100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Hatari sana.Kweli kuchoma kitoweo inakuwa ni ubinafsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana.Kweli kuchoma kitoweo inakuwa ni ubinafsi
Yani uchomwe duniani uchomwe na mbinguni tabu tupu. Sema kuzika kunamaliza ardhi sisi kwetu kijijini shamba likalibia kuisha kwa makabuli.
Wekeni shamba hapo.Yani uchomwe duniani uchomwe na mbinguni tabu tupu. Sema kuzika kunamaliza ardhi sisi kwetu kijijini shamba likalibia kuisha kwa makabuli.
We ungependa maiti yako ichomwe moto mkuu ? Au wapewe mamba wapate kitoweo?Hatari sana.
Shamba la nn? nakwetu ukishazika mtu kwenye eneo uwezi kupanda kitu chochote kwenye ilo eneo.Wekeni shamba hapo.
Mi wakiniweka kwenye acid itakuwa poa sana, nipotee kabisa.We ungependa maiti yako ichomwe moto mkuu ? Au wapewe mamba wapate kitoweo?
Mi wakiniweka kwenye acid itakuwa poa sana, nipotee kabisa.
Ahahahahh daahUmefikiliaje❌
Umefikiriaje ✔️
Ndo nauliza hapaWaulize
Duuh aiseee mbona hatariiiAu dini imeagiza maiti au Marhum achomwe... Ukiruhusu iwe against na watu wakafanya hivyo unakuwa umefanya kufuru mapema. Mwenyezi mungu hana radhi nawe
Moto ni adhabu, si sahihi wanadamu kutendeana hilo. Yeye pekee ndio atakayeadhibu kwa moto.
Natamani nikueleweshe zaidi... Ila muda na tayari imeshakuwa sikio la kufa
Daaah mkuu ila mi naona wakichoma hapa tanzania hayo mambo yatapungua mkuuYap, kutambika ni kama kuabudu tu. Unaabudu kitu hukion na hujawahi kukiona lakini unaimani nacho, kwa hiyo physical places haina relation na tambiko. Tambiko ni imani bro
Ahahahahha sasa si unakua ushakufaKifo ni kama usingizi.kila linalofanyika na watu unasikia ila hauwezi kujibu wala kufanya chochote.sasa uchungu wa kutolewa roho bado unao alafu wakuongezee na moto?
Sema dactar bado unazingua sasa aiseeeee...Mimi naona hilo wazo ni zuri Ila napendekeza haya
MTU akifa viungo vyake baadhi vivunwe ili visaidie walio hai
Maiti yake badala ya kuzikwa na kuchomwa wapewe wanyama wa porini wanaokula mizoga wapate kitoweo.
NB Mimi naona huu utaratibu uendelee
Ahahah daaahKweli kuchoma kitoweo inakuwa ni ubinafsi
Sasa ukishachomwa uwoni ushaepuka adhabu za kaburi mkuuYani uchomwe duniani uchomwe na mbinguni tabu tupu. Sema kuzika kunamaliza ardhi sisi kwetu kijijini shamba likalibia kuisha kwa makabuli.
Mkuu hapo sasa upo pamoja na miiMnakaribia kuzika MTU juu ya MTU na sijui mtalima wapi maharage