Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika hili wamekosea sana ,hivi miamala ilikuwa haitoshi?Daaah..!Mimi nimenunua umeme wa 50,000 sasa hivi, ujumbe wangu huu hapa
Cost 39,344.27
VAT 18% 7,081.96
EWURA 1% 393.44
REA 3% 1,180.33
Debt Collected 2,000.00
TOTAL 50,000.00 20/08/21 22:19
Yaani nimepata umeme wa 39,344 tu, elfu 10,656 ni jumla ya makato,,,, makato ya kununua umeme ni makubwa zaidi kama tozo ya kutuma hela....... hapo ukumbuke, nimenunua kwa simu, tigopesa wamenikata 1,000 ya zaidi....... hii nchi inajitafutia laana, hela ya dhuluma haijengagi hata siku moja
Usilalamik hiyo ndiyo faida ya kuwa na Bunge la kijani,maana wapinzani walituchelewesha kupata maendeleo.Ameandika Evans Rubara
I have just paid for Luku from @tanescoyetu this evening. Now @TRATanzania tell me what debt you have with me. This is fricking idiotic. Ndg. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia tuambie kama umeshindwa kuongoza hii nchi kwa busara alizokupa Mwenyezi Mungu.
View attachment 1900475
Mmmh wewe unapataje unit 50.6 kwa 20K?LUKU
54150429402
990032123218222765
50.6KWH
6738 2900 6264 6766 3732
Cost 14,754.10
VAT 18% 2,655.74
EWURA 1% 147.54
REA 3% 442.62
Debt Collected 2,000.00
TOTAL 20,000.00
Ameandika Evans Rubara
I have just paid for Luku from @tanescoyetu this evening. Now @TRATanzania tell me what debt you have with me. This is fricking idiotic. Ndg. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia tuambie kama umeshindwa kuongoza hii nchi kwa busara alizokupa Mwenyezi Mungu.
View attachment 1900475
Tatizo linaweza lisiwe mwigulu kwa kuwa alikuwa pia waziri wa fedha kipindi Cha JKHivi haya mambo kwanini yamekua shida zaid baada ya kuingia mtaalamu wa uchumi Mwigulu???
Huyu mlisema anawafuta machoziMama anaupiga mwingiii
Hivi bado matanga wanapiga kelele?
Nikweli lakini bibi anapokea ushauri kutoka mawaziri wake mkuu then mtu kama Mwigulu akiongea tu unaona kabisa kuwa anaroho mbaya hana huruma.Tatizo linaweza lisiwe mwigulu kwa kuwa alikuwa pia waziri wa fedha kipindi Cha JK
Tatizo ni huyu bibi
Huyo jamaa ni boya tu, yule Mzee aliefariki alikuwa na madhaifu yake ila sidhani kama angewahi kuruhusu huu upumbavu kwenye serikali yake.Hivi haya mambo kwanini yamekua shida zaid baada ya kuingia mtaalamu wa uchumi Mwigulu???
Wanakuonea Sana Mkuu. Jaribu kufuatilia ni kwanini iwe hivyo kwako.Mmmh wewe unapataje unit 50.6 kwa 20K?
Mimi huwa napata units 30.6
Ndo akili zako zumekutuma huko?Tatizo linaweza lisiwe mwigulu kwa kuwa alikuwa pia waziri wa fedha kipindi Cha JK
Tatizo ni huyu bibi
Huyu mlisema anawafuta machozi
USSR
Hapo Karagwe si karibu si ukatize tu MazaWatuhamishie tu huko Burundi wametuchoka
Mama anawafuta machozi hahahahahahMimi nimenunua umeme wa 50,000 sasa hivi, ujumbe wangu huu hapa
Cost 39,344.27
VAT 18% 7,081.96
EWURA 1% 393.44
REA 3% 1,180.33
Debt Collected 2,000.00
TOTAL 50,000.00 20/08/21 22:19
Yaani nimepata umeme wa 39,344 tu, elfu 10,656 ni jumla ya makato,,,, makato ya kununua umeme ni makubwa zaidi kama tozo ya kutuma hela....... hapo ukumbuke, nimenunua kwa simu, tigopesa wamenikata 1,000 ya zaidi....... hii nchi inajitafutia laana, hela ya dhuluma haijengagi hata siku moja
Sasa unafikiri zile safari zake za kijinga za kutumia ndege zitafanikiwaje bila watu kunyonywa? Kuna ombwe kubwa sana la kiongozi nchini.Tatizo linaweza lisiwe mwigulu kwa kuwa alikuwa pia waziri wa fedha kipindi Cha JK
Tatizo ni huyu bibi