Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Sasa makubaliano ya Dodoma mliyosusia si ndiyo yanaanza na hicho kipengele cha 3? Then ule mzigo wa warioba ndiyo utashughulikiwa, hicho ndicho samabarau wanataka, sielewi why mna hate kubwa hivyo kwa wenzenuUsijaribu kuchanganya madawa au hata kumwekea Kibatala maneno mdomoni.
Uzi huu una yote aliyosema Kibatala:
Kibatala: Wanaopinga Katiba Mpya wana Maslahi Binafsi
Angalia #3 kwenye extract hii. Hicho ndicho kinachotakiwa siyo kwa mukthadha wa sambarau:
View attachment 2063858
Kuna jamaa anasema hapa kuwa Ndungai ana wabunge na Mama ana watumishi wa serikaliRais ni Nembo ya nchi yetu na ni sauti halali ya watanzania wote. Kwa misingi hiyo bila kujali mawazo yangu binafsi dhidi ya Rais Samia, lakini anapokuwa anatekeleza majukumu yake kama Rais wa nchi hapaswi kubezwa na mtu yeyote hadharani. Mtu akifanya hivyo anakuwa ametudhalilisha watanzania wote tuliompa dhamana Rais wetu kutenda na kuongoza kwa niaba yetu.
Kwa hiyo mh Ndugai tumng'ang'ie na tumwajibishe ili liwe fundisho kwa yeyote mwenye mwelekeo wa kudhalilisha taasisi hii muhimu ya urais. NINAMWOMBA RAIS SAMIA ASIWASHIKE MIKONO WOTE WALIOAMUA KUMWAJIBISHA HUYU ALIYELEWA MADARAKA NA KUDHANI MAMLAKA YA URAÌS YANAPUNGUKA KAMA JINSI YA "KE" IKIWA IMEKALIA KITI CHA URAIS!!! Ndugai lazima ANG'OKE.
Sasa makubaliano ya Dodoma mliyosusia si ndiyo yanaanza na hicho kipengele cha 3? Then ule mzigo wa warioba ndiyo utashughulikiwa, hicho ndicho samabarau wanataka, sielewi why mna hate kubwa hivyo kwa wenzenu
Criteria za kupata mwenyekiti na wajumbe wa tume wanayoitaka CDM VS Sambarau ni tofauti?Usichoelewa ni kuwa sambarau na wenzao wanataka tume kwa ajili ya kuongeza watu wa kuchaguliwa.
CDM wanataka tume ya kupitisha katiba mpya.
Kama hauoni tofauti hapo vua miwani. Utakuwa umetupia miwani ya mbao mjomba.
Pole pole kawashinda alie ingia chamani juzi, itakuwa Mgogo??Rais ni Nembo ya nchi yetu na ni sauti halali ya watanzania wote. Kwa misingi hiyo bila kujali mawazo yangu binafsi dhidi ya Rais Samia, lakini anapokuwa anatekeleza majukumu yake kama Rais wa nchi hapaswi kubezwa na mtu yeyote hadharani. Mtu akifanya hivyo anakuwa ametudhalilisha watanzania wote tuliompa dhamana Rais wetu kutenda na kuongoza kwa niaba yetu.
Kwa hiyo mh Ndugai tumng'ang'ie na tumwajibishe ili liwe fundisho kwa yeyote mwenye mwelekeo wa kudhalilisha taasisi hii muhimu ya urais. NINAMWOMBA RAIS SAMIA ASIWASHIKE MIKONO WOTE WALIOAMUA KUMWAJIBISHA HUYU ALIYELEWA MADARAKA NA KUDHANI MAMLAKA YA URAÌS YANAPUNGUKA KAMA JINSI YA "KE" IKIWA IMEKALIA KITI CHA URAIS!!! Ndugai lazima ANG'OKE.
Ndugai amekosa nidhamu lakini pia ni muhuniRais ni Nembo ya nchi yetu na ni sauti halali ya watanzania wote. Kwa misingi hiyo bila kujali mawazo yangu binafsi dhidi ya Rais Samia, lakini anapokuwa anatekeleza majukumu yake kama Rais wa nchi hapaswi kubezwa na mtu yeyote hadharani. Mtu akifanya hivyo anakuwa ametudhalilisha watanzania wote tuliompa dhamana Rais wetu kutenda na kuongoza kwa niaba yetu.
