Nashauri Yanga itafute mtu wa sheria kutoka nchi za nje

Nashauri Yanga itafute mtu wa sheria kutoka nchi za nje

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726
Kuna sakata kama tatu zimejitokeza kuhusu mikataba, Morrison, Fei toto, na sasa ni sportpesa. Sitaki kuchimbua sana lakini ukiangalia kwa umakini unaona kabisa mtu anayesimama kwenye kusainiana mikataba ni mtu asiye na maono, asiyekuwa na uwezo wa kufikiria na asiyejua kusimamia mikataba yenye maslahi ya klabu.

Hapa natoa mifano miwili ya makosa niliyoyaona

1) Ishu ya Feisali, ni kosa kubwa sana kuweka wazi kipengele cha kuweka kiasi fulani cha pesa ili kujinasua na kifungo cha mkataba. Kuvunja mkataba kupo ila ikifikia upande mmoja unataka kuuvunja basi ni swala la kuwekana mezani na kufikiana muafaka kuwa toa kiasi kadhaa ili uwe huru na sio kutanabaisha kwa maandishi wazi wazi.

Pesa unayoiona leo nyingi kesho utaiona ndogo. Huyu mwanasheria hana maono ya mbali na hafatilii hata mikataba ya timu za ulaya wanawezaje kulinda maslahi ya klabu.

2) Ishu ya pili ni hili la sportpesa
Unapoingia mkataba na mdhamini mkuu, lazima muweke vipengele vyote na lazima ujue vipengele vikae sawa kulingana na mashindano ambayo timu inaenda kushiriki.

Inatambulika kabisa kuwa sportpesa ni kampuni ya kamari na huwa haziruhusiwi kampuni za kamari kuwepo kwenye jezi pindi timu ikifuzu hatua ya makundi kwenye mashindano ya interclub. Lazima kuwekana sawa na mdhamini mkuu kuhusu ukomo wao au nini kitakachoweza kufanyika endapo timu itafuzu hatua hiyo na kila kitu kuanishwa katika mkataba husika.

Kinachoendelea kwasasa ni either mkataba una mapungufu au pengine Yanga wamekiuka masharti ya mkataba lakini kwa hayo yote wa kwanza kuwajibika ni mtu wa sheria wa timu kwa kushindwa kuuelewa/kuufata mkataba ama kushindwa kuufanya mkataba ueleze kila kitu ili kulinda maslahi ya klabu.

Ni wakati sasa, uongozi wa Yanga kutafuta mwasheria anayejielewa mwenye akili ya kuchanganua mambo, upeo mkubwa na pia mwenye maono ya mbali ili aweze kusimamia vyema maslahi ya timu.

Huyu mwanasheria wa sasa ni mweupe sana kichwani, anakula mshahara wa bure.
 
Sio tu watafute wanasheria toka nchi za nje, hata hapa ndani napo wanahitaji watu wa kueleweka..

Ubishi wanaoendeleza mashabiki wa utopolo mitandaoni, ili kuficha aibu za makosa ya kimkataba yanayofanywa na wanasheria wao wakishirikiana na viongozi wao, yataendelea kuwaumbua kila siku.

Yanga kwenye issue za mikataba ni weupe sana.
 
Kuna sakata kama tatu zimejitokeza kuhusu mikataba, Morrison, Fei toto, na sasa ni sportpesa. Sitaki kuchimbua sana lakini ukiangalia kwa umakini unaona kabisa mtu anayesimama kwenye kusainiana mikataba ni mtu asiye na maono, asiyekuwa na uwezo wa kufikiria na asiyejua kusimamia mikataba yenye maslahi ya klabu.

Hapa natoa mifano miwili ya makosa niliyoyaona

1) Ishu ya Feisali, ni kosa kubwa sana kuweka wazi kipengele cha kuweka kiasi fulani cha pesa ili kujinasua na kifungo cha mkataba. Kuvunja mkataba kupo ila ikifikia upande mmoja unataka kuuvunja basi ni swala la kuwekana mezani na kufikiana muafaka kuwa toa kiasi kadhaa ili uwe huru na sio kutanabaisha kwa maandishi wazi wazi.

Pesa unayoiona leo nyingi kesho utaiona ndogo. Huyu mwanasheria hana maono ya mbali na hafatilii hata mikataba ya timu za ulaya wanawezaje kulinda maslahi ya klabu.

