mara zote mbunge na Diwani huwa nampa kutokana na Rais niliyemchagua, 2015 nilimpa Mtatiro Segerea, ila ubinafsi wa CDM na yule mgombea wao Anatropia ikasababisha jimbo liende kwa yule mother kilaza wa CCM, WaTz wa namna yangu tupo wengi mnoo kuliko nyie wafia chama, msiobadilika kwa lolote
 
Awajibishwe kwa kusema ukweli!?.. Shida ya vijana wa siku hizi ni unafiki na uzandiki. Hii mihimili miwili tofauti ambayo inatakiwa kuwa huru kwa vyovyote lakini ihakikishe utawala bora na ustawi unapatikana. Sasa maoni ya muhimili mwingine inaonekana chuki kwa rais. Shida ni mazoea ya muhimili mmoja kuubaka mwingine sasa inapotokea haya inaonekana chuki ambapo ingetakiwa kuwa hivi. JPM alikuwa anasema hadharani mikopo sio mizuri tushughulike na fedha za ndani mlikuwa mnapiga makofi. Sasa mama kaja na moja ya sera za mikopo mnapiga makofi as if kipindi cha JPM hamkuwa ninyi mlioshabikia..
UNAFIKI NA UZANDIKI TU. . Ipo siku tutapata atakaesema tuziuze mbuga za wanyama na migodi ili tupate fedha nae mtampigia makofi na kuunga mkono agenda.
Mkuu baadae utakuwa wapi tupige K vanga kuuuubwa.

Huu uhuni wa muhimili mmoja tuiufumbie macho

Hapo ndugai nasimama nae
 
Ndugai amekosa nidhamu lakini pia ni muhuni
Huwezi kuropoka kauli za kijinga kwa mkuu wako
Hadharani huu ni uhuni mhimili wa bunge
Hauwezi kuendelea kuwa na wahuni kama hawa
Binafsi naomba atoke mjengoni mara moja lakini
Apewe adhabu kali ili asirudie tena manake maneno yake pia ni ya kichochezi Tunapenda amani ya nchi yetu ibaki kama ilivyo
Mkuu wa ndugai ni nani?

Ujue kila mmoja kwenye muhimili wake ni mkuu


Halafu maswala ya ukuu bila uwajibikaji ni utopolo mtupu


Naisubiri kauli ya muhimili wa tatu nayo ije itoe maoni yake

Sisi wa buku 7 tuanze kufukuzana kuzipangua

Ningewaona wa maana kama mngezipangua hoja za ndugai
 
Kwani mwenyekiti aliyetangazwa kapatikana kwa criteria za nani?
Za zamani, taratibu za kupata tume huru bado hazijaanza, na Kaijage ilibidi aondoke kutokana na umri, ulitaka hiyo nafasi iwe wazi hadi hapo itapopatikana tume huru?
 
Akili utakuwa nazo wewe? Mambo yenu huko huko!

Mlidhani akikopa kutengeneza kwao, tulipe sisi tulikuwa hatuoni?

Wewe ni cheti feki pia.

Kitugani alicho tengeneza kwao, SGR? ama ubungo interchange, ama daraja la sarenda, ama bwawa la umeme la stigle, ama barabara ya njia nane kimara mail moja, ama meli za ziwa nyasa, ama tazara fly over, ama kufufua reli iliyokufa miaka 30 kutoka dar tanga, dar moshi, Arusha, ama kununua ndege zaidi ya kumi, amakujengea vituo vya afya, ama elimu bure, ama stend za mabasi, mbezi dar,dodoma na sehem nyingine ama daraja la busisi hayo yote niliyo taja kwa uchache yamefanywa chato? Viwanja vyandege kuanzia terminal 3 hapa na mikoa mingine kote huko ni chato?
Wekwani kwenuniwapi ambapo hakuna shughuli za maendeleo ambazo zimefanyika wakati wa Hayati Magu.

Alafu ulitaka asifanye chochote kwao ili mumbeze kama mnavyo mbeza ndugai kwamba haja fanya chochote jimboni kwake.
 
Mkuu wa ndugai ni nani?