Kwa hiyo mh Ndugai tumng'ang'ie na tumwajibishe ili liwe fundisho kwa yeyote mwenye mwelekeo wa kudhalilisha taasisi hii muhimu ya urais. NINAMWOMBA RAIS SAMIA ASIWASHIKE MIKONO WOTE WALIOAMUA KUMWAJIBISHA HUYU ALIYELEWA MADARAKA NA KUDHANI MAMLAKA YA URAÌS YANAPUNGUKA KAMA JINSI YA "KE" IKIWA IMEKALIA KITI CHA URAIS!!! Ndugai lazima ANG'OKE.
I think you are familiar with the word "Swing state". 2005 nilimpigia kura JK, 2010 nikaipeleka kwa Dr, 2015 nikaipeleka kwa Ngoyai, 2020 sikuwepo TZ, ningekuwepo ningeipeleka kwa Lissu! And mara zote mbunge na Diwani huwa nampa kutokana na Rais niliyemchagua, 2015 nilimpa Mtatiro Segerea, ila ubinafsi wa CDM na yule mgombea wao Anatropia ikasababisha jimbo liende kwa yule mother kilaza wa CCM, WaTz wa namna yangu tupo wengi mnoo kuliko nyie wafia chama, msiobadilika kwa lolotehakuna kitu kinaitwa neutral. ndio maana wakienda kupiga kura wote lazima wachague mtu.
Otherwise, haina maana kupiga kura kama upo "neutral"
What you are saying is a gentleman's lie.
Mkuu baadae utakuwa wapi tupige K vanga kuuuubwa.Awajibishwe kwa kusema ukweli!?.. Shida ya vijana wa siku hizi ni unafiki na uzandiki. Hii mihimili miwili tofauti ambayo inatakiwa kuwa huru kwa vyovyote lakini ihakikishe utawala bora na ustawi unapatikana. Sasa maoni ya muhimili mwingine inaonekana chuki kwa rais. Shida ni mazoea ya muhimili mmoja kuubaka mwingine sasa inapotokea haya inaonekana chuki ambapo ingetakiwa kuwa hivi. JPM alikuwa anasema hadharani mikopo sio mizuri tushughulike na fedha za ndani mlikuwa mnapiga makofi. Sasa mama kaja na moja ya sera za mikopo mnapiga makofi as if kipindi cha JPM hamkuwa ninyi mlioshabikia..
UNAFIKI NA UZANDIKI TU. . Ipo siku tutapata atakaesema tuziuze mbuga za wanyama na migodi ili tupate fedha nae mtampigia makofi na kuunga mkono agenda.
Criteria za kupata mwenyekiti na wajumbe wa tume wanayoitaka CDM VS Sambarau ni tofauti?
Mkuu wa ndugai ni nani?Ndugai amekosa nidhamu lakini pia ni muhuni
Huwezi kuropoka kauli za kijinga kwa mkuu wako
Hadharani huu ni uhuni mhimili wa bunge
Hauwezi kuendelea kuwa na wahuni kama hawa
Binafsi naomba atoke mjengoni mara moja lakini
Apewe adhabu kali ili asirudie tena manake maneno yake pia ni ya kichochezi Tunapenda amani ya nchi yetu ibaki kama ilivyo
Za zamani, taratibu za kupata tume huru bado hazijaanza, na Kaijage ilibidi aondoke kutokana na umri, ulitaka hiyo nafasi iwe wazi hadi hapo itapopatikana tume huru?Kwani mwenyekiti aliyetangazwa kapatikana kwa criteria za nani?
Akili utakuwa nazo wewe? Mambo yenu huko huko!
Mlidhani akikopa kutengeneza kwao, tulipe sisi tulikuwa hatuoni?