2) Ishu ya pili ni hili la sportpesa
Unapoingia mkataba na mdhamini mkuu, lazima muweke vipengele vyote na lazima ujue vipengele vikae sawa kulingana na mashindano ambayo timu inaenda kushiriki.

Inatambulika kabisa kuwa sportpesa ni kampuni ya kamari na huwa haziruhusiwi kampuni za kamari kuwepo kwenye jezi pindi timu ikifuzu hatua ya makundi kwenye mashindano ya interclub. Lazima kuwekana sawa na mdhamini mkuu kuhusu ukomo wao au nini kitakachoweza kufanyika endapo timu itafuzu hatua hiyo na kila kitu kuanishwa katika mkataba husika.

Kinachoendelea kwasasa ni either mkataba una mapungufu au pengine Yanga wamekiuka masharti ya mkataba lakini kwa hayo yote wa kwanza kuwajibika ni mtu wa sheria wa timu kwa kushindwa kuuelewa/kuufata mkataba ama kushindwa kuufanya mkataba ueleze kila kitu ili kulinda maslahi ya klabu.

Ni wakati sasa, uongozi wa Yanga kutafuta mwasheria anayejielewa mwenye akili ya kuchanganua mambo, upeo mkubwa na pia mwenye maono ya mbali ili aweze kusimamia vyema maslahi ya timu.

Huyu mwanasheria wa sasa ni mweupe sana kichwani, anakula mshahara wa bure.
Sakata la feisal TFF ilishatoa tamko kwamba feisal ni mchezaji wa yanga kwa maana iyo kwa mujibu wa mkataba ni feisal ndie aliebugi sio yanga. Kwa ulichokiandika wewe maana yake alieshinda kesi(yanga) hajui sheria ila alieshindwa(feisal) ndie anajua sheria, ridiculous.! kuhusu suala la yanga na sportpesa hakuna chombo chenye mamlaka kilichokaa na kutoa tamko kwamba yanga kakosea kuingia mkatba na kampuni nyingine iweje utumie rejea ya masuala ambayo kimsingi haijaonekana kosa la yanga lipo wapi kwanini unaishutumu yanga tu? kwamba hakuna uwezekano hao sportpesa ndio waliobugi? Uchambuzi wako upo biased sana
 
La feisal yanga wameshindwa?

La sportpesa Yanga wameshindwa?

Ndiyo walishindwa kwa morrison, VIPI LA CHUJI,SINGANO MESSI,..? Simba walishinda?

Pointless!!...
Kuna sehemu ya uzi nimeizungumzia Simba? Tufikie kujadili maswala yetu bila kulinganisha na jirani kupoje
 
Wapunguze uswahili pale Jangwani ikishindikana wampe Mzee Mpili
 
Kuna sakata kama tatu zimejitokeza kuhusu mikataba, Morrison, Fei toto, na sasa ni sportpesa. Sitaki kuchimbua sana lakini ukiangalia kwa umakini unaona kabisa mtu anayesimama kwenye kusainiana mikataba ni mtu asiye na maono, asiyekuwa na uwezo wa kufikiria na asiyejua kusimamia mikataba yenye maslahi ya klabu.

Hapa natoa mifano miwili ya makosa niliyoyaona

1) Ishu ya Feisali, ni kosa kubwa sana kuweka wazi kipengele cha kuweka kiasi fulani cha pesa ili kujinasua na kifungo cha mkataba. Kuvunja mkataba kupo ila ikifikia upande mmoja unataka kuuvunja basi ni swala la kuwekana mezani na kufikiana muafaka kuwa toa kiasi kadhaa ili uwe huru na sio kutanabaisha kwa maandishi wazi wazi.

Pesa unayoiona leo nyingi kesho utaiona ndogo. Huyu mwanasheria hana maono ya mbali na hafatilii hata mikataba ya timu za ulaya wanawezaje kulinda maslahi ya klabu.

2) Ishu ya pili ni hili la sportpesa
Unapoingia mkataba na mdhamini mkuu, lazima muweke vipengele vyote na lazima ujue vipengele vikae sawa kulingana na mashindano ambayo timu inaenda kushiriki.

Inatambulika kabisa kuwa sportpesa ni kampuni ya kamari na huwa haziruhusiwi kampuni za kamari kuwepo kwenye jezi pindi timu ikifuzu hatua ya makundi kwenye mashindano ya interclub. Lazima kuwekana sawa na mdhamini mkuu kuhusu ukomo wao au nini kitakachoweza kufanyika endapo timu itafuzu hatua hiyo na kila kitu kuanishwa katika mkataba husika.

