Nashauri Watanzania tuanzishe utaratibu wa kuchoma moto maiti

Nashauri Watanzania tuanzishe utaratibu wa kuchoma moto maiti

Uislamu umekamilika huruhusiwi kuongeza wala kubadilisha chochote tunafanya vile tumefundishwa na mtume wetu kwan allah katuambia

وَمَا آتَاكُمُ الرَّسُولُ فَخُذُوهُ وَمَا نَهَاكُمْ عَنْهُ فَانتَهُوا ۚوَاتَّقُوا اللَّـهَ ۖ إِنَّ اللَّـهَ شَدِيدُ الْعِقَابِ﴿٧﴾
Lolote alilokujieni nalo mtume lichukueni na alilokukatazeni komeni nalo (liacheni) hakika allah ni mkali wa kuadhibu
 
Mbona huo utaratibu upo ni wewe tuu ndo labda hujui kama upo. Hata wewe andaa tamko ukifa upigwe kiberiti, andaa na gharama ya mchakato kabisa kabla hujafa, unapigwa kiberiti tuu chap majivu wanapewa familia yako.
Ni takwa la marehemu hilo na matakwa ya marehemu kama unavyofahamu tunayazingatia. 😁
 
Au dini imeagiza maiti au Marhum achomwe... Ukiruhusu iwe against na watu wakafanya hivyo unakuwa umefanya kufuru mapema. Mwenyezi mungu hana radhi nawe

Moto ni adhabu, si sahihi wanadamu kutendeana hilo. Yeye pekee ndio atakayeadhibu kwa moto.

Natamani nikueleweshe zaidi... Ila muda na tayari imeshakuwa sikio la kufa
Duuh aiseee mbona hatariii
 
Yap, kutambika ni kama kuabudu tu. Unaabudu kitu hukion na hujawahi kukiona lakini unaimani nacho, kwa hiyo physical places haina relation na tambiko. Tambiko ni imani bro
Daaah mkuu ila mi naona wakichoma hapa tanzania hayo mambo yatapungua mkuu
 
Kifo ni kama usingizi.kila linalofanyika na watu unasikia ila hauwezi kujibu wala kufanya chochote.sasa uchungu wa kutolewa roho bado unao alafu wakuongezee na moto?
Ahahahahha sasa si unakua ushakufa
 
Nasikia kwenye uislamu kule kaburini unapata mateso sana kama ulikuwa muovu duniani, sasa je hawa wanaochomwa moto hizo adhabu za kaburi inakuwa wame cheat ama?
FaizaFoxy anaweza kuwa na jibu.
Ahahah alafu kweli bana..
Naskia kuna nyoka huyo aiseee sio poa anapelka moto mkuu
 
Mimi naona hilo wazo ni zuri Ila napendekeza haya

MTU akifa viungo vyake baadhi vivunwe ili visaidie walio hai

Maiti yake badala ya kuzikwa na kuchomwa wapewe wanyama wa porini wanaokula mizoga wapate kitoweo.


NB Mimi naona huu utaratibu uendelee
Sema dactar bado unazingua sasa aiseeeee...
Sasa nyama yangu wafanye mizoga kweli
 
Yani uchomwe duniani uchomwe na mbinguni tabu tupu. Sema kuzika kunamaliza ardhi sisi kwetu kijijini shamba likalibia kuisha kwa makabuli.
Sasa ukishachomwa uwoni ushaepuka adhabu za kaburi mkuu
 
Back
Top Bottom