Kumbe siku bunge likiamua kufanya kazi yake kama muhimili kuna watu wanaweza vua nguo aseeeKuna jamaa anasema hapa kuwa Ndungai ana wabunge na Mama ana watumishi wa serikali
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Hakuna cha Ngugai wala Samia, wote wamoja! Subirini siku muone Ndugai anammwagia sifa Samia, na Samia anammwagia sifa Ngugai! Mnacheza ngoma ya CCM, na nyie kwa kujua/kutojua mnatembea na beat laoMkuu wa ndugai ni nani?
Ujue kila mmoja kwenye muhimili wake ni mkuu
Halafu maswala ya ukuu bila uwajibikaji ni utopolo mtupu
Naisubiri kauli ya muhimili wa tatu nayo ije itoe maoni yake
Sisi wa buku 7 tuanze kufukuzana kuzipangua
Ningewaona wa maana kama mngezipangua hoja za ndugai
Rais ni Nembo ya nchi yetu na ni sauti halali ya watanzania wote. Kwa misingi hiyo bila kujali mawazo yangu binafsi dhidi ya Rais Samia, lakini anapokuwa anatekeleza majukumu yake kama Rais wa nchi hapaswi kubezwa na mtu yeyote hadharani. Mtu akifanya hivyo anakuwa ametudhalilisha watanzania wote tuliompa dhamana Rais wetu kutenda na kuongoza kwa niaba yetu.
Kwa hiyo mh Ndugai tumng'ang'ie na tumwajibishe ili liwe fundisho kwa yeyote mwenye mwelekeo wa kudhalilisha taasisi hii muhimu ya urais. NINAMWOMBA RAIS SAMIA ASIWASHIKE MIKONO WOTE WALIOAMUA KUMWAJIBISHA HUYU ALIYELEWA MADARAKA NA KUDHANI MAMLAKA YA URAÌS YANAPUNGUKA KAMA JINSI YA "KE" IKIWA IMEKALIA KITI CHA URAIS!!! Ndugai lazima ANG'OKE.
Hiyo dhamana ulimpa lini Samia wewe?Rais ni Nembo ya nchi yetu na ni sauti halali ya watanzania wote. Kwa misingi hiyo bila kujali mawazo yangu binafsi dhidi ya Rais Samia, lakini anapokuwa anatekeleza majukumu yake kama Rais wa nchi hapaswi kubezwa na mtu yeyote hadharani. Mtu akifanya hivyo anakuwa ametudhalilisha watanzania wote tuliompa dhamana Rais wetu kutenda na kuongoza kwa niaba yetu.
Kwa hiyo mh Ndugai tumng'ang'ie na tumwajibishe ili liwe fundisho kwa yeyote mwenye mwelekeo wa kudhalilisha taasisi hii muhimu ya urais. NINAMWOMBA RAIS SAMIA ASIWASHIKE MIKONO WOTE WALIOAMUA KUMWAJIBISHA HUYU ALIYELEWA MADARAKA NA KUDHANI MAMLAKA YA URAÌS YANAPUNGUKA KAMA JINSI YA "KE" IKIWA IMEKALIA KITI CHA URAIS!!! Ndugai lazima ANG'OKE.
Ndugai ni mshenzi na mpuuzi,Rais ni Nembo ya nchi yetu na ni sauti halali ya watanzania wote. Kwa misingi hiyo bila kujali mawazo yangu binafsi dhidi ya Rais Samia, lakini anapokuwa anatekeleza majukumu yake kama Rais wa nchi hapaswi kubezwa na mtu yeyote hadharani. Mtu akifanya hivyo anakuwa ametudhalilisha watanzania wote tuliompa dhamana Rais wetu kutenda na kuongoza kwa niaba yetu.
Kwa hiyo mh Ndugai tumng'ang'ie na tumwajibishe ili liwe fundisho kwa yeyote mwenye mwelekeo wa kudhalilisha taasisi hii muhimu ya urais. NINAMWOMBA RAIS SAMIA ASIWASHIKE MIKONO WOTE WALIOAMUA KUMWAJIBISHA HUYU ALIYELEWA MADARAKA NA KUDHANI MAMLAKA YA URAÌS YANAPUNGUKA KAMA JINSI YA "KE" IKIWA IMEKALIA KITI CHA URAIS!!! Ndugai lazima ANG'OKE.