Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado moto wa sufuria la tozo la line za simu na vocha linazidi kuchochewa wallah,masaa machache yajayo na lenyewe linaepuliwa 🤣 🤣 🤣Mimi nimenunua umeme wa 50,000 sasa hivi, ujumbe wangu huu hapa
Cost 39,344.27
VAT 18% 7,081.96
EWURA 1% 393.44
REA 3% 1,180.33
Debt Collected 2,000.00
TOTAL 50,000.00 20/08/21 22:19
Yaani nimepata umeme wa 39,344 tu, elfu 10,656 ni jumla ya makato,,,, makato ya kununua umeme ni makubwa zaidi kama tozo ya kutuma hela....... hapo ukumbuke, nimenunua kwa simu, tigopesa wamenikata 1,000 ya zaidi....... hii nchi inajitafutia laana, hela ya dhuluma haijengagi hata siku moja
Kumekucha 🤣🤣🤣🤣Muda huu baada ya kuona huu uzi , nimetest kununua units za miatano (chini ya kiwango chao wanachotaka 1000tsh), ngoma inagoma kabisa wanadai eti "tender more money😝"
Nimemwambia mke wangu ajaribu na yeye wanamuandikia hivyo.
Nilichogundua ni kwamba hii tozo ya luku atakatwa mtu yoyote bila kujali anamiliki nyumba au laa
Huu ni upuuzi mkubwa sana,yani hawaridhiki na hela za miamala na mafuta sasa wamehamia kwenye LUKU, na kibaya zaidi hela zetu zinatumiwa na mpumbavu mmoja kufanya ziara za kijinga tu, kutwa anazunguka na misafara kwenye nchi za watu kijinga kijinga tu.
Muda si mrefu watatuletea na Tozo za pumbu Sasa🤒.
Anawafuta machozi hahahahahahNikweli lakini bibi anapokea ushauri kutoka mawaziri wake mkuu then mtu kama Mwigulu akiongea tu unaona kabisa kuwa anaroho mbaya hana huruma.
Kuna wakati utafika watu wataanza kuulizwa kwanini hununui Luku ili kulipia deni lako.Si walisema wanakata Buku 1 kwa mwezi ,why wakate elfu 2? Mimi natumia solar huku porini so sijui hayo makato.
Asante Mungu kwa kutuletea Samia,anatufuta machoziIn short
Hatuna Rais
Wanachukua hela za wananchi kula viyoyozi
Pumbavu kabisa
🤣🤣🤣🤣 wacha waisomee nambaaaa eeee Chadema mbele kwa mbeeeleee dadadeki na bado....Bado moto wa sufuria la tozo la line za simu na vocha linazidi kuchochewa wallah,masaa machache yajayo na lenyewe linaepuliwa 🤣 🤣 🤣
Vipi ule Uhuru wa kuongea mnao,mlitaka kuongea bila sababu Sasa sababu mnayo semeniKuna wakati utafika watu wataanza kuulizwa kwanini hununui Luku ili kulipia deni lako.
Dawa yao kuweka mita halafu hununui umeme unafunga solar.
Kuhusu miamala ya simu naona mwezi wa kwanza tu salamu wanazo.
Nina imani baada ya muda fulani makampuni ya simu yatafunga biashara zao na kwenda kwingine.
Sijawahi kuona serikali yenye tamaa na wavivu kifikiri kama hii.
Unalazimisha kuvuna usipopanda. Tozo na Kodi tu ndicho wanajua. Hadi kodi zinatozwa zaidi ya mara moja kwa huduma/ bidhaa moja.
Hivi mbona huwa mnapenda kumkingia kifua kana kwamba hahusiki na chochote ndani ya serikali?Ndo akili zako zumekutuma huko?
President Samia hana tatizo kabisa, tatizo lilianza kwenye kupenda sifa za kijinga jinga hivi,zitatugharimu kwa miaka mingi sanaaa
Wanatuchanganyia habari hawa jamaa. Walisema wataanza tar 20/08 na sio tar 01/07.Habari za jioni wateja wetu.
Kuanzia leo sheria ya kulipa kodi ya jengo kupitia manunuzi ya umeme imeanza kutekelezwa.
Kwa hiyo mteja akinunua umeme atakatwa shs 2000 ikiwa ni kodi ya Jengo inayodaiwa na Tra.kodi hii ilitakiwa kuanza tarehe 01.07.2021 lakini imeanza leo.
Hivyo mteja akinunua umeme kuanzila leo atakatwa shs 2000 ambayo ni kodi ya jengo ya miezi miwili ya (Julai na Agasti.)
Tunawashauri wateja wetu wanunue umeme wa kuanzia 3000 ili walipie kodi ya jengo 2000 na shs 1000 wapate umeme.
Imetolewa na:
Ofisi ya uhusiano na huduma kwa wateja
TANESCO
20.08.2021
Copy and paste
Walimuombea JPM afe wapate Uhuru Sasa ndio huu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wacha waisomee nambaaaa eeee Chadema mbele kwa mbeeeleee dadadeki na bado....
Mbowe na genge lake la ugaidi
USSR
Tutulie yule wa awamu ya 5 alikuwa hazunguki kwa ushamba na kutojua lugha, hivyo nchi ikawa haina mahusiano na nchi zingine.Muda huu baada ya kuona huu uzi , nimetest kununua units za miatano (chini ya kiwango chao wanachotaka 1000tsh), ngoma inagoma kabisa wanadai eti "tender more money[emoji13]"
Nimemwambia mke wangu ajaribu na yeye wanamuandikia hivyo.
Nilichogundua ni kwamba hii tozo ya luku atakatwa mtu yoyote bila kujali anamiliki nyumba au laa
Huu ni upuuzi mkubwa sana,yani hawaridhiki na hela za miamala na mafuta sasa wamehamia kwenye LUKU, na kibaya zaidi hela zetu zinatumiwa na mpumbavu mmoja kufanya ziara za kijinga tu, kutwa anazunguka na misafara kwenye nchi za watu kijinga kijinga tu.
Muda si mrefu watatuletea na Tozo za pumbu Sasa[emoji855].
Huu ndio ujinga wa watanzania hili ni tatizo letu sote inabidi kupambana kwa pamoja au wewe unatumia kibatali??Mbowe na genge lake la ugaidi
USSR
Unajiona wa sayari nyingine, itakuwa heri kama unaishi maisha yako na siyo haya ya JF.Vipi ule Uhuru wa kuongea mnao,mlitaka kuongea bila sababu Sasa sababu mnayo semeni
USSR
Sisiemu hovyoo kabisaAsante Mungu kwa kutuletea Samia,anatufuta machozi
USSR
Mkuu hivi ni kweli pesa inakwenda zanji sio chato tenaHivi mbona huwa mnapenda kumkingia kifua kana kwamba hahusiki na chochote ndani ya serikali?
Yaani katika hizi tozo unataka kusema SSH hahusiki wakati baadhi ya makusanyo yamepelekwa Zenji,?
Acheni kumlambalamba,ukweli ni kwamba amefeli sana kitu pekee anachoweza ni kusafiri.