Kinachoendelea kwasasa ni either mkataba una mapungufu au pengine Yanga wamekiuka masharti ya mkataba lakini kwa hayo yote wa kwanza kuwajibika ni mtu wa sheria wa timu kwa kushindwa kuuelewa/kuufata mkataba ama kushindwa kuufanya mkataba ueleze kila kitu ili kulinda maslahi ya klabu.

Ni wakati sasa, uongozi wa Yanga kutafuta mwasheria anayejielewa mwenye akili ya kuchanganua mambo, upeo mkubwa na pia mwenye maono ya mbali ili aweze kusimamia vyema maslahi ya timu.

Huyu mwanasheria wa sasa ni mweupe sana kichwani, anakula mshahara wa bure.
Ucha ukilaza nchi za nje wapi wakati wanasheria wa ndani wenye uzoefu na mikataba tupo, hasa ya michezo na biashara.
 
Mkataba mpya wa Yanga umeyaumiza sana Makolo
 
Kuna sehemu ya uzi nimeizungumzia Simba? Tufikie kujadili maswala yetu bila kulinganisha na jirani kupoje
Sijaona kasoro upande wa sheria.. kesi za mikataba ni vitu vya kawaida kwa taasisi.

Acheni ujuaji
 
Sakata la feisal TFF ilishatoa tamko kwamba feisal ni mchezaji wa yanga kwa maana iyo kwa mujibu wa mkataba ni feisal ndie aliebugi sio yanga. Kwa ulichokiandika wewe maana yake alieshinda kesi(yanga) hajui sheria ila alieshindwa(feisal) ndie anajua sheria, ridiculous.! kuhusu suala la yanga na sportpesa hakuna chombo chenye mamlaka kilichokaa na kutoa tamko kwamba yanga kakosea kuingia mkatba na kampuni nyingine iweje utumie rejea ya masuala ambayo kimsingi haijaonekana kosa la yanga lipo wapi kwanini unaishutumu yanga tu? kwamba hakuna uwezekano hao sportpesa ndio waliobugi? Uchambuzi wako upo biased sana

Mbona feisal hatumuoni kambini wala kwenye mechi za yanga.. wanasheria wa yanga kwa nini wasimbane fei toto arudi kambini kutimiza majukumu ya mkataba wake
 
Kuna sakata kama tatu zimejitokeza kuhusu mikataba, Morrison, Fei toto, na sasa ni sportpesa. Sitaki kuchimbua sana lakini ukiangalia kwa umakini unaona kabisa mtu anayesimama kwenye kusainiana mikataba ni mtu asiye na maono, asiyekuwa na uwezo wa kufikiria na asiyejua kusimamia mikataba yenye maslahi ya klabu.

Hapa natoa mifano miwili ya makosa niliyoyaona

1) Ishu ya Feisali, ni kosa kubwa sana kuweka wazi kipengele cha kuweka kiasi fulani cha pesa ili kujinasua na kifungo cha mkataba. Kuvunja mkataba kupo ila ikifikia upande mmoja unataka kuuvunja basi ni swala la kuwekana mezani na kufikiana muafaka kuwa toa kiasi kadhaa ili uwe huru na sio kutanabaisha kwa maandishi wazi wazi.

Pesa unayoiona leo nyingi kesho utaiona ndogo. Huyu mwanasheria hana maono ya mbali na hafatilii hata mikataba ya timu za ulaya wanawezaje kulinda maslahi ya klabu.

2) Ishu ya pili ni hili la sportpesa
Unapoingia mkataba na mdhamini mkuu, lazima muweke vipengele vyote na lazima ujue vipengele vikae sawa kulingana na mashindano ambayo timu inaenda kushiriki.

Inatambulika kabisa kuwa sportpesa ni kampuni ya kamari na huwa haziruhusiwi kampuni za kamari kuwepo kwenye jezi pindi timu ikifuzu hatua ya makundi kwenye mashindano ya interclub. Lazima kuwekana sawa na mdhamini mkuu kuhusu ukomo wao au nini kitakachoweza kufanyika endapo timu itafuzu hatua hiyo na kila kitu kuanishwa katika mkataba husika.

Kinachoendelea kwasasa ni either mkataba una mapungufu au pengine Yanga wamekiuka masharti ya mkataba lakini kwa hayo yote wa kwanza kuwajibika ni mtu wa sheria wa timu kwa kushindwa kuuelewa/kuufata mkataba ama kushindwa kuufanya mkataba ueleze kila kitu ili kulinda maslahi ya klabu.

