LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Haahaa ni zaidi ya Hilo boss, pole hujui mengi.Anayepitisha kugombea urais SI chama chako tu, acha kejeli.Kagombee wewe tuoneUrais hata Steve Nyerere , Kingwendu wanaweza kugombea, kwani kugombea urais si ukiwa na chama, ukajaza fomu chama chako kikau endorse unagombea....
Wewe unaonaje😂All is fine wewe ni chawa wa Lisu? (ingawa sitaki kutumia neno chawa)
Mkuu demokrasia Ina vigezo vingi sio kuchaguliwa tu, hata kubadilishana madaraka pia.Huwezi kukaa miaka 50+ madarakani peke yako unagombea tu unasema ni demokrasia, term limit ni muhimukwahiyo demokrasi inakuwa defined na ukomo wamadaraka?
My thinking ni kuwa as long as katiba inaruhusu na watu wamekuchagua bila mizengwe, then that is democracy on this aspect
Dogo alimwaga mengi Sana huko chadema ndo maana hata mbowe yamemchanganyamapesa ya abduli yamekuchanganya akili
Alipiga kampeni Gani? Kipindi hiki umma umeifahamu chadema kwa undaniSAWA kabisa.Chaguzi za ndani ya chama tunawezaje kupiga kampeni kwenye clubhouse?
He will not win ni sawa but hafai kwa lolote sio kweli. Lissu ndie mwanasiasa anaefaa kwa kizazi cha sasa.Kwa vyovyote Lisu he will not win! uyu hafai kwa lolote...tunabishana hapa kwa vile hatujui tunabihana na nani..si ajabu ni D2.......
mweupe mwenzao ...camara mweusi that was the deciding factorMarekani Trump walikua wanamsema hafai, sijui mropokaji, sijui nini wanachi ndio wakamchagua kwa kura nyingi.
Tuhuma za Trump mropokaji zimeanza toka enzi za Hillary Clinton ambae alikua mweupe wemzao.mweupe mwenzao ...camara mweusi that was the deciding factor
gender was the deciding factor. Kumbuka kura za wananchi hilary won.....kumbe you are not knowledgeable but wrongly informedHillary Clinton
Haahaa ni zaidi ya Hilo boss, pole hujui mengi.Anayepitisha kugombea urais SI chama chako tu, acha kejeli.Kagombee wewe tuone
maelezo ni submission, not evidence........................................Kwa maelezo ya ushahidi uliotolewa na Lissu na Msigwa, ishu ya mbowe sio miaka 68 bali ni wizi wa ruzuku, hakuna kingine.
Sasa kati ya mimi na wewe nani yuko wrongly informed ama yuko uninformed kwenye world politics? Kinachompa mtu urais Marekani ni kura za wananchi ama Electoral College? Yeye Clinton aligombea kutaka kura za wananchi ama Electoral College ili ashinde urais? Ama umeanza kufuatilia siasa za Marekani kipindi cha Clinton?gender was the deciding factor. Kumbuka kura za wananchi hilary won.....kumbe you are not knowledgeable but wrongly informed
Kukisafisha chadema uozo wote.Kuna wakati nashindwa kuelewa Lissu anataka nini haswa.
Ukiona mtu anang'ang'anja uongozi Kuna kitu sio bure.He will not win ni sawa but hafai kwa lolote sio kweli. Lissu ndie mwanasiasa anaefaa kwa kizazi cha sasa.
Marekani Trump walikua wanamsema hafai, sijui mropokaji, sijui nini wanachi ndio wakamchagua kwa kura nyingi.
Stori za nani hafai hazina maana, watu wanasikiliza hoja. Mbowe anasema hawezi kustaafu kisa hajafikisha miaka 68, huyo ni mtu ana akili timamu kweli?
Kwa maelezo ya ushahidi uliotolewa na Lissu na Msigwa, ishu ya mbowe sio miaka 68 bali ni wizi wa ruzuku, hakuna kingine.
MkuuNashindwa kum define Lisu my once favorite politician!
Nashindwa kumwelezea Lisu, mwanasiasa niliyempenda sana hapo awali!
Pengine anaweza kufafanuliwa kama mtu mwenye mgawanyiko mkubwa—kukosekana kwa uwiano kati ya mawazo, hisia, na tabia.
Hii husababisha mtazamo potofu, matendo yasiyofaa, kujitenga na hali halisi, na kupoteza mwelekeo wa kiakili. Ni mtazamo uliojaa migongano na ukinzani wa ndani.
Viongozi wa kweli wanapaswa kuongoza kwa mfano.
Hawapaswi kuogopa kushindwa, bali wanapaswakuwajibika pale yanapotokea makosa.
Kiongozi mzuri ni yule ambaye anatambua juhudi za pamoja wanachama kufanikisha malengo
Lisu anafaya submissions, submissions are not evidence. Anaropoka bila ushahidi na kungamiza chadema.Mkuu
Kwa sasa Lisu ndiye mwanasiasa pekee aliyevunja utamaduni wa kukumbatia maovu kwa kivuli cha siri za ndani.
Yaani mnaishi na majambazi na kuamua kuwafichia siri ilihali majirani wanazidi kuwa wahanga?
Akipata uenyekiti utamuelewa vyema sana
Vingereza vingi pumba tupu. Umeshaonja asali unaandika utopolo tuuu kisa kumshusha lissu. Lisuu si malaika ana mapungufu yake Kama binadamu hata ww una mapungufu pia.No, sitakujibu......., please thoroughly analyze Lisu's recent behavior! particularly in terms of relationship with his team mate in his party
Huyo Lissu tangu aanze kupewa magonjwa nadhani yamefika elfu moja sasa.Changamoto ya wapokea ujumbe wengi wa Lissu wana mazoea ya kutopokea ujumbe wa moto/kama ulivyonyooka.Wanapenda na wamezoea kuambiwa kwa mafumbo,kudekezwa na kubembelezwa.Watazoea tu.