Nashauri Yanga itafute mtu wa sheria kutoka nchi za nje

Mbona feisal hatumuoni kambini wala kwenye mechi za yanga.. wanasheria wa yanga kwa nini wasimbane fei toto arudi kambini kutimiza majukumu ya mkataba wake
Iyo sio kazi ya wanasheria ni kazi ya management ya timu pamoja na benchi la ufundi wakiona anakosea watamchukulia hatua stahiki kwa wakati watakaoona wao ni sahihi ila sio kwa msukumo wa makolo
 
CEO na RAIS ni wapiga dili na wezi wakubwa,mnamlaumu bure tu mwanasheria
 
mweupe ni wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…