Ni wakati sasa, uongozi wa Yanga kutafuta mwasheria anayejielewa mwenye akili ya kuchanganua mambo, upeo mkubwa na pia mwenye maono ya mbali ili aweze kusimamia vyema maslahi ya timu.

Huyu mwanasheria wa sasa ni mweupe sana kichwani, anakula mshahara wa bure.
acha udwanzi yanga tupo vizuri kwenye idara ya sheria

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Migogoro ya mikataba imekuwa ni wimbo pale Yanga. Kwenye kesi ya BM wakaangukia pua. Kwenye kesi ya Fei, wakachukua pesa, wakazirejesha tena. Sasa hivi Sportpesa anawapumulia kisogoni.
 
Jamaa ni Mwanasheria mzuri tu Msomi hana shida Kabisa.

Tabu ni pale Ukiwa tu We ni Yanga Basi automatically unakuwa 'Hamnazo' ...!

Ndo Kashakuwa Hivyo naye Kwa Sasa Hamnazo.! Mpaka Siku akiikana Yanga Akili huwa Zinarudi..!
Kama nakuelewa vile
 
Kuna sakata kama tatu zimejitokeza kuhusu mikataba, Morrison, Fei toto, na sasa ni sportpesa. Sitaki kuchimbua sana lakini ukiangalia kwa umakini unaona kabisa mtu anayesimama kwenye kusainiana mikataba ni mtu asiye na maono, asiyekuwa na uwezo wa kufikiria na asiyejua kusimamia mikataba yenye maslahi ya klabu.

Hapa natoa mifano miwili ya makosa niliyoyaona

1) Ishu ya Feisali, ni kosa kubwa sana kuweka wazi kipengele cha kuweka kiasi fulani cha pesa ili kujinasua na kifungo cha mkataba. Kuvunja mkataba kupo ila ikifikia upande mmoja unataka kuuvunja basi ni swala la kuwekana mezani na kufikiana muafaka kuwa toa kiasi kadhaa ili uwe huru na sio kutanabaisha kwa maandishi wazi wazi.

Pesa unayoiona leo nyingi kesho utaiona ndogo. Huyu mwanasheria hana maono ya mbali na hafatilii hata mikataba ya timu za ulaya wanawezaje kulinda maslahi ya klabu.

2) Ishu ya pili ni hili la sportpesa
Unapoingia mkataba na mdhamini mkuu, lazima muweke vipengele vyote na lazima ujue vipengele vikae sawa kulingana na mashindano ambayo timu inaenda kushiriki.

Inatambulika kabisa kuwa sportpesa ni kampuni ya kamari na huwa haziruhusiwi kampuni za kamari kuwepo kwenye jezi pindi timu ikifuzu hatua ya makundi kwenye mashindano ya interclub. Lazima kuwekana sawa na mdhamini mkuu kuhusu ukomo wao au nini kitakachoweza kufanyika endapo timu itafuzu hatua hiyo na kila kitu kuanishwa katika mkataba husika.

Kinachoendelea kwasasa ni either mkataba una mapungufu au pengine Yanga wamekiuka masharti ya mkataba lakini kwa hayo yote wa kwanza kuwajibika ni mtu wa sheria wa timu kwa kushindwa kuuelewa/kuufata mkataba ama kushindwa kuufanya mkataba ueleze kila kitu ili kulinda maslahi ya klabu.

Ni wakati sasa, uongozi wa Yanga kutafuta mwasheria anayejielewa mwenye akili ya kuchanganua mambo, upeo mkubwa na pia mwenye maono ya mbali ili aweze kusimamia vyema maslahi ya timu.

Huyu mwanasheria wa sasa ni mweupe sana kichwani, anakula mshahara wa bure.
Labda awe Empty Set kama Wao ila akiwa ni Intellectual na anayejitambua hatopaweza kamwe.
 
Nadhan pale ni kama kile chama chakavu
Jamaa ni Mwanasheria mzuri tu Msomi hana shida Kabisa.

Tabu ni pale Ukiwa tu We ni Yanga Basi automatically unakuwa 'Hamnazo' ...!

Ndo Kashakuwa Hivyo naye Kwa Sasa Hamnazo.! Mpaka Siku akiikana Yanga Akili huwa Zinarudi..!
 
Back
Top Bottom