TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Hapana mkuu haiwezi kudoda hata kidogo.Mtoa mada anachitaka kufanya ni kuwasilisha Business Proposal ya kuuza PIZZA na Burger buza au Mbagala Bishara ita feli vibaya sana.
Kuna tamthilia flani zinarushwa tbc, azam, startime na startv nao walianza majuzi kati hapo kuonyesha zilizo_tafasiriwa na siyo kuelezea movie na kuna watu hawaachi/kukosa kuangalia daily huko buza, mbagara, manzese, uswahili, kijenge, ikipinda, isewe nk.