Nashauri wasomi wa Chuo Kikuu kujiingiza kwenye kazi ya kutafsiri movie

Nashauri wasomi wa Chuo Kikuu kujiingiza kwenye kazi ya kutafsiri movie

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Kwa kweli hawa watafsiri wa kitaaani wana uongo sana sema tu wamechangamka. Ingependeza sana wasomi wangekuwa wanatafsiri hizi movie na ikiwezekana wawe kundi na watafsiri kiuhusika kama ilivyotafsiriwa animation ya Kirikuu.

Pamoja na yote hii ni chance ya ajira pia. Au nakosea ndugu zangu?
 
Kama wataweza kufunika mapengo yote watapiga hela sana! Ipo hivi kutafsiri kunamapana yake humohumo na ubunifu n.k Kuna swala la usikikaji wa sauti na muonekano wa picha pia,watafsiri wengi wamekuwa wakiharibu ubora wa picha na sauti na unakuta anachotafsiri ni uongo mtupu japo si wote.

Kama watatokea wenye kuziba mapungufu basi wataheshimisha kazi husika! let's say mtafsiri anatoka na ubunifu huu mfano kwenye muvi anaonekana mtu anatumia bunduki Aina ya AK47 hapa mtafsiri anaweza akaweka pozi movie kidogo halafu kwa maelezo mafupi na yaliyoshiba anaweza akaielezea aina hiyo ya bunduki na uwezo wake na hata ikibidi ka historia kidogo!

Hii inakuwa ni burudani na pia sehemu ya elimu. Yapo mengi wanaweza kuyafanya na Kama mtu anaweza basi awe specific kwenye aina fulani ya muvi labda za kipelelezi anakuwa anatumia muda mwingi kuziangalia kuzifatilia na kujua kwanini hapa palitumika mbinu hii au kwanini hapa palifanywa hivi n.k

Movie sometimes hazina maelezo zinahitaji uelewa Sasa waangaliaji wengi kuna vitu huwa vinawapita kwa maana wao huwa wanaangalia tu hawana la kujiuliza! So no vyema wawameng'enyee wateja wao ili wazipende kazi zao. Muvi nyengine mtu hawezi zipenda kwasababu hajajua undani wake ila akijua basi humnyang'anyi remote!

Huo ndo mchango wangu.
 
Kama wataweza kufunika mapengo yote watapiga hela sana! Ipo hivi kutafsiri kunamapana yake humohumo na ubunifu n.k Kuna swala la usikikaji wa sauti na muonekano wa picha pia,watafsiri wengi wamekuwa wakiharibu ubora wa picha na sauti na unakuta anachotafsiri ni uongo mtupu japo si wote...
Hapo kwenye ku pozi movie ili aelezee AK47.

Unadhani watu wangapi wanataka kusikia historia ya AK47?

Halafu lazima movie itaanza kuboa.

Ujue hiyo ni movie sio documentary.

Muhimu waangalie SOKO linataka nini,
 
Hapo kwenye ku pozi movie ili aelezee AK47.
Unadhani watu wangapi wanataka kusikia historia ya AK47.?
Halafu lazima movie itaanza kuboa.
Ujue hiyo ni movie sio documentary.

Mhimu waangalie SOKO linataka nini,
Walewale mliozoea kuangalia muvi kama gazeti la udaku.. wapo wanaopenda ukisema wewe cha nini wenzako wanaokota.
 
Kwa kweli hawa watafsiri wa kitaaani wana uongo sana sema tu wamechangamka. Ingependeza sana wasomi wangekuwa wanatafsiri hizi movie na ikiwezekana wawe kundi na watafsiri kiuhusika kama ilivyotafsiriwa animation ya Kirikuu.

Pamoja na yote hii ni chance ya ajira pia. Au nakosea ndugu zangu?
Ku-download movie na kuitafsiri halafu ukaiuza ni PIRACY.

Shauri watu waheshimu ubunifu na juhudi za watu kwa kufanya kazi halali
 
Kama wataweza kufunika mapengo yote watapiga hela sana! Ipo hivi kutafsiri kunamapana yake humohumo na ubunifu n.k Kuna swala la usikikaji wa sauti na muonekano wa picha pia,watafsiri wengi wamekuwa wakiharibu ubora wa picha na sauti na unakuta anachotafsiri ni uongo mtupu japo si wote.

Kama watatokea wenye kuziba mapungufu basi wataheshimisha kazi husika!, let's say mtafsiri anatoka na ubunifu huu mfano kwenye muvi anaonekana mtu anatumia bunduki Aina ya AK47 hapa mtafsiri anaweza akaweka pozi movie kidogo halafu kwa maelezo mafupi na yaliyoshiba anaweza akaielezea aina hiyo ya bunduki na uwezo wake na hata ikibidi ka historia kidogo! Hii inakuwa ni burudani na pia sehemu ya elimu. Yapo mengi wanaweza kuyafanya na Kama mtu anaweza basi awe specific kwenye aina fulani ya muvi labda za kipelelezi anakuwa anatumia muda mwingi kuziangalia kuzifatilia na kujua kwanini hapa palitumika mbinu hii au kwanini hapa palifanywa hivi n.k
Movie sometimes hazina maelezo zinahitaji uelewa Sasa waangaliaji wengi Kuna vitu huwa vinawapita kwa maana wao huwa wanaangalia tu hawana la kujiuliza!.. so no vyema wawameng'enyee wateja wao ili wazipende kazi zao. Muvi nyengine mtu hawezi zipenda kwasababu hajajua undani wake ila akijua basi humnyang'anyi remote!.