Ujue kila mmoja kwenye muhimili wake ni mkuu


Halafu maswala ya ukuu bila uwajibikaji ni utopolo mtupu


Naisubiri kauli ya muhimili wa tatu nayo ije itoe maoni yake

Sisi wa buku 7 tuanze kufukuzana kuzipangua

Ningewaona wa maana kama mngezipangua hoja za ndugai
Hakuna cha Ngugai wala Samia, wote wamoja! Subirini siku muone Ndugai anammwagia sifa Samia, na Samia anammwagia sifa Ngugai! Mnacheza ngoma ya CCM, na nyie kwa kujua/kutojua mnatembea na beat lao
 
Rais ni Nembo ya nchi yetu na ni sauti halali ya watanzania wote. Kwa misingi hiyo bila kujali mawazo yangu binafsi dhidi ya Rais Samia, lakini anapokuwa anatekeleza majukumu yake kama Rais wa nchi hapaswi kubezwa na mtu yeyote hadharani. Mtu akifanya hivyo anakuwa ametudhalilisha watanzania wote tuliompa dhamana Rais wetu kutenda na kuongoza kwa niaba yetu.
Kwa hiyo mh Ndugai tumng'ang'ie na tumwajibishe ili liwe fundisho kwa yeyote mwenye mwelekeo wa kudhalilisha taasisi hii muhimu ya urais. NINAMWOMBA RAIS SAMIA ASIWASHIKE MIKONO WOTE WALIOAMUA KUMWAJIBISHA HUYU ALIYELEWA MADARAKA NA KUDHANI MAMLAKA YA URAÌS YANAPUNGUKA KAMA JINSI YA "KE" IKIWA IMEKALIA KITI CHA URAIS!!! Ndugai lazima ANG'OKE.

Rais aliye madarakani kwa wizi wa kura mtetetee ww. Hiyo ni vita ya majizi ya kura hivyo mtajuana.
 
Rais ni Nembo ya nchi yetu na ni sauti halali ya watanzania wote. Kwa misingi hiyo bila kujali mawazo yangu binafsi dhidi ya Rais Samia, lakini anapokuwa anatekeleza majukumu yake kama Rais wa nchi hapaswi kubezwa na mtu yeyote hadharani. Mtu akifanya hivyo anakuwa ametudhalilisha watanzania wote tuliompa dhamana Rais wetu kutenda na kuongoza kwa niaba yetu.
Kwa hiyo mh Ndugai tumng'ang'ie na tumwajibishe ili liwe fundisho kwa yeyote mwenye mwelekeo wa kudhalilisha taasisi hii muhimu ya urais. NINAMWOMBA RAIS SAMIA ASIWASHIKE MIKONO WOTE WALIOAMUA KUMWAJIBISHA HUYU ALIYELEWA MADARAKA NA KUDHANI MAMLAKA YA URAÌS YANAPUNGUKA KAMA JINSI YA "KE" IKIWA IMEKALIA KITI CHA URAIS!!! Ndugai lazima ANG'OKE.
Hiyo dhamana ulimpa lini Samia wewe?
 
Rais ni Nembo ya nchi yetu na ni sauti halali ya watanzania wote. Kwa misingi hiyo bila kujali mawazo yangu binafsi dhidi ya Rais Samia, lakini anapokuwa anatekeleza majukumu yake kama Rais wa nchi hapaswi kubezwa na mtu yeyote hadharani. Mtu akifanya hivyo anakuwa ametudhalilisha watanzania wote tuliompa dhamana Rais wetu kutenda na kuongoza kwa niaba yetu.
Kwa hiyo mh Ndugai tumng'ang'ie na tumwajibishe ili liwe fundisho kwa yeyote mwenye mwelekeo wa kudhalilisha taasisi hii muhimu ya urais. NINAMWOMBA RAIS SAMIA ASIWASHIKE MIKONO WOTE WALIOAMUA KUMWAJIBISHA HUYU ALIYELEWA MADARAKA NA KUDHANI MAMLAKA YA URAÌS YANAPUNGUKA KAMA JINSI YA "KE" IKIWA IMEKALIA KITI CHA URAIS!!! Ndugai lazima ANG'OKE.
Ndugai ni mshenzi na mpuuzi,
Nadhani hajapewa tripu ya kwenda kutumbua mamilion huko india ndo maana ana nongwa na Mama.

Huyu angepigwa chini tu kwenye chama arudi ubungo kibangu akanywe viroba.
Limtu limevimba kwa ARV linamsumbuaje mama.


Mama piga kazi tuko nyuma yako 2025 TWENDE NA SAMIA SULUHU HASSAN.
 
Back
Top Bottom