Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Usisubiri kuhamishiwa, hamia tu my dear, mi nishahamia siku nyingiWatuhamishie tu huko Burundi wametuchoka
Vipi tukunje ngumi..?Hii nchi imeshakuwa ngumu kuishi! Cha kushangaza hao wanao pitisha hizi sheria kandamizi, wenyewe wanaishi kwenye nyumba za bure! Huku wakilipiwa bili zote!!!
So sad 🙁
Sasa hivi hatuimbi tu wimbo, yaani na Namba zinasomeka vizuri kweli kweli.Ameandika Evans Rubara
I have just paid for Luku from @tanescoyetu this evening. Now @TRATanzania tell me what debt you have with me. This is fricking idiotic. Ndg. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia tuambie kama umeshindwa kuongoza hii nchi kwa busara alizokupa Mwenyezi Mungu.
View attachment 1900475
Kuweka kumbukumbu sawa wale hawakuwa mataga bali walikuwa bavichaMama anaupiga mwingiii
Hivi bado matanga wanapiga kelele?
Na kwanini waandike debt..?Ni kweli wanakata 2000, huyu bibi aisee
View attachment 1900539
Kuweka kumbukumbu sawa wale hawakuwa mataga bali walikuwa bavicha