Huo ndo mchango wangu.
Wengi sana wanaharibu, mfano soundtrack ni sehemu muhimu ya movie lakini wakina rufugu huwa wanakata. Kelele za milipuko au magari huwa pia wanakata, wanazingua sana. Ila hapo pa kupozi movie nakataa, wanatakiwa tu kutafsiri kile kinachosemwa tena kwa uaminifu na si kuweka yao.
 
Walewale mliozoea kuangalia muvi Kama gazeti la udaku.. wapo wanaopenda ukisema wewe cha nini wenzako wanaokota.
Hao wanaopenda ni wachache.

Huku uswahili, ambako hizo movies zilizotafsiriwa kwa kiswahili zinapendwa sana, Sidhani kama wanataka kujua historia ya AK47.

Una wazo zuri tatizo ni wengi wanapenda nini?
 
Ku-download movie na kuitafsiri halafu ukaiuza ni PIRACY.

Shauri watu waheshimu ubunifu na juhudi za watu kwa kufanya kazi halali
Hii ni kikwazo lakini kuna movie ambazo copyright zimeexpire japo ni za kitambo. Na kama ukiweza kupata ruhusa za mtengenezaji unaweza tafsiri za karibuni.
 
Wengi sana wanaharibu, mfano soundtrack ni sehemu muhimu ya movie lakini wakina rufugu huwa wanakata. Kelele za milipuko au magari huwa pia wanakata, wanazingua sana. Ila hapo pa kupozi movie nakataa, wanatakiwa tu kutafsiri kile kinachosemwa tena kwa uaminifu na si kuweka yao.
It's just an idea maana nimesemea hivyo maelezo yanaweza kuwa ni marefu kidogo kushinda kipande Cha movie... movie pia hutegemea na uelewa wa mtu.
 
Hao wanaopenda ni wachache.

Huku uswahili, ambako hizo movies zilizotafsiriwa kwa kiswahili zinapendwa sana, Sidhani kama wanataka kujua historia ya AK47.

Una wazo zuri tatizo ni wengi wanapenda nini?
Binafsi huwa napenda maelezo in deeply wengine sijui okay kila mtu na lake mengine tutayakuta vitabuni..😅
 
Poor Market Analysis

_Ungejua wateja wakina nani na wanahitaji nini usingeshauri hiki.

Wateja ni Ordinary People most of them sio wasomi na hawana expose ya maisha na lugha kwa ujumla, wanachohutaji
*mbwembwe za Dj
*Madoido kama mruziii
*Sauti ya DJ basi

kutarsiri kwa usahihi si hutajio lao

utafeli vibaya sana.
 
Kama wataweza kufunika mapengo yote watapiga hela sana! Ipo hivi kutafsiri kunamapana yake humohumo na ubunifu n.k Kuna swala la usikikaji wa sauti na muonekano wa picha pia,watafsiri wengi wamekuwa wakiharibu ubora wa picha na sauti na unakuta anachotafsiri ni uongo mtupu japo si wote.

Kama watatokea wenye kuziba mapungufu basi wataheshimisha kazi husika!, let's say mtafsiri anatoka na ubunifu huu mfano kwenye muvi anaonekana mtu anatumia bunduki Aina ya AK47 hapa mtafsiri anaweza akaweka pozi movie kidogo halafu kwa maelezo mafupi na yaliyoshiba anaweza akaielezea aina hiyo ya bunduki na uwezo wake na hata ikibidi ka historia kidogo! Hii inakuwa ni burudani na pia sehemu ya elimu. Yapo mengi wanaweza kuyafanya na Kama mtu anaweza basi awe specific kwenye aina fulani ya muvi labda za kipelelezi anakuwa anatumia muda mwingi kuziangalia kuzifatilia na kujua kwanini hapa palitumika mbinu hii au kwanini hapa palifanywa hivi n.k
Movie sometimes hazina maelezo zinahitaji uelewa Sasa waangaliaji wengi Kuna vitu huwa vinawapita kwa maana wao huwa wanaangalia tu hawana la kujiuliza!.. so no vyema wawameng'enyee wateja wao ili wazipende kazi zao. Muvi nyengine mtu hawezi zipenda kwasababu hajajua undani wake ila akijua basi humnyang'anyi remote!.

Huo ndo mchango wangu.
Dj mark alikua anafanya kwa kiasi chake kuelezea mambo kama hayo ila hapo kwenye kupause haiwezekani itaboa sana.
 
Back
Top